Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kikwete alijua yote haya lakini bado akaamua kuiuza nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikwete alijua yote haya lakini bado akaamua kuiuza nchi
Sawa haina shida hamkawii kuja hapa na hoja zenu mara oo tulilijua hilo kablaunawatia aibu wazazi wako kwa malipo ya bei gani ?
Wanaokulipa ni wananchi sio serikali ya ccmYote ya yote Mimi na familia yangu nafaidika na serikali ya ccm kwa kuwa inanilipa mshahara, na Kuna wengine humu wanafaidika na chadema kwa kuwa inawalipa mshahara, sifungamani na upande wowote, na Kura yangu itabaki kuwa siri. Japo CCM hawajawah kupata Kura yangu since 95.
Hii michezo ya kisiasa ninayoiona Ni ya KIJINGA SANA KUPATA KUTOKEA
View attachment 1386246
Wale wanaolazimisha undugu kukiona cha moto , kwa kadiri ninavyomfahamu mtu huyu ambaye hajawahi kumung'unya maneno naamini kesho kuna watu watakimbia kwa aibu.
Safi sana!Ndugu unamchangia kwa kumuitia waandishi wa habari?Unaenda segerea pia na kundi la makamera ili upate kiki,sasa umejipiga bao na waliokushauri,propaganda imebackfire!
Mjipepetue weeee mara paaaaap! Msigwa aachana na CHADEMA na kujiunga na CCM ndio mashavu yatakapo washuka
View attachment 1386246
Wale wanaolazimisha undugu kukiona cha moto , kwa kadiri ninavyomfahamu mtu huyu ambaye hajawahi kumung'unya maneno naamini kesho kuna watu watakimbia kwa aibu.
Walimuomba lini? na kupitia wapi? na polepole alifuata nini? chezeni michezo ya kikubwa basi achaneni na ya kitotoHii habari imeishachuja! Rais ALIOMBWA NA NDUGU WA MSIGWA awasaidie mchango wa kumlipia ndugu yao kutoka jera! Rais alikuwa anatekeleza ombi la hao wazee hivyo mambo ya alikuwa kaishalipiwa hama la!! hayamuhusu Rais!
Hii siasa kweli yaani chadema waanze na kumtoa msigwa bila mwenyekiti wake na katibu mkuu ambao ndo wenye majukumu makuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliambiwa na nani kuwa Mch. Msigwa huwa anaishi kwa misaada ya Magufuli!!!?
Hivi ni kweli Rais anahusika kwa hiki? Mbona naona ni siasa za kishamba ndizo zinazoendelea. Mwaka huu tutaona mengi ya hovyo yakifanyika.Mbunge wa Iringa mjini, Mchungaji Peter Msigwa amekataa kupanda gari la serikali lililopelekwa gerezani Segerea ili kumchukua baada ya kulipiwa faini.
Awali kulitokea mzozo kati ya wafuasi wa CCM wakiongozwa na Ndugu Humphrey Polepole ambao walitaka Msigwa apande gari ya serikali kwa madai kuwa amelipiwa faini yake na Rais JPM, lakini wafuasi wa Chadema wakamtaka apande gari aliloandaliwa na Chadema kwa kuwa chama hicho ndicho kimemlipia faini kupitia michango ya watanzania.
Wafuasi hao walidai kwamba wakati Rais JPM anapeleka fedha tayari Chadema ilikua imeshamlipia Msigwa na hivyo fedha hiyo irudishwe kwa Rais ili ikafanye shughuli nyingine za maendeleo.
Kufuatia mzozo huo wafuasi wa Chadema walizuiwa kuingia gerezani humo na wafuasi wa CCM wakiongozwa na Polepole waliingia wakiwa kwenye magari ya serikali tayari kumlaki Msigwa.
Lakini Msigwa alikataa kupanda gari ya serikali aliyoandaliwa na kutembea kwa mguu hadi nje ya gereza walikokuwa wafuasi wa Chadema ambao wamemlaki kwa shangwe na sasa anaelekea makao makuu ya Chadema, eneo la Kinondoni ili kufanya mkutano na wanahabari.!
Acha fikra za darasa la nne. Mishahara yote tunakulipa sisi wananchi tunaotoa kodi. Na hao unaowasifu eti wanakulipia wangekuwa kweli wanakupenda ungeshakuwa na mshahara mara 4 ya uupatao.Yote ya yote Mimi na familia yangu nafaidika na serikali ya ccm kwa kuwa inanilipa mshahara, na Kuna wengine humu wanafaidika na chadema kwa kuwa inawalipa mshahara, sifungamani na upande wowote, na Kura yangu itabaki kuwa siri. Japo CCM hawajawah kupata Kura yangu since 95.
Hii michezo ya kisiasa ninayoiona Ni ya KIJINGA SANA KUPATA KUTOKEA
ikiwa hivyo tumepanga kurekodi video na kuisambaza kila mahaliPolisi lazima watamzuia ili kumsitiri Bwana yule.
CCM inalindwa na polisi tu , hakuna chama mleSerious hii issue imewaongezea pointi za kutosha CDM, naamini CCM now watakuwa wanajilaumu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app