babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
Hongera mh Rais JPM Kwa kumlipia faini msigwa
Imebuma labda zitumike kumlipia mwingine Mbowe au mnyika msigwa ashasepa
Hoa ndugu wa Msigwa anawekwa ndani kila siku huko Iringa ndio waje kufanya drama huku ....siku zote Msigwa anapelekwaga Segerea mbona hawaendi kumpelekea uji ...Mh. Rais na Msigwa ni ndugu na pia ndugu wa Msigwa waliomba mchango kwa mh. Rais baada ya kujichanga na kupata 2 mil, ikabakia mil 38, Mh. Rais akatoa kwa huruma kama ndugu yake baada ya kuombwa. Sasa hapo kuna ubaya gani? Sema Msigwa ana deko sana ila atapata shida siku moja na atakosa msaada kabisa, shauri yake
Siku hizi Lumumba kumebakia misukule tu walamba viatu chama kimekuwa cha comedy sio cha reasoning ngoja polisi nao wawatose sijui watabebwa na nani.
Atakula manyoya demu ameliwa na wajanjaMkuu zimelipwa ila hajatak kuongea na waandishi
Hii ni km unakutana na demu bar mnaahidiana kulala naye.demu anakunywa bia nyingi weee ukijua unaenda kula mzigo .demu anapitia chooni huyoooo😠😠😠😠..so hapa Rais wenu alijua atakula mzigo...! Tumbafu!
Haahaaa... What a play... Lets see how this is gonna end!Mbunge wa Iringa mjini, Mchungaji Peter Msigwa amekataa kupanda gari la serikali lililopelekwa gerezani Segerea ili kumchukua baada ya kulipiwa faini.
Awali kulitokea mzozo kati ya wafuasi wa CCM wakiongozwa na Ndugu Humphrey Polepole ambao walitaka Msigwa apande gari ya serikali kwa madai kuwa amelipiwa faini yake na Rais JPM, lakini wafuasi wa Chadema wakamtaka apande gari aliloandaliwa na Chadema kwa kuwa chama hicho ndicho kimemlipia faini kupitia michango ya watanzania.
Wafuasi hao walidai kwamba wakati Rais JPM anapeleka fedha tayari Chadema ilikua imeshamlipia Msigwa na hivyo fedha hiyo irudishwe kwa Rais ili ikafanye shughuli nyingine za maendeleo.
Kufuatia mzozo huo wafuasi wa Chadema walizuiwa kuingia gerezani humo na wafuasi wa CCM wakiongozwa na Polepole waliingia wakiwa kwenye magari ya serikali tayari kumlaki Msigwa.
Lakini Msigwa alikataa kupanda gari ya serikali aliyoandaliwa na kutembea kwa mguu hadi nje ya gereza walikokuwa wafuasi wa Chadema ambao wamemlaki kwa shangwe na sasa anaelekea makao makuu ya Chadema, eneo la Kinondoni ili kufanya mkutano na wanahabari.!
NepotismKamlipia 38m! Si kuna kaundugu hapo kati!?
Nepotism
Wameambiwa hakuna nyongeza ya mshahara utashangaa bado wanaisapoti ccm kuna kazi zingine nadhani unarogwa kwanza ndio unaajiriwa aisee.Polisi wengi ni form four leaver..hawawezi kupindua wale
Chadema walitoa account no.hela zitumwe huko ye kapeleka benki kakuta chadema wameshalipa ye akajengee daraja huko kiegeya magari yapiteMchango wa mh Rais umesaidia sana,
Chadema iliomba msaada wa michango Kwa wananchi wote Na Rais JPM kaitikia ombi lkn pia familia ya mchungaji msigwa imeomba msaada kutoka Kwa Rais Na Rais kakubali ombi, tatizo linatoka wapi?
Hongera sana Kwa Rais
Zombie lingine la maCCM hili huku, halijui hata kinachoendelea.Sio tatizo kikubwa kalipiwa faini Na mh. Rais Na katoka.
Mchango wa Rais umesaidia sana kutoka kwa msigwa leo Na kujumuika Na familia yake.
YouTubeKavideo kidogo
Tutachangia tena sisi wananchiSasa Msigwa akiongea hovyo, tunamrudisha mahakamani, achunge ulimi wake, si anaringa tumejaribu kumsaidia hataki, sasa akienda mahakamani tena hakuna msaada tena hata akiita Magufuliiiiiii njooooooo baba njooooo Mh. Rais njoooooooo hakuna tena kumsaidia.. Shauri yake [emoji28][emoji28][emoji28]
Hii habari imeishachuja! Rais ALIOMBWA NA NDUGU WA MSIGWA awasaidie mchango wa kumlipia ndugu yao kutoka jera! Rais alikuwa anatekeleza ombi la hao wazee hivyo mambo ya alikuwa kaishalipiwa hama la!! hayamuhusu Rais!