babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]natumai nitajenga kwetu na mieUkimlinda njoo kwangu,mshahara elfu 50 per month na nautunza mpaka unakutana na mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]natumai nitajenga kwetu na mieUkimlinda njoo kwangu,mshahara elfu 50 per month na nautunza mpaka unakutana na mwingine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tatizo lako naijua dawa aki hela zitakua zinakaaMim ndo mdogo ake njoo inbox
Yaani nyumba wengine tunajenga kwasababu ya msukumo wa wazazi ila tofauti na hapo burudani zetu zipo kwenye nyumba ya kupanga hadi tunakufaKumbe tuko wengi. Yaani kuana watu na nyumba ni kama kobe vile. Hasa hawa akina mama. Utadhani watakaa hapa duniani milele. Kama mtu kaamua kujistiri katika nyumba ya kupanga, wewe unapata shida gani?
Ushidwe wewe tu, hahaha, na ata maji ufungue biashara kubwa town utapata[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]natumai nitajenga kwetu na mie
Acha dogo awaburuze watoto.Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Na akioa ugomvi na mawifi unaanzaMtafutie mke kama hajaoa
Acha wivu weye acha dogo afaidi mbususu yawezekana alisoma kwa shida enzi hizo hata mademu wa class walimtosa sababu hana hela Sasa leo hii ana pesa acha ale maisha duniani tunapita we unawaza kujenga nani alikwambia duniani tumekuja kujenga?Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Upumbavu mtupu.Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Namba SASA mbona mpaka sahiv sijapata? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushidwe wewe tu, hahaha, na ata maji ufungue biashara kubwa town utapata
Achana naye atakupotezea muda.Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake.
Huu ni mwaka wa kumi hajajenga wala kununua kiwanja.
Anaishi nyumba ya kupanga.
Havai vizuri, anavaa mishati na mitisheti mikubwa. Wakati mwingine anavaa suruali zilizopauka mpaka unaweza dhania hana kazi.
Safari zake nyingi anatembea kwa miguu hana usafiri hata pikipiki hana.
Mimi kama dada yake naona hadi aibu kumtambulisha kwamba huyu ndio kaka yangu anafanya kazi shirika fulani.
Naombeni ushauri ndugu zangu nimsaidieje huyu maana anaurudisha ukoo wetu nyuma.
Ataendelea kukunja nguo kwa umbea wake.