Wewe hujui siasa za Africa na madaraka ya Rais, Ben saanane alipotea hivi hivi loh. Mdude ajirekebisheAozee jela kwa makosa gani wakati mahakama imemkuta hana hatia? kumbe mnapenda udikteta bila kujua halafu kesho tena mnaanza kulia hamtaki udikteta!.
Sidhani kama unaelewa unachoandika, endelea kupiga filimbi tu bibie.Acheni kumdaganya mdude ajifunnze siasa za lugha ya staha
Pamoja na kuwa anaonewa huruma sana ila tangu mwanzo amekuwa akitumia lugha ambayo haina staha sana, hata kama hatukubaliani kiitikadi inatakiwa tushindane kwa hoja na tuheshimu mamlaka zilizopo......uhuru bila mipaka ni fujoTumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana na sidhani Mbowe ni mjinga mtu kama wewe ukaja kupata kupata cheo ndani ya CHADEMA usipoangalia kila siku wewe utakuwa mtu wa matatizo tu.
Mkuu na wewe hujielewi mtu mzima anashabikia mtu asiye na adabu, Mimi sikuwa shabikk wa jiwe ila lugha ya mdude ilikuwa chafu na kuvunjia heshima wakubwa in the name of politicsSidhani kama unaelewa unachoandika, endelea kupiga filimbi tu bibie.
Mimi sina tatizo sana na kejeli.Huu ndio uhuru wanaoutaka chadema.
Uhuru wa kumwaga matusi na kudhalilisha!
Wakishughulikiwa wanalia liaa... ohh tunanyanyaswa hatuna uhuru!
Chaaaa!!
Kwani Lipumba mwenye professor si alikua CUF damu na mbona baadae aligeuka na kuwa mnafiki, watz sisi kitu ukweli hatupendi kabisaMimi ni mshabiki, sio mwanachama, wa chadema na miaka ya nyuma tawi la chadema lilifunguliw nyumbani kwetu na mzee Brown Ngwilulupi akiwa makamu wa chama enzi hizo. Babangu alikua mwanachama na akajitolea chumba kiwe ofisi. Naujua upinzani vizuri lakini huu wa huyu bwege sio. Sio kila anayekosoa yuko upande wa pili.
Nimeipenda ID yako, Keep on struggling man!
CCM kuendelea kuitawala hii nchi inaharibu akili za wengi sana.Huu ndio uhuru wanaoutaka chadema.
Uhuru wa kumwaga matusi na kudhalilisha!
Wakishughulikiwa wanalia liaa... ohh tunanyanyaswa hatuna uhuru!
Chaaaa!!
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana na sidhani Mbowe ni mjinga mtu kama wewe ukaja kupata kupata cheo ndani ya CHADEMA usipoangalia kila siku wewe utakuwa mtu wa matatizo tu.
sitoki nje ya mada,nataka kichwa chako kikae sawa kama binaadamu mtu mzima.Swali langu je Jemadari Mdude alishawahi kufikishwa Mahakamani kwa kosa la kumtukana Mwananchi yeyote? au kutukana sio kosa la jinai? tokea lini hukumu ya kutukana inakawa ni kutekwa na kubambikiwa kesi? Naomba majibu tafadhali usitoke nje ya Mada.
Magufuli amekuwa madarakani mpaka alipofariki.Kwani kunyoa ndio kuua? Kwanini udhani mdude ndio alimuua Magu?
Magu si alikufa mdude akiwa gerezani ?
[emoji23][emoji23]..Jiwe ana brand names kibao mkuu,so don't get twisted.[emoji38]nimecheka sana hilo jina, huwa mnam brand sana mzee[emoji38], kwamba ni fashisti kama kina Mussolini
huwezi fanya ujinga sababu na fulani anafanya.
They can do better, inawezekana long term strategy za opposition zilikuwa based on the existence of Magufuli, the opposition needed Magufuli more than the ruling party katika hiki kipindi hiki (2020 - 2025).Is this the best the opposition can do?
Don't get me wrong, I am all for freedom of speech.
But then again, with freedom comes responsibility.
Sasa Mdude kamnyoa nani jamani? Wapi? Lini? Kivipi?
Au ndiyo mazingaombwe ya "fake it until you make it"?
Sasa ww utaamini vp kama ccm wanaiba kura wakati taari akili yako inaamini upinzani haiwezi kushinda hata mbunge mmoja ?Mimi nimekemea MATAGA wanapotumia lugha kali na za uongo au zilizo vague.
Nimekemea kauli za Magufuli na za Samia. Nimekemea kauli za Kikwete na Mkapa. Nimekemea kauli za Makonda ma makada wengi wa CCM.
Na nilitegemea upinzani uondokane na siasa hizo za kauli za uongo na propaganda mbuzi, utuoneshe siasa tofauti, tuone hawa watu ni tofauti na CCM. Watatufaa.
Mdude kamnyoa nani jamani? Lini? Wapi? Kivipi?
Sasa kama upinzani unaendeleza siasa zile zile za propaganda, mtu kanyolewa, halafu anasema yeye ndiye kanyoa wengine, kwa nini nione huyu atanifaa zaidi ya CCM?
Mtu aliyenyolewa, halafu anasema yeye ndiye kanyoa wengine, siku akisema kaibiwa kura nitaamini vipi kaibiwa kura kweli, na hasemi hivyo kwa sababu ni tabia yake tu kupindua maneno?
Hawa jamaa vilaza sana kwakweliLakini amesema akileta jeuri si ndio?
Lakin kama aki mtusi raisi ashitakiwe kwa kosa hilo na afungwe sio kubambikiwa kesi
OkMagufuli amekuwa madarakani mpaka alipofariki.
Sasa Mdude kamnyoa vipi Magufuli?
Mdude hakumshinda Magufuli katika uchaguzi. Hakumshinda mahakamani.
Kitu pekee ambacho kimantiki Mdude anaweza kudai kwamba kamnyoa Magufuli ni kama Mdude kashiriki katika njama za kumuua Magufuli na kafanikiwa.
Ndiyo hapo swali la kuuliza kama Mdude kamuua Magufuli linakuja.
Kwa sababu, kama hajamuua, kamnyoaje?