Even MOre
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 204
- 298
- Thread starter
- #81
Mkuu Taasisi ni watu na watu lazima awepo mtu mwenye vision wa kuwaongoza ili kuifanya Taasisi iwe imara na Taasisi sio mtu mmojaHAJAWAHI kutokea mtu maskini na mwenye roho mbaya kama Lissu akajenga taasisi imara kiuchumi. Kama yupo tupeane updates.