Mdogo wangu anataka Kuoa Mnyakyusa atawaweza hawa watu?

Mdogo wangu anataka Kuoa Mnyakyusa atawaweza hawa watu?

Asiruhusu tu huyo dem ampande kichwani au ajue anapendwa sana, kujicontrol kwenye hali kama hizo hao watu huwa hawawezi, utadharauliwa waziwazi na wengi wao wanajiamini sana.
 
Wanyakyusa wanaongea mno, angalia humu jf wanawake wa kinyaki wana midomo sana

Sema watafutaji, mwanamke wa Kinyaki hauwezi kumwendesha eti kwa sababu wewe ndio unaleta riziki nyumbani

Ndio maana hata mkiachana kila mmoja anashika njia yake, wako wanajiamini sana kwenye utafutaji

Ila wanawapanda sana waume zao daah! Anakuwa kama mtawala kwenye nyumba
1000% fact!
 
Gaddem shit stay away from those women

Mwaka 2021 nawaaga masela jf naenda kozi mbeya nikavae gwanda . Namaliza fresh napangiwa kulekule niliuokutana nayo kwa yule binti wa kinyaki

Bora uncle muddy aliniagua ningesahau Manzese


Anyway asiye sikia la mguu uvunjika guu na lisemwalo lipo kama halipo laja


Ni wachawi wanapenda roga wanaume na wana roho mbaya
 
Ukipigwa na kitu kizito na mmoja sio kwamba ni wote wapo hivyo mkuu, ila wabena wengi wao ni wanawake bora wanaweza kuvumilia mikiki ya ndoa na niwachapa kazi na unaweza kuanza nao maisha katika hali yoyote ya kiuchumi bila kebehi ,dharau na masimango na ukatoboa bila stress.
Ukipata alieshika dini kaishika kwel kwl ila kama ni mchawi hua anao pia ule wenyewe...ni kuomba tu ubahatike kumpata wa hivo
 
Ukipata alieshika dini kaishika kwel kwl ila kama ni mchawi hua anao pia ule wenyewe...ni kuomba tu ubahatike kumpata wa hivo
Kuomba , uchawi hizo ni imani tu na sio uhalisia wa mambo, naona tusijikite huko 🤔
 
Wa kwangu ni Mmasai.

Wamasai wengi ni wakweli, waaminifu,hawapendi dhuluma nk.

Mwambie aangalie angalie kwenye kabila lake.
 
Wakuu sisi ni wamasai.

Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.

Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.

Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??

Tumshauri.
kwaiyo watu wa kabila fulani huwa wana share kila kitu? yaani tabia ,uchumi,dini,na elimu?
 
Back
Top Bottom