Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Aibu ya karne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe haupo hii dunia..sifatilii tena siasa ila you tube ipo! Kamuone msigwa anaongea na ndg wa mh!nimeiona huko sijachek..ndg wamechanga 2m !jamaa akamalizia 38Leta uthibitisho wa malipo...!!
Kakataa kupanda ipo siku atapanda kwa hiari.
Hii picha ni kama mwanaume mwenye pesa ila hana nguvu ya kiume. Unapeleka pesa ila mbunye inaliwa na house boy hahahahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Inauma hiyoohahahaha qumermaqe hii CCM imegeuka kituko cha karne. [emoji28][emoji28][emoji28]
Kosa kubwa kafanya rais. Ukishakuwa mtu mkubwa, kiongozi wa nchi hupaswi hata kidogo kuonyesha upendeleo kwa familia yako na ndugu zako. Nyetere alikemea sana hili. Rais ni baba wa watanzania wote na teye ndite custodian wa hazina yote ya nchi. Sasa akianza kufanya vitendo kama hivi inatilia madhaka uadilifu wake. Kwa nafadi yake alipaswa haya kama ni kusaidia afanye kimya kimya isijulikane. Lakino yeye kaona kutangaxa ni sifa kumbe inamharibia. Ni watanzania wangapi wapo magereza wakiwa wameshindwa kulopa faini? Kwa hiyo wao wataozea magereza kwa sababu hawana undugu na rais? Hii ilikuwa move ya hovyo sana.Mh. Rais na Msigwa ni ndugu na pia ndugu wa Msigwa waliomba mchango kwa mh. Rais baada ya kujichanga na kupata 2 mil, ikabakia mil 38, Mh. Rais akatoa kwa huruma kama ndugu yake baada ya kuombwa. Sasa hapo kuna ubaya gani? Sema Msigwa ana deko sana ila atapata shida siku moja na atakosa msaada kabisa, shauri yake
Kumbe haupo hii dunia..sifatilii tena siasa ila you tube ipo! Kamuone msigwa anaongea na ndg wa mh!nimeiona huko sijachek..ndg wamechanga 2m !jamaa akamalizia 38
Acha upumbavu utaunguza mboga wewe housegirl.Mh. Rais na Msigwa ni ndugu na pia ndugu wa Msigwa waliomba mchango kwa mh. Rais baada ya kujichanga na kupata 2 mil, ikabakia mil 38, Mh. Rais akatoa kwa huruma kama ndugu yake baada ya kuombwa. Sasa hapo kuna ubaya gani? Sema Msigwa ana deko sana ila atapata shida siku moja na atakosa msaada kabisa, shauri yake
Huyu kiumbeHabari,
Hii ni baada ya Polepole na team yake ya Lumumba kujaribu kutafuta Kiki ya kisiasa kupitia hukumu ya viongozi wa Chadema.
Naona walizidiwa akili, documents za ushahidi wa malipo Chadema wamezitoa lakini ccm hawajazitoa.
So what
Ha ha haaaHabari,
Hii ni baada ya Polepole na team yake ya Lumumba kujaribu kutafuta Kiki ya kisiasa kupitia hukumu ya viongozi wa Chadema.
Naona walizidiwa akili, documents za ushahidi wa malipo Chadema wamezitoa lakini ccm hawajazitoa.
Eti usitufuate fuate kwenye Mambo yetu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]