Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Si walienda mpaka kwenye mdahalo star tv kwa odembaNi yeye anasema hivi, au wewe?
Msigwa ni kirusi ndani ya CHADEMA. Aondoshwe.Unapo shindwa kwenye free & fair election then unang'ang'ana kukata rufaa inaonyesha ofisin ulikua na maslahi binafsi na sio ya wananchi na chadema..
Ngoja twende kwenye kamati kuuKama asemayo mchungaji yana ukweli; hata chembe ndogo tu ya ukweli, basi huyo virusi ndani ya chama atakuwa ni hatari sana kwa uhai wa chama chenyewe. Huyo kirusi siyo wa kuchezewachezewa na kujifanya chama hakimuoni.
Kwa hiyo hata kama aliona dosari, alitakiwa akubali au siyo?Msigwa alitakiwa aseme TUMEMALIZA UCHAGUZI NA TUMETOKA HAPA TUKIWA WAMOJA ZAIDII
Frank Mwakajoka nadhani ni Makam mwenyekitiNaheshimu demokrasia. Ila nimeumia kwa Msigwa kushindwa na Sugu. Hivi yule frank wa somvwe kapata nafasi gani kwenye kanda?
Na usisahau kuwa sio mchaggaMsigwa ni kirusi ndani ya CHADEMA. Aondoshwe.
Alitakiwa kuwepo hata kule wajumbe walipopewa laki tano hadi milioni; si ndivyo unavyosema wewe hapa?Kura alihesabu nani? hakuwa na wakala? Au hakwenda mwenyewe kusimamia kura zake kwenye majumlisho?
Wewe unaamini Msigwa hajatowa pesa? au amezidiwa dau?Alitakiwa kuwepo hata kule wajumbe walipopewa laki tano hadi milioni; si ndivyo unavyosema wewe hapa?
Swali la KIJINGAKura alihesabu nani? hakuwa na wakala? Au hakwenda mwenyewe kusimamia kura zake kwenye majumlisho?
Hapana, siamini hivyo hata mara moja.Wewe unaamini Msigwa hajatowa pesa? au amezidiwa dau?
Kwahiyo waliompigia kura 52 wao hawakupewa pesa?
Kwanza anawadharirisha wajumbe.
Hata ACT sio cha upinzani kwani😁😁😭Mbowe ndio mchawi wa hiki chama. hatuna chama cha upinzani nchini, hata Tundu Lisu atakuwa anapata shida sana, anashindwa tu afanyeje, ila angekuwa na mbadala, hakika angeshakikimbia chama hiki zamani sana, kwasababu kina rafu, umwinyi, kupokea asali na udanganyifu mwingi. kama msigwa alilalamika kabisa kwamba Mrema kule mbeya alionekana ananyweshwa pombe na sugu, na lawama kibao, what do you expect.
Ya chadema waachie chadema mkuuNi AIBU kubwa kwa CHADEMA kumchagua Sugu badala ya Peter Msigwa. Hata mukiniambia kuwa Sugu alikuwa na fedha chafu na kagawa kwa wajumbe, fedha unapokea lakini kura unapiga kwa kutumia akili yako.
Naiombea hiyo rufaa ipite ili IWASAFISHE CHADEMA.
Unamuachaje mtu kama Msigwa ana madini, amenyooka, hanunuliki na ana VISION na kwenda kumpa kura mvuta bangi, mtu wa matusi, mvaa mlegezo??
Mimi SIYO CHADEMA ila you people ARE NOT SERIOUS!!
Kwa taarifa yenu, mukirudia makosa haya kwenye Ubunge wa Mbeya Mjini mkamismamisha SUGU 2025, JIMBO MNALIPOTEZA.
TULIA hakubaliki Mbeya ukiacha maeneo ya Uyole, Itezi, Igawilo na Iduda anakogawa hela na T-shirt. Lakini zile kata asilia za Mbeya Mjini yaani kuanzia Mwakibete hadi Iyunga, Sisimba, Mwansekwa Tulia Ackson si lolote.
Tafuteni mtu anayeuzika ila siyo SUGU
Hiyo ndio demkrasia tuitakayo, si mambo ya fomu moja ya uchaguzi.
Akiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua)
Ametangaza kukata rufaa kwenye Kamati Kuu ya Chama chake kupinga ushindi huo wa Sugu, bado haijajulikana kama Kamati Kuu ikiridhishwa na Madai yake nini kitatokea, Sugu atanyang'anywa Ushindi na kupewa Msigwa au Uchaguzi utarudiwa
Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
Pia soma
Urafiki wa Msigwa na ASAS una historia ndefu tangu 1980s hivyo kumfadhili siyo kumnunuaSasa kwa nini wachezewe akili namna hiyo kama wao ni watoto wachanga.
Maana yake ni kwamba wote wanaonekana kutokuwa imara katika wanayoyasimamia.
Kumbi ziko za kutosha lakini angeenda kuongelea kwenye ofisi za chama!Iringa hakuna kumbi bwashee..
Naiona chadema ikisambaratika endapo itashindwa kushughulikia kwa weredi ukigeugeu huu wa Msigwa. Kuna mkono wa adui nyuma ya Msigwa.Namuona Mchungaji Msigwa nje ya CHADEMA. Hizo rufaa ni mwanzo wa safari yake kutoka CHADEMA. Kote atasema hajatendewa haki. Usiku ule na hotuba ile aliyoitoa, alisifiwa kwa political maturity aliyoionyesha. Nini tena kimempata? Anatafuta sababu na cha kusema akijiondoa CHADEMA..
Ndiyo demokrasia yenyewe hiyo. Hajatenda kosa lolote kwa kuita vyombo vya habari.Kabla kusikiliza hiyo rufaa kamati ya nidhamu ya Chadema imuite na imhoji mchungaji Msigwa Kwa Nini aliita vyombo vya habari kusema atakata rufaa?
Kwani taratibu kichama si angeweza kata rufaa moja Kwa moja bila kuita vyombo vya habari
Kwani ndivyo katiba ya Chadema ndivyo inavyosema kuwa mtu akitaka kukata rufaa ndani ya chama lazima apitie kwanza kwenye vyombo vya habari Kwa kuitisha press conference?