Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Wanaokulipa ni wananchi sio serikali ya ccm
 
Hii habari imeishachuja! Rais ALIOMBWA NA NDUGU WA MSIGWA awasaidie mchango wa kumlipia ndugu yao kutoka jera! Rais alikuwa anatekeleza ombi la hao wazee hivyo mambo ya alikuwa kaishalipiwa hama la!! hayamuhusu Rais!
Walimuomba lini? na kupitia wapi? na polepole alifuata nini? chezeni michezo ya kikubwa basi achaneni na ya kitoto
 
Hivi ni kweli Rais anahusika kwa hiki? Mbona naona ni siasa za kishamba ndizo zinazoendelea. Mwaka huu tutaona mengi ya hovyo yakifanyika.
 
Acha fikra za darasa la nne. Mishahara yote tunakulipa sisi wananchi tunaotoa kodi. Na hao unaowasifu eti wanakulipia wangekuwa kweli wanakupenda ungeshakuwa na mshahara mara 4 ya uupatao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…