Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Mh. Rais na Msigwa ni ndugu na pia ndugu wa Msigwa waliomba mchango kwa mh. Rais baada ya kujichanga na kupata 2 mil, ikabakia mil 38, Mh. Rais akatoa kwa huruma kama ndugu yake baada ya kuombwa. Sasa hapo kuna ubaya gani? Sema Msigwa ana deko sana ila atapata shida siku moja na atakosa msaada kabisa, shauri yake
vijana wa pole humu hamna akili sijui anawatoa wap
 
Yaani ni vituko na mazingaombwe kila mahali kwa kweli.Mimi kuna wakati najiuliza hivi hizi mbwembwe na vituko kila leo ni kwa maslahi ya nani. Iko shida mahali kwa kweli sio bure.
Hii nchi kuendelea sijui kama itaendelea . Jamhuri inamshtaki mtu .. anahukumiwa kutoa faini , watu wanajichanga ili wamtoe ... Halafu sehemu ya jamhuri ambao ndio walimshtaki Huyo mfungwa wanajichanga na wao wamtoe mtu waliomshitaki ... Hahaha hii nchi Mungu ndio anajua tunakoelekea...


Mungu Kama upo kweli tuondolee hizi aibu ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utafiti unaonyesha kwamba hakuna mtu yeyote wa maana siku hizi anayeunga mkono ccm , wamebaki wachumia tumbo tu
Kuna group mbili ndio usapoti kile chama cha ujamaa ni either uwe ni mnufaika hapa utawakuta wapiga dili wa awamu hii,wahamiaji haramu hasa warundi kupata covers, watumwa wa hiari walionunuliwa kwa kuhongwa teuzi au pili ni lzm uwe ni mnyonge ( a future less person) hapa unawakuta kula kulala wote kina mama wa nyumbani hoe hae wote nk
 
Back
Top Bottom