Rufaa iko wazi, na huu uzi unasema "Mdude grow up, siasa zako za kishamba" sasa Mdude kuuza Madawa ya kulevya wewe unafikiri ni Siasa za kishamba?sitoki nje ya mada,nataka kichwa chako kikae sawa kama binaadamu mtu mzima.
kama alikutwa na madawa ya kulevya bila kujali ni ya kwake au kawekewa,kwanini amechiwa!!!
[emoji23]sijuu alipokuwa akisoma humu alijisikiaje, mwenzake Idd amin aliwapigia simu waandaaji wa filamu yake na kuwapongeza[emoji23][emoji23]..Jiwe ana brand names kibao mkuu,so don't get twisted.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sijaona alipokosea, Mdude wembe uliotumia kumnyolea mwendazake, mvue mama ijabu mnyoe na yeye.
Katika akili yake anaamini kuwa ccm yoyote akifanya ujinga hana kosa na hajavunja sheria but upinzani akijaribu tu kufanya taari kavunja sheriaKaa kushoto tafadhali.
Samia anarudi kwa Magufi kuwapa wapinzani relevancy kwa kuendelea kukataa mikutano ya siasa nje ya majimbo.They can do better, inawezekana long term strategy za opposition zilikuwa based on the existence of Magufuli, the opposition needed Magufuli more than the ruling party katika hiki kipindi hiki (2020 - 2025).
Magufuli was poor kwenye propaganda za kuonyesha utawala wake ni wa kidemokrasia, aliwapa wapinzani justification ya "rafu" nyingi walizokuwa wakilalamikia, huenda aliwafundisha hata watu wengi mapungufu ya katiba iliyopo na umuhimu wa kumpunguzia Rais mamlaka.
With Samia uwanja wa siasa umebadilika, as much as anaweza kuwa anafanya yale yale au hata akaja kuwakandamiza upinzani zaidi lakini ni mtulivu na makini zaidi kwenye maneno matamu yanayompa "sifa" sio ndani tu ya nchi hata katika vyombo vya kimataifa, hata upinzani waliingia mkenge na kuanza kumsifia. Upinzani umeshituka wakiendelea hivyo wanaweza kupoteza relevancy, ndio maana wameamua kuwa aggressive na ishu ya katiba mpya, na huo ndio mtihani alionao Rais kwa sasa kama atataka kuendelea kuonekana ni mtenda haki ni jinsi atakavyojibu madai hayo ya katiba mpya.
Mdude hajamnyoa yoyote, hata huo wembe hana, anajaribu kupata relevancy kama mwanasiasa.
Sasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Umeandika vizuri sana mkuu.Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
Mdude hutumia lugha isiyo na staha, Sasa atamnyoa mama kwa lipi maana kipindi Cha mwendazake lugha yake haikuwa ya staha, vepe mama ange nyuti afie jela Moja kwa mojaKosa la huyu kijana ni lipi Cariha mpenzi? Sidhani kama kuna tusi katika maandishi yake. Shida kubwa ni jamii yetu ambayo imejengwa katika misingi ya uoga na viongozi wetu miungu watu ambao hawaguswi!!! Pole Mdude, upo sahihi lakini kwa jamii isiyo sahihi.
Wapinzani aina ya mdude ni machoko anajiona mandela mjinga huyu dogo
Ushauri mzuri.Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
Asweke ndani kwa kosa lipi mkuuSweka ndani huyo mdude sijui mdudu inawezekana hapendi uhuru aliopewa
Kwanza kabisa, sitaki kuamini, nataka kujua. Unaelewa tofauti?Sasa ww utaamini vp kama ccm wanaiba kura wakati taari akili yako inaamini upinzani haiwezi kushinda hata mbunge mmoja ?
Hahaha kwenye logical reasoning hii BAVICHA hutawaonaMagufuli amekuwa madarakani mpaka alipofariki.
Sasa Mdude kamnyoa vipi Magufuli?
Mdude hakumshinda Magufuli katika uchaguzi. Hakumshinda mahakamani.
Kitu pekee ambacho kimantiki Mdude anaweza kudai kwamba kamnyoa Magufuli ni kama Mdude kashiriki katika njama za kumuua Magufuli na kafanikiwa.
Ndiyo hapo swali la kuuliza kama Mdude kamuua Magufuli linakuja.
Kwa sababu, kama hajamuua, kamnyoaje?
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
Kweli kazidi, hata wewe umeona mamitoSasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Magufuli amekuwa madarakani mpaka alipofariki.
Sasa Mdude kamnyoa vipi Magufuli?
Mdude hakumshinda Magufuli katika uchaguzi. Hakumshinda mahakamani.
Kitu pekee ambacho kimantiki Mdude anaweza kudai kwamba kamnyoa Magufuli ni kama Mdude kashiriki katika njama za kumuua Magufuli na kafanikiwa.
Ndiyo hapo swali la kuuliza kama Mdude kamuua Magufuli linakuja.
Kwa sababu, kama hajamuua, kamnyoaje?
Hii ni wasifu ambao uswahili tunaita "Kizalia". Huwezi kumbadilisha huyu zaidi ya kumvumilia kwa yanayovumilika.Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535