Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Jumapili Kama mtu sio mshirika wa kijitonyama asiruhusiwe kukanyaga ndani ya eneo.
Hata wao hawako tayari kuja kumsikiliza huyo Mchungaji Anna wenu [emoji108][emoji108][emoji57]
Bakini na mapokeo yenu na ibada za mwilini mnazotaka badala ya kumpa Roho Mtakatifu Uhuru wa mawazo ili atende kazi katika kuwapatia watu haja za mioyo yao!