Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Imebuma labda zitumike kumlipia mwingine Mbowe au mnyika msigwa ashasepa

Mkuu zimelipwa ila hajatak kuongea na waandishi
Hii ni km unakutana na demu bar mnaahidiana kulala naye.demu anakunywa bia nyingi weee ukijua unaenda kula mzigo .demu anapitia chooni huyoooo😠😠😠😠..so hapa Rais wenu alijua atakula mzigo...! Tumbafu!
 
Hoa ndugu wa Msigwa anawekwa ndani kila siku huko Iringa ndio waje kufanya drama huku ....siku zote Msigwa anapelekwaga Segerea mbona hawaendi kumpelekea uji ...
Siasa za Kitoto na za kumdhalilisha hata rais mwenyewe ....Tatizo Kazungukwa na watu shallow sana kiuelewa ...sasa ndio nini hii kama sio aibu tu kwa Urais
 
Haahaaa... What a play... Lets see how this is gonna end!
 
Mchango wa mh Rais umesaidia sana,
Chadema iliomba msaada wa michango Kwa wananchi wote Na Rais JPM kaitikia ombi lkn pia familia ya mchungaji msigwa imeomba msaada kutoka Kwa Rais Na Rais kakubali ombi, tatizo linatoka wapi?
Hongera sana Kwa Rais
Chadema walitoa account no.hela zitumwe huko ye kapeleka benki kakuta chadema wameshalipa ye akajengee daraja huko kiegeya magari yapite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutachangia tena sisi wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi kuendelea sijui kama itaendelea . Jamhuri inamshtaki mtu .. anahukumiwa kutoa faini , watu wanajichanga ili wamtoe ... Halafu sehemu ya jamhuri ambao ndio walimshtaki Huyo mfungwa wanajichanga na wao wamtoe mtu waliomshitaki ... Hahaha hii nchi Mungu ndio anajua tunakoelekea...


Mungu Kama upo kweli tuondolee hizi aibu ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo pesa akaboreshe magereza ili wakiingia huko wakute safi hawa wafungwa watarajiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…