Kama ni wa mwakaleli yaan wale weupe mwambie akimbieWakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Chomeka mkuki nje ya nyumba yake ukatest kama atamfaa mdogo wakoWakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Wengine hupiga goti wakihutubia tuYanahitaji heshima, na kwa wanyaki goti ni ishara ya kumheshimu mtu.
Hakuna wanyaki OG siku hizi utakuta hata kijijini kwao hajawahi enda Nyaki jina tu.....wamekulia mijini humu....oa tu mtarekebishana uzungu wenu mkiwa ndaniiiiiWakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Umesema wabena mkuu?Kwa Tanzania kabila lililo bakiza wife material ni wasukuma na wabena tu
YeahUmesema wabena mkuu?
Toa wabena hapo...walogi Acha kabisaa...nina case mbili Jamaa walioa wabena wote wametangulia mbele za haki....miongoni ni uncle anguKwenye tano bora za wake wa kuoa, ni hawa
1.wasandawe
2.Wasafwa
3.wabena
4.Wanyakyusa
5.Wasukuma.
Oa, ni wachamungu, wasikivu, wachapa kazi, wanyeneyekevu na utiina waaminifu.
Na hawana historia ya kuua waume zao
Kuna rafiki yangu, baba mnyaki, mama mnyaki. Lakini babake alimwambia akitaka kuoa asithubutu kuoa mnyaki.Hakuna wanyaki OG siku hizi utakuta hata kijijini kwao hajawahi enda Nyaki jina tu.....wamekulia mijini humu....oa tu mtarekebishana uzungu wenu mkiwa ndaniiiii
Muache aoe ili mpate vituko kwenye familia.Kwani hampendi kucheka ninyi.Wakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Achana na kabila hilo. Achana na kuuoa mwanamke mnyakyusa. Hao wanaolewa alama tu, yaani kutoa gundu.Wakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Hawafai hata kulumangiaYeah
Kwa nini hawafai?Hawafai hata kulumangia
Zamaniiii sasaaa hawana shidaaaaa....kabisaaa wame mic mijini zaidiii .....shida ilikuwa midomo kwa wadada.....Gubuuuu hasa ndugu zako...anataka awe juu yako....Kuna rafiki yangu, baba mnyaki, mama mnyaki. Lakini babake alimwambia akitaka kuoa asithubutu kuoa mnyaki.
Roho mbaya na uchawi ndo nyumbanKwa nini hawafai?
Wanawazidi wasugunsu aka wasukuma wavaa shanga?Toa wabena hapo...walogi Acha kabisaa...nina case mbili Jamaa walioa wabena wote wametangulia mbele za haki....miongoni ni uncle angu
Siamini hizo mambo za kichawi naona wapo poa sanaRoho mbaya na uchawi ndo nyumban
Bora happy mkuu...wabena ni nomaaaWanawazidi wasugunsu aka wasukuma wavaa shanga?
Aah...usiamini Ila upo...sema hujawah kukutana na wa aina hyoSiamini hizo mambo za kichawi naona wapo poa sana