Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Unajaribu kuwaeleza watu ambao Wana closed mind hawaelewi ni majinga hayo
 
Huyu jamaa ajifunze kukosoa kwa staha😬😬😬,la sivyo atakuwa Hana muda mrefu Sana mtaani.
 
Sasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Waafrica mmejaa unafiki na ujinga mwingi. Kwani kusema "wembe alioutumia kumnyolea Magufuli ndio atakaoutumia kumnyolea Samia " shida ni Nini ?

Sheria ipi inabainisha Hilo ni kosa?

Kama yesu au Mohammed walikuwa wanakosolewa sembuse samia
 
Mkamateni kwani wembe kazi yake nn si kunyolea pia kukatia. Kun ahaja gani kuibembeleza CCM na viongozi wake!
 
Sasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Kwani yeye ndo wakwanza kuzeekea jela
 
Huu wembe wake alimnyolea nani??
 
Huyu akibabatizwa kesi ya kumuua Magufuli na kupanga kumuua Hassan atakataa?

Wanajielewa basi, inafaa afinywe awamu hii ndio tujue anajua sheria au hajui, nikumpoteza ndani ya miaka mitatu watakua washamsahau hao wenzie wanaomwita mpambanaji
 
Hakika huyu kijana anahitaji kufundwa.

Chadema wamtengeneze anaweza kuwa bora kuliko sasa
 
Waafrica mmejaa unafiki na ujinga mwingi. Kwani kusema "wembe alioutumia kumnyolea Magufuli ndio atakaoutumia kumnyolea Samia " shida ni Nini ?

Sheria ipi inabainisha Hilo ni kosa?

Kama yesu au Mohammed walikuwa wanakosolewa sembuse samia
Kamnyoa Magufuli vipi, lini, wapi?

Magufuli kafanikiwa kisiasa -kwa maana ya kushika madaraka- mpaka alivyofariki akiwa rais.

Mdude kamnyoa vipi Magufuli?

Au Mdude ndiye aliyemuua Magufuli?
 
Hivi maamuzi ya mahakama hayana muda kwa muhusika kutojiusisha na matamshi yenye kuudhi kwa kipindi fulani?

Au kusema shauri lake lilihusu only dawa za kulevya?

Je, ikithibitika tena muhusika ni kawaida yake kutumia dawa za kusisimua misuli ya ubongo. Je, wakubwa zake watasema nini tena?
 
Wewe pimbi nani uliemuonea huruma? Nyinyi ndio mliokua mkipiga kelele asitoke, lugha za ukakasi ndio zinakunyima usingizi? Kama kavunja sheria peleka mashtaka mahakamani sio kutupigia kelele humu
Mkuu hata mimi ambaye sio CCM siungi mkono siasa za kitoto hizi, huyu ndg yetu afundwe awe na ushawishi na sio lugha tata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…