Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake

Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake

Ila chupi zinafilisi sana..kuna wanawake wana gundu hatari! Kuchanganya mashimo kuna poteza focus! Madereva wale wazoefu wamenielewa.
 
Mkuu, nahisi huyo si kaka yako, Ni Mume wako. Na kama ni hivyo basi chunguza sababu ni nini. Labda anafanya yake kimya kimya kwa sababu ya tabia zako. Au katekwa na shangingi linalo jua kudhibiti . Ni ushauri wangu tu kwako kama ni hivyo...!! Rekebisha mapema.
 
Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.

Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.

Anaishi nyumba ya kupanga.

Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.

Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.

Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.

Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.

There is no way out zaidi ya kukaa nae chini na kumuelewesha tuu....
 
Haya ni matatizo ya familia yenu, sisi hayatuhusu...

Kama unaona anafaidi sana nenda kamchongee kazini kwake afukuzwe kazi ufurahi...
 
Mbona kawaida. Mtizamo wake ni tofauti na wa kwako. Hata mi niko kama yeye. Na tena kipato changu ni zaidi ya ulichotaja hapo. Watanzania wengi wakipata pesa wanafikiria nyumba lkn tupo ambao tuko tofauti na tunafurahia maisha yetu. Tunaweka pesa benki kwa ajili ya watoto. Ukiwa na pesa ya kutosha benki, unanunua nyumba siku yoyote ukitaka. Kuvaa? What is kuvaa? Kuvaa ni kusitiri utupu wako tu. That's all. Kujionyesha kwa watu kuwa unavaa vizuri ni ulimbukeni tu huo. Kama niliwahi kufanya hivyo labda zamani wakati niko mtoto. Chukulia maisha kirahisi, uishi kwa furaha. Mwisho wa siku tutazikwa tu na kuoza udongoni.
Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.

Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.

Anaishi nyumba ya kupanga.

Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.

Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.

Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.

Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
 
Kumbe tuko wengi. Yaani kuana watu na nyumba ni kama kobe vile. Hasa hawa akina mama. Utadhani watakaa hapa duniani milele. Kama mtu kaamua kujistiri katika nyumba ya kupanga, wewe unapata shida gani?
Huyu ni mwenzangu kabisa na tunaweza kukaa meza moja na tukazungumza jambo na kuelewana
 
Nyinyi wanawake si ndio mnalilia kuwa mpewe pesa . Mimi naona kakaako anafanya vizuri ili mjifunze kua wanaume sio ATM za kuwapa hela . Hapa unalalamika ila uko nyuma ya pazia unamkamua pesa mwanaume wako hata kumtumia mama yake elfu kumi hawezi
 
Inawezekana hata siyo mtu wa wanawake. Yaani watu wakishaona una pesa halafu haufanyi yale wanayowaza wao, basi wanasema wanawake wanamaliza pesa zako.
Pesa yake, nguvu yake sasa wewe inakuuma nini? Kila mtu ana kipaumbele chake kwenye maisha. Kama yeye kipaumbele chake ni wanawake na hamsumbui mtu katika kutimiza kipaumbele chake wewe inakuuma nini dada?

Muache aishi maisha yake, mwisho wa siku akija kujuta hatokuwa na wa kumlaumu zaidi ya yeye mwenyewe.
 
Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.

Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.

Anaishi nyumba ya kupanga.

Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.

Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.

Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.

Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
MAOMBI YANAHITAJIKA ILI UFAHAMU WAKE UMRUDIE!
 
Back
Top Bottom