hahahaha qumermaqe hii CCM imegeuka kituko cha karne. π π πHii picha ni kama mwanaume mwenye pesa ila hana nguvu ya kiume. Unapeleka pesa ila mbunye inaliwa na house boy hahahahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
WAKO WAPI WANA MIKAKATI MAHIRI WA CCM ...WAMEWAACHIA HAWA "UKAWA2015" SECRETARIAT YAO ONA SASA COMEDY .............YAANI INACHEKESHAHabari,
Hii ni baada ya Polepole na team yake ya Lumumba kujaribu kutafuta Kiki ya kisiasa kupitia hukumu ya viongozi wa Chadema.
Naona walizidiwa akili, documents za ushahidi wa malipo Chadema wamezitoa lakini ccm hawajazitoa.
View attachment 1385910View attachment 1385910
Polepole ni mpuuzi anafanya watu kama bidhaa,siasa zisitutoe utu. Akakimbuke tu kulikuwa na kina Nape na Mwigulu kabla ambao hajafika hata robo ya ujinga wao lakini wako wapi sasa
Hongera mh Rais JPM Kwa kumlipia faini msigwa
Plan failed we uko wapi kiki is bumalingHongera mh Rais JPM Kwa kumlipia faini msigwa
Kamlipia 38m! Si kuna kaundugu hapo kati!?Leta uthibitisho wa malipo!!
Tuondolee alshabab hapa sio somalia
Masikini ikulu, masikini CCM, masikini nchi yangu. Tumefikaje hapa?
Hao ndo wanaume walobaki .sio li mashinji &the coKagoma kuusujudia msalaba ili apigwe chapa aibu kwa ccm hii,
Imebuma labda zitumike kumlipia mwingine Mbowe au mnyika msigwa ashasepaKamlipia 38m! Si kuna kaundugu hapo kati!?
Hivi Hawa Mapandikizi hapo secratariat Lumumba wameishiwa mbinu kabisa .....mbona wanatia aibu na mbinu za kitoto>???
SHAME
SHAME
SHAME
Hahahaha Meko huko aliko aibu aliyonayo nahisi wamchunge asije akajitosa baharini.[emoji28][emoji28][emoji28]
NimekuchekaView attachment 1385910View attachment 1385910
Polepole ni mpuuzi anafanya watu kama bidhaa,siasa zisitutoe utu. Akakimbuke tu kulikuwa na kina Nape na Mwigulu kabla ambao hajafika hata robo ya ujinga wao lakini wako wapi sasa