Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Ukimtukana Mungu atakuhukumu atakavyopenda.... possibly huko mbinguni.....

Ukimtukana binadamu mwenye mamlaka basi ujiandae kwa vita katika maisha hayahaya.......
 
Mnachosha na nyinyi nchi ya Democrats hii wenzenu wanapigwa na mayai mpo dunia gani nyinyi?
 
Mnachosha na nyinyi nchi ya Democrats hii wenzenu wanapigwa na mayai mpo dunia gani nyinyi?
Afrika ina demokrasia yake....haifanani na ya wazungu....

Hushangai akina Museveni na sisi Tanzania kupinga Vita "ungese"?!!!

Lini umewaona "wangese" rainbow coalitions wakiandamana mitaani katika zile "parade" zao kama ulaya na Marekani?!!!
 
Mdude anawalaza bila viatu
Ashikilie hapohapo asiachie!
Ile ni kauli bora kabisa ya mwaka!

Wakati Magufuli anatukana watu sikusikua kelele hizi!
Unamponza mdude.
Sijawahi kuona ukitumia lugha kama za mdude kwa watu unaotofautiana nao msimamo au kisiasa.
 
Ukimtukana Mungu atakuhukumu atakavyopenda.... possibly huko mbinguni.

Ukimtukana binadamu mwenye mamlaka basi ujiandae kwa vita katika maisha hayahaya.
Magufuli amewafanyia unyama watu wengi Sana ikiwemo kuwauwa kabisa. Lkn leo yuko wapi?

So hiyo isikutishe kutetea haki yako hata ikibidi kwa kumtukana mtawala. Akikuuwa potelea pweteee!
 
Mdude ni bonge la boya.....

Anapigana Vita atakavyoshindwa.....

Sijui mijitu hiyo inaifikiriaje CCM?!!
Yaani wanakichukulia tu km chama Cha siasa kilicho tu madarakani 🤣🤣🤣
 
Kuna tofauti ya ku-express their views na kutukana. Msimjaze upepo halafu siro akimshughulikia muanze kutembeza bakuli na kulalamika.
 
Magufuli amewafanyia unyama watu wengi Sana ikiwemo kuwauwa kabisa. Lkn leo yuko wapi??

So hiyo isikutishe kutetea haki yako hata ikibidi kwa kumtukana mtawala. Akikuuwa potelea pweteee!
Basi nenda kamtukane hata mkuu wa mkoa pale ofisini kwake.....

Si unataka "kuplay hero" ili ukumbukwe na baadhi ya wajinga?!!!

Mtie tu ujinga huyo boya Mdude....
 
Kuna tofauti ya ku-express their views na kutukana. Msimjaze upepo halafu siro akimshughulikia muanze kutembeza bakuli na kulalamika.
Taja tusi hata moja alilotoa Mdude toka kinywani mwake.
 
Ndio ulichokiona hicho kwa wazungu mengi yaliomazuri mazuri kwao hujayaona
Nimeongelea jinsi hiyo demokrasia inavyotafsiriwa na kila nchi.....

Kumbuka haki za hao "madheha" huwa ziko ndani ya Uhuru wa kidemokrasia.....
 
Punguza ubwege!
ccm wote wanaimba kuchinja, kuchana chana na kutupa kule... Tena kwenye halaiki na spika kubwa.
Kwa Siri na kwa Uwazi wanachama wao wanaua na kutishia haki ya kuishi.
Unapokosoa kauli za Mdude twambie ulifanya nini kuikemea ccm!
Hivi jitu Zima unapata wapi moral audacity kuanzisha uzi wa hivi??
 
Mtoa hoja umeonyesha ni jinsi gani ilivyokua mpumbavu,kosa gani Mr.Mdude kalifanya ?amevunja sheria gani hapa?mwanaccm anapomtishia maisha Mr.Zito(hili ni kosa la jinai)maisha yanaendelea na husikiki ukipaza sauti maana mnajifanya Tanzania ni mali yenu sio ya watanzania wote,kunywa maji baridi na kipande kidogo cha lemon na tulia mkuu.
 
Ndo kisha sema sasa kwamba atamnyoa kwa wembe wake . Amefanywa nini? Ninyi chawa ndiyo mnapiga kelele aliyeambiwa kaufyata.
🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais kaufyata?!!!!

Yaani unamuambia mkuu wa nchi utamnyoa kwa wembe? Khaaa ha ha ha ha

Endelea tu kumtia ujinga huyo Mpumbavu Mdude.

Ila adhabu ya kaburi aijuaye maiti.....yakimkuta hutojitokeza KUMSAIDIA.

Aisee ninyi jamaa kweli ni KEYBOARD WARRIORS 🤣🤣
 
Taja tusi hata moja alilotoa Mdude toka kinywani mwake.
Mzee, tutumie akili kidogo. Mtu mzima tena mwanamke tena Rais na amirijeshi kumwambia atamnyoa kwa wembe uleule aliomnyolea mtangulizi wake hayo ni matusi makubwa sana. Je atamnyoa nywele zipi hasa?
 
Mzee, tutumie akili kidogo. Mtu mzima tena mwanamke tena Rais na amirijeshi kumwambia atamnyoa kwa wembe uleule aliomnyolea mtangulizi wake hayo ni matusi makubwa sana. Je atamnyoa nywele zipi hasa?
Huyo Mdude ni bonge la sakala.

Huyo Mdude ni bonge la boya.

Aendelee tu kuutafuta UMAARUFU ambao hautomsaidia binafsi Wala GENGE LAKE LA AKINA MBOWE.
 
Mzee, tutumie akili kidogo. Mtu mzima tena mwanamke tena Rais na amirijeshi kumwambia atamnyoa kwa wembe uleule aliomnyolea mtangulizi wake hayo ni matusi makubwa sana. Je atamnyoa nywele zipi hasa?
Mkuu itakuwa lugha ya kiswahili tu inakupiga chenga. Tangu lini neno KUNYOA likawa tusi??
 
Yaah! Kaambiwa atanyolewa kwa wembe, tena on camera. Kwani hujaona YouTube??
Sawa,

Endeleeni tu kumtia ujinga huyo sakala wa NYANDA ZA JUU KUSINI.

Yakimkuta hutomsaidia.

Binafsi naogopa kumtukana hata mtu mzima tu huku mitaani, sembuse mkuu wa nchi ?!!! Khaaa hivi ninyi mnavutaga bangee na masikio eee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…