Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Duuuuh, aibu ya Karne hii. Kwa nin CCM wanafosi Mambo hivi? Walitaka kumnunua Msigwa kwa style ya Kimafia.
 
Yaani ni vituko na mazingaombwe kila mahali kwa kweli.Mimi kuna wakati najiuliza hivi hizi mbwembwe na vituko kila leo ni kwa maslahi ya nani. Iko shida mahali kwa kweli sio bure.
100%, kunakitu kisichoeleweka haya mambo hayawezi kuwa hivihivi tu, tusubiri muda uongee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1386246
Wale wanaolazimisha undugu kukiona cha moto , kwa kadiri ninavyomfahamu mtu huyu ambaye hajawahi kumung'unya maneno naamini kesho kuna watu watakimbia kwa aibu.
Hakuna jipya zaidi ya kutafuta huruma ya wapiga kura.

WaTz kwa sasa wanataka maendeleo yao kwa vitendo na si ngonjera na longolongo za wachumia tumbo kupitia siasa.

Awe mwangalifu na lugha atakayotumia la akifikishwa tena kwenye chombo cha haki, atakuka miaka gerezani.
 
Tunaomba mbowe tumtoe Jtatu ili wiki ijayo ipigwe press conference ya kimataifa siku ya ijumaatatu .... Vyombo vya kimataifa vyote viwepo...


Chadema hakikisheni Kama watu walikuwepo siku ya hukumu wanakuwepo pia siku ya kutolewa.. Ipigwe Press moja ya maana kuadress dunia nchi ilivyo ya kijinga.... Mambo yote yafumuliwe siku hiyo...


Social digital managers wa chadema wahakikishe matukio na maneno yote watakayoongea viongozi wanaya-tag instant bila kupoteza muda kwa mamlaka za kimataifa , UN, ICC na nchi za mabeberu zinazotoa misaad tanzania...



Yani ningekuwa mtu wa mikakati hapo chadema Kuna mtu angekufa kwa presha Haki ya Mungu.


Kitu pekee watanzania hawawez kukuangusha mtu ni Vita vya mitandaoni... Kama Wakina Ujugu waliandika Meseji Aston villa samata apangwe hatushindwi kuvamia Account za mitandao ya kijamii ya Mashirika ya kutetea haki za binadamu pamoja na nchi za wahisani bila kusahau taasisi na vyombo vya kimataifa kutetea haki.


Chadema hakikisheni kila taarifa mnayoandika ya uvunjifu wa haki za binadamu mna-tag hivyo vyombo ili dunia ijue. Kuendelea kukaa kimya ndio silaha Yao Hawa wauaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchungaji Msigwa hana sababu ya kusema lolote ambalo litaonekana kuwa baya kwa mtu yeyote.

Kwa hiyo wenye hofu waondoe hilo, na wenye tegemeo la kusikia shutuma msitegemee kuwa ndivyo itakavyokuwa.

Inatosha kutoa shukrani za dhati kwa ujumla kuwashukuru waTanzania, kwa niaba yake na wenzake kwa misaada mbalimbali, ikiwemo ya hali na mali.

Haitaongeza chochote kwake kushutumu au kuzungumzia mambo binafsi yeye na familia yake.

Hana sababu kabisa ya kuongeza chochote kitakachoonyesha utofauti wa vitendo vyake alivyoonyesha baada ya kutoka kifungoni na wengi waliomtangulia ndani ya chama chake waliotimkia upande wa pili.

Kila mwenye nia ya kutaka kujua amekwishatambua ubovu wa uongozi uliopo sasa unaofanya mambo ya aibu bila hifadhi ya staha mbele za watu.

Mchungaji Msigwa kaonyesha njia, kwamba kuna mambo mhimu zaidi katika maisha ya binaadam kuliko hadaa za kijinga ambazo wengine wanadiriki kuziita siasa.

Bila shaka wengi waliobaki huko CHADEMA sasa wataimarika zaidi kwa kujua kwamba sio kila aliyeko ndani ya chama hicho ananunulika kama bidhaa.

Haya yanayofanywa na CCM sasa sio siasa ni uharamia.
 
Mchungaji Msigwa hana sababu ya kusema lolote ambalo litaonekana kuwa baya kwa mtu yeyote.

Hana sababu kabisa ya kuongeza chochote kitakachoonyesha utofauti wa vitendo vyake alivyoonyesha baada ya kutoka kifungoni na wengi waliomtangulia ndani ya chama chake waliotimkia upande wa pili.

Sure...
Actions speak louder than words!
Actions prove who someone is, words prove who they wanna be
Don't talk, just act. Dont say, just show. Don't promise, just prove.
Actions always prove that words mean nothing.
 
Back
Top Bottom