Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Habari za leo wakubwa na Vijana wenzangu

Niende kwenye maada moja kwa moja. Mimi ni Shabiki wa siasa za kistarabu na Kujengeana uwezo kupitia kukosoana kwa lugha nzuri na zenye staha ili kulindiana heshima.
Sasa ndugu zetu wa Chadema, Mna huyu kijana ambaye ametoka rumande juzi juzi baada ya kukalishwa mahabusu kwa siku takribani 357 ni kijana anayeonekana kuwa kama Akili yake haijakaa sawa sawa.
Leo nikiwa naperuzi kwenye mtandao wa Kijamii Twitter, nikakutana na hii kauli ya Jamaa huyu mdude imenukuliwa

“WEMBE niliotumia kumnyolea mtangulizi wake nitautumia kumnyolea yeye akiendelea kuleta Jeuri”

Mimi niwaombe viongozi wa CHADEMA Mmwambie huyu kijana alinde sana maneno yake asijekurudi alikotoka.

NI HAYO TU
mbowe kama ana akili amuonye hizo siyo siasa anamharibia na yeye yaani wote wanaonekana hawana akili kumbe asiye na aakili ni huo tu mdude ingawaje na mbowe jana kaanza kudemka utamlazimishaje rais afanye unavyotaka?
 
Kwa mjibu wa Vitabu nilivyoshika hapa vya Imani
Dunia haitakaa iwe SALAMA
wengi watakuwa hawana maadili
Kumtukana mtu , au kumkosoa kwa lugha chafu VITAZIDI

Halafu kumpiga mtu risasi ili kumthibiti nayo itakuwa jambo la KAWAIDA kifupi wengi wanatatenda kwa nguvu za Maruhani(Demons)

Jambo la Kweli ni hili hakuna mtu asiyepata hasira kwa hiyo hasira husababisha kutenda kwa jazba na mhemuko
Tusilazimishe mtu AFANYE

Kauli ya Rais ilikuwa ya kiungwana sana kuwa tutende kwa "heshima zetu za Kiafrika"
Mwenye akili anaweza kujua kuwa ipo mipaka Rais anaona inavukwa. TUSIMULAZIMISHE ATENDE KWA JAZBA

Hata hao wanaharakati wengine WANASHERIA ukimtia kidole sehemu ya faragha mbele za watu ATA PROVOKE tu hata awe Jaji kwenyekiti cha maamuzi aweza kurusha ngumi.

Kwana watu nawakubali, Mbowe asibadilike aanza alivyokuwa sivyo sisi Tunamkubali Upinzani wake , usio na matukano au kudhalilisha hadhi ya mtu.
Lema pia ana hekima ya kusema maneno hadi tunafikia kumuita Mch au nabii.

Wengine wanadhani kutukana ndio Uanaharakati.
Ukiwatukana Machizi wenzio kama ulivyo Wakakulima risasi nao kwa kukosa hekima HATUTAKUPONGEZA eti ni mfia haki. Ni mjinga tu.

Adui wengi mkubwa ni Ibilisi
Anafuata ni wale wanyonyaji wa Rasilimali zetu.
Sisi wenye pua kama kitumbua tusizozane, tuungane, tukitofautiana tutafute namna ya kuafikiana. Sisi ni UKOO mmoja
 
Mimi nawalumu sana BAVICHA kuhusiana na Mdude Nyagali. Katoka jela badala wamfanyie vipimo kamilifu vya kiafya (ikiwezekana hata nje ya nchi) na kumtafutia mwanasaikolojia ili akae sawa kiakili na kimwili na apumzike walau miezi miwili/ mitatu hivi ili apate utulivu. Wao mbio wametoka nae Mbeya kuja naye Dar kwenye kongamano walichokumbuka ni kumnunulia nguo na viatu. Kwa hili hata wakina Mbowe wanapaswa kulaumiwa walipaswa kuwaelekeza BAVICHA nini cha kufanya kuhusiana na Mdude. Kwa watu makini waliomwona Mdude akihutubia jana watakiri kuwa jamaa bado hajakaa sawasawa. Mdude ni mzungumzaji mzuri lakini hachugui maneno ya staha matokeo yake watu wenye busara wanamuona kama mhuni tu. Ushauri wa bure kwa viongozi wa Chadema wamuweke kijana chini wamfundishe namna nzuri ya kuchagua maneno wakati anahutubia kwani katiba mpya inahitaji kila mtanzania ashiriki kuanzia wazee, vijana n.k. Iwapo ataendelea kutuma lugha za kukwaza kama jana alivyotumia juu ya raisi wa nchi kwa kweli nina uhakika kuna baadhi ya kundi la watu mtawakosa kwenye harakati zenu za kutafuta katiba mpya kwani wote mtaonekana wahuni tu. Tunahitaji sana katiba lakini tunahitaji sana tufike kwenye hiyo katiba kwa amani na tukiwa wamoja kama tulivyo sasa bila kujali rangi, dini wala kabila zetu kwani siku zote sisi watanzania ni watu wa amani sana.

Mungu iabariki Afrika. Mungu ibariki Tanzania.
Hawa ndio watu mi husikiliza
 
Mimi nawalumu sana BAVICHA kuhusiana na Mdude Nyagali. Katoka jela badala wamfanyie vipimo kamilifu vya kiafya (ikiwezekana hata nje ya nchi) na kumtafutia mwanasaikolojia ili akae sawa kiakili na kimwili na apumzike walau miezi miwili/ mitatu hivi ili apate utulivu. Wao mbio wametoka nae Mbeya kuja naye Dar kwenye kongamano walichokumbuka ni kumnunulia nguo na viatu. Kwa hili hata wakina Mbowe wanapaswa kulaumiwa walipaswa kuwaelekeza BAVICHA nini cha kufanya kuhusiana na Mdude. Kwa watu makini waliomwona Mdude akihutubia jana watakiri kuwa jamaa bado hajakaa sawasawa. Mdude ni mzungumzaji mzuri lakini hachugui maneno ya staha matokeo yake watu wenye busara wanamuona kama mhuni tu. Ushauri wa bure kwa viongozi wa Chadema wamuweke kijana chini wamfundishe namna nzuri ya kuchagua maneno wakati anahutubia kwani katiba mpya inahitaji kila mtanzania ashiriki kuanzia wazee, vijana n.k. Iwapo ataendelea kutuma lugha za kukwaza kama jana alivyotumia juu ya raisi wa nchi kwa kweli nina uhakika kuna baadhi ya kundi la watu mtawakosa kwenye harakati zenu za kutafuta katiba mpya kwani wote mtaonekana wahuni tu. Tunahitaji sana katiba lakini tunahitaji sana tufike kwenye hiyo katiba kwa amani na tukiwa wamoja kama tulivyo sasa bila kujali rangi, dini wala kabila zetu kwani siku zote sisi watanzania ni watu wa amani sana.

Mungu iabariki Afrika. Mungu ibariki Tanzania.
Weka aya bhana
 
Habari za leo wakubwa na Vijana wenzangu

Niende kwenye maada moja kwa moja. Mimi ni Shabiki wa siasa za kistarabu na Kujengeana uwezo kupitia kukosoana kwa lugha nzuri na zenye staha ili kulindiana heshima.
Sasa ndugu zetu wa Chadema, Mna huyu kijana ambaye ametoka rumande juzi juzi baada ya kukalishwa mahabusu kwa siku takribani 357 ni kijana anayeonekana kuwa kama Akili yake haijakaa sawa sawa.
Leo nikiwa naperuzi kwenye mtandao wa Kijamii Twitter, nikakutana na hii kauli ya Jamaa huyu mdude imenukuliwa

“WEMBE niliotumia kumnyolea mtangulizi wake nitautumia kumnyolea yeye akiendelea kuleta Jeuri”

Mimi niwaombe viongozi wa CHADEMA Mmwambie huyu kijana alinde sana maneno yake asijekurudi alikotoka.

NI HAYO TU
Siasa na harakati zake ni zile zile zitaendelezwa awamu hii. Kosa ni nini hapo? Hiyo tunaiita figurative language.. hakuna kosa hapo. Au ulifikiri anazungumzia ule wembe tunyoleao vikwapa ??
 
MMMM mbona huyu dogo anajitafutia matatizo ?
hivi alimnyoa vipi Mgaufuli? mbona mimi sielewi?
 
Yaan yuvisisiemu mnatuangusha Sana nyie Wala hamkumbuki kauli za akina James,Sabaya ,Shaka na wengine
Tuwe fair kujurge mambo..



La sivyo tuache siasa tukalime nyanya tu.
 
Huenda hajui kuna watu wengi wakumfikia kabla ya mama.
 
Rufaa iko wazi, na huu uzi unasema "Mdude grow up, siasa zako za kishamba" sasa Mdude kuuza Madawa ya kulevya wewe unafikiri ni Siasa za kishamba?
lugha za kipumbavu,ndio siasa za kishamba.

kuwa mpinzani sio tiketi ya kuongea mashudu 24hrs kwa watawala na viongozi,na hata wenzie kama hawamkemei na kuonyesha kusikitishwa ni washamba pia.
 
[emoji23]sijuu alipokuwa akisoma humu alijisikiaje, mwenzake Idd amin aliwapigia simu waandaaji wa filamu yake na kuwapongeza
hata yeye pia,rejea maneno yake kwa masoud.

ndio maana wengi wao walikuwa wanaumia sana,maana unamchokonoa mtu anakupuuza tu.
 
Back
Top Bottom