Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Hoa ndugu wa Msigwa anawekwa ndani kila siku huko Iringa ndio waje kufanya drama huku ....siku zote Msigwa anapelekwaga Segerea mbona hawaendi kumpelekea uji ...
Siasa za Kitoto na za kumdhalilisha hata rais mwenyewe ....Tatizo Kazungukwa na watu shallow sana kiuelewa ...sasa ndio nini hii kama sio aibu tu kwa Urais

Ila naona hata undugu utapungua sana sasa, Msigwa akipata tu shida kuanzia sasa Mh. Rais hawezi kabisa msaidia kwa hili lililotokea, na hata ingefaa Msigwa angetoa neno la shukrani kwa Mh. Rais, sasa hizo hela zikirudishwa kwa Mh. Rais navyojua hatakubali tena kutoa msaada hata huko kwao nyumbani, sbb atasema niliingiwa na huruma nikatoa msaada baada ya ndugu zenu kunijia, ila nikapata fedheha. Yaani Msigwa shauri yake
 
Hii habari imeishachuja! Rais ALIOMBWA NA NDUGU WA MSIGWA awasaidie mchango wa kumlipia ndugu yao kutoka jera! Rais alikuwa anatekeleza ombi la hao wazee hivyo mambo ya alikuwa kaishalipiwa hama la!! hayamuhusu Rais!
Yani hili jamaa tangu liandike upumbavu wake Nikiliona napata hasira Sana Eti "Hela zote ni Mali ya raisi "
 
Hii nchi kuendelea sijui kama itaendelea . Jamhuri inamshtaki mtu .. anahukumiwa kutoa faini , watu wanajichanga ili wamtoe ... Halafu sehemu ya jamhuri ambao ndio walimshtaki Huyo mfungwa wanajichanga na wao wamtoe mtu waliomshitaki ... Hahaha hii nchi Mungu ndio anajua tunakoelekea...


Mungu Kama upo kweli tuondolee hizi aibu ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu na exposure ni kitu muhimu sana
 
Ila naona hata undugu utapungua sana sasa, Msigwa akipata tu shida kuanzia sasa Mh. Rais hawezi kabisa msaidia kwa hili lililotokea, na hata ingefaa Msigwa angetoa neno la shukrani kwa Mh. Rais, sasa hizo hela zikirudishwa kwa Mh. Rais navyojua hatakubali tena kutoa msaada hata huko kwao nyumbani, sbb atasema niliingiwa na huruma nikatoa msaada baada ya ndugu wenu kunijia, ila nikapata fedheha. Yaani Msigwa shauri yake
Kwani alimuomba wakati anawabambika kesi alifikiria kuhusu undugu au baada ya kiki kubuma na kuona nguvu ya umma.kama aliweza mtoa lulu bure alishindwa vipi kuwafutia mashtaka
 
Sio tatizo kikubwa kalipiwa faini Na mh. Rais Na katoka.
Mchango wa Rais umesaidia sana kutoka kwa msigwa leo Na kujumuika Na familia yake.

Bonge la aibu, hakuna mtu alikuwa anataka mchango wake. Yeye aache tu kuagiza mahakama na vyombo vya dola kuwakomoa wasiomkubali. Tunahitaji tume huru ya uchaguzi na sio michango yake huku akiwa ndio anayeagiza upindishaji wa sheria.
 
maigizo hata yale ya Kaole yana afadhali..ngoja tuone...
 
Ndioooooooooooo ndugu wa Msigwa ambao pia ni ndugu wa Mh. Rais kwani wameoleana, walimwendea Mh. Rais na kuomba msaada. Ww ulijua alitoa tu bila kuombwa?
Wakati anamfunga akujua kuna undugu?
 
Mh. Rais anatengeneza tatizo na kulitatua ili apate huruma ya wananchi...

Ila kwa hili ameanguka pakubwa maana ameiahia kupata fedheha kubwa sana...

Swali la kujiuliza ni kwamba alikua wapi siku zote hizo kutoa mchango? na kwanini leo? hii inaonesha kwamba mpango aliokuwa ameuandaa umeanguka vibaya mno...

Hakika huu mchezo hatourudia tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Msigwa akiongea hovyo, tunamrudisha mahakamani, achunge ulimi wake, si anaringa tumejaribu kumsaidia hataki, sasa akienda mahakamani tena hakuna msaada tena hata akiita Magufuliiiiiii njooooooo baba njooooo Mh. Rais njoooooooo hakuna tena kumsaidia.. Shauri yake 😅😅😅
Labda mmtumie wasiojulikana
 
Back
Top Bottom