Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Hoa ndugu wa Msigwa anawekwa ndani kila siku huko Iringa ndio waje kufanya drama huku ....siku zote Msigwa anapelekwaga Segerea mbona hawaendi kumpelekea uji ...
Siasa za Kitoto na za kumdhalilisha hata rais mwenyewe ....Tatizo Kazungukwa na watu shallow sana kiuelewa ...sasa ndio nini hii kama sio aibu tu kwa Urais
Ila naona hata undugu utapungua sana sasa, Msigwa akipata tu shida kuanzia sasa Mh. Rais hawezi kabisa msaidia kwa hili lililotokea, na hata ingefaa Msigwa angetoa neno la shukrani kwa Mh. Rais, sasa hizo hela zikirudishwa kwa Mh. Rais navyojua hatakubali tena kutoa msaada hata huko kwao nyumbani, sbb atasema niliingiwa na huruma nikatoa msaada baada ya ndugu zenu kunijia, ila nikapata fedheha. Yaani Msigwa shauri yake