Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kushauri ujinga bossPesa yake, nguvu yake sasa wewe inakuuma nini? Kila mtu ana kipaumbele chake kwenye maisha. Kama yeye kipaumbele chake ni wanawake na hamsumbui mtu katika kutimiza kipaumbele chake wewe inakuuma nini dada?
Muache aishi maisha yake, mwisho wa siku akija kujuta hatokuwa na wa kumlaumu zaidi ya yeye mwenyewe.
Ushauri wangu kwako, kwanza mnunulie suruali moja, shati moja na tshirt ambazo zote ni za kisasa, na umpe umwambie bro nimekutea zawadi, atapendeza na kuanzia hapa anza polepole kumshauri namna ya kuvaa na pia maisha ya baadae atachange tuMdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Huyo akizeeka atakuja kuwa mzigo kwenu
Unapaswa utuambie kwanza umemsaidiaje kabla ya kuja hapa na kumwanika ndugu yako kana kwamba wewe uko safiMdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Unataka ajenge ili mjazane nyumbani kwake
Mwaka wa kumi analipwa million tatu au mwaka wa kumi anagegeda wanawake tueleweshe kwanzaMdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Wengi wa hivo huwa wanakuwa ni mizigo after kustaafu maana wanakuwa hawana familia wala saving yoyoteUnajua benki ana kiasi gani?
babyfancy anasema mpe namba yake aweze kumshauri kwa karibu!Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Wengi wa hivo huwa wanakuwa ni mizigo after kustaafu maana wanakuwa hawana familia wala saving yoyote
Penye miti hakuna wajenzi....Mimi Nina mshahara wa laki Tisa na elfu sitini . lakini ninachokishika in laki 7 tu..Nina mikopo progressive nimejenga kwa halu yangu natembea na piki japo wese parefu!Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Sio ku understimate Hilo ni janga la wanaume wengiUsimwa-underestimate mwanaume. Labda kama ni mlevi....
Muache ushamba ukiisha ataacha.Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.