Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

huyo mama anayesema atamnyoa angeweza kukazia kwamba yale madawa aliyobambikiziwa ni yake na angeenda jela maisha kelele zingepigwa kisha zingesahaulika na maisha yangeendelea bila yeye

Kumbe mnakiri kubambikiza, na bado mnaamini sheria haziko huru ila kauli za Rais…. hovyo kabisa ninyi watumwa wa fikra.
 
Wapumbavu kama wewe ndio mnaochangia hii hari kuendelea kuwepo , yaani akili za majitu meusi ni zero , Kwa hiyo hapo we unafurahi na unaridhika kuaona huo uuaji na dhulma ? , Pumbavu kabisa Africa ilitakiwa kuendelea kutawaliwa miaka mingine 1000 , aliondoka mkoloni mweupe Kaka mkoloni mweusi ambaye ni 1000 times worse ,

Fala kabisa nyie
Wewe si mzima unatukana tu hujui kujenga hoja jifunze kuwa smart unashindana na mwenye mamlaka utapotea mazima, use proper chanel na uache matusi wewe. Hafu unaita weusi wakati wewe mwenyewe uko ka gorrilla
 
Mdude ajitathmini na siasa zake maji taka. Ajifunze kwa Lissu au Mbowe
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
View attachment 1839252
Naichukia sana Demokrasia toka moyoni mwangu.

Hawa watu wanadekezwa sana. Mtu kama huyu akipewa stahiki yake,kuna watu watakuja kumtetea.
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
View attachment 1839252
Mtawala hakosolewi hadharani. Tangu dunia inaumbwa.
 
Tumemsikia sote wakati anatamka hiyo kauli, Mimi mwanayanga nikimwambia Mh. Job Ndugai "Jana tumekunyoa kwa wembe" itakuwa nimekosa staha?

Mama alisema "Ukinizingua , nakuzingua" .. Je ina tofauti na kauli ya Mdude kuwa "Akizingua na yeye atazinguliwa kama walivyomzingua mtangulizi"

Ni kweli hatujui wembe alioumaanisha Mdude kwenye hiyo Kauli, Kama anasema Wembe waliomnyolea JPM ndo watautumia. Je, ni kweli JPM alinyolewa Nywele kama mnavyotaka kumaanisha?. Kwa hiyo "Mtoto akililia wembe aachwe ajikate" nayo haijaelewekaga kwa jamii yetu pia?

Tuache kujipendekeza sana. Tatizo letu sisi ndo yale mambo ya utu wa kiafrika ambayo tunayalazimisha. Kijana amemwambia hivyo Rais wa nchi, siyo mama yake kama inavyotaka kuonyeshwa. Nyumbani Mkubwa akosei , lakini unapokuwa mtumishi wa Umma ni lazima ukosolewe, kutahadharishwa na kusifiwa pia ikibidi. Kama hujajiandaa kwa haya usiombe nafasi ktk ofisi.

Tujiulize Staha ni kumpa mashtaka ya uongo na kumtunza gerezani siku 414? Mdude leo anaonekana 'drug dealer' mtu ambaye havuti hata sigara, nani amemuomba radhi? Halafu mnataka kumpangia jinsi ya kutoa maoni yake na hata hisia zake mnataka kuziratibu... Nyie hisia zenu nani anaziratibu?

Ieleweke wazi ukiwa ofisi ya Umma, kubali kukosolewa, kusemwa, kuhadharishwa. Muradi Katiba na sheria za nchi zisivunjwe.

ANAYEONA MDUDE AMEKOSEA, ANAWEZA KWENDA MAHAKAMNI KUMSHITAKI AU KUPATA TAFSIRI YA KISHERIA


Ukisikiliza hii nyimbo , jiulize hiyo "Mbwai na iwe Mbwai" ni nini?. Ndo staha?. Lakini kiuhalisia ina maana nyingi na inaweza isiwe hiyo ya shari tunayohisi imemaanishwa na waimbaji.
 
1625388500583.png
 
'CHADEMA wanawanyoa mama zao'

Ndiyo adabu ya chama hiyo
 
CCM walisha kwisha.tena wamekufa na kuoza.hata akili ndio maana hazipo tena wamebaki na dola la polisi na usalama. Nje ya hapo hakuna CCM.
 
Shida siyo nani kasema nini? Bali shida nani kamwambia nani na kamwambia nini?
 
Hapa Bashiru akiwatukana Kinana na Makamba kipindi walipoandika barua kwenda CCM kulalamikia matusi ya Musiba





Screenshot_20210704-115911.png
 
Back
Top Bottom