Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hapana Magu kanuka ndio maana leo hii hayupo hapaUnamkumbuka Benard Membe?? Alimwambia Magufuli "niguse ninuke*. Magufuli hakumgusa kamwe, maana aliogopa kunuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Magu kanuka ndio maana leo hii hayupo hapaUnamkumbuka Benard Membe?? Alimwambia Magufuli "niguse ninuke*. Magufuli hakumgusa kamwe, maana aliogopa kunuka.
Hahaha!!Hapana Magu kanuka ndio maana leo hii hayupo hapa
Maembe alimaanisha kifo.. Ila wengi hawajumuelewa...!!!Hahaha!!
Kama wembe huu ni wa Mdude,.basi anafaa kuwa tunu ya taifa. Apewe ulinzi. Ameliokoa taifa.Maembe alimaanisha kifo.. Ila wengi hawajumuelewa...!!!
ccm ilishawahi kuwaomba hawa radhi? Au familia zao?Hii ni reaction ya mbunge wa Sumve kuhusiana na kauli ya Mwanachadema aliyetoka lupango kwa huruma ya mama Samia .
Chadema na Mdude lazima waombe radhi ili kujisafisha.
Kauli hii ya Mdude imeharibu taswira ya nchi,Mahakama iliyompa ushindi,Hayati Magufuli,Rais Samia na Chadema.
View attachment 1841583
Duh.. Hii ni post ya ngapi unamuazishia Mdude?Kutokana na kauli aliyoitoa ndugu Nyagali ni wazi kuwa mahakama haikitenda haki kumuachia.Mdude alitiwa mbaroni baada ya series of events.Mdude Chadema hatàacha hulka yake na kuwekwa kwake ndani kupo justifiable.mahakama na hakimu alitemuachia achunguzwe.inawezekana anashawishiwa au kushinikizwa
Siku aliyotoka Mudude gerezani Sadala alilala na viatu😅😅Nianze na mdude
Mdude mama kaja kuponya vidonda vya watanzania vilivyosababishwa na uongozi mbaya wa magufuli.Mama kwa hakika hapendi Shari na sisi tusimsharishe kwa hulka ya mama na wakati tuliopo mama hatakiwi azinguliwe twende nae taratibu atatuvusha. Mdude kumbuka magufuli asingefariki si ajabu ungeozea jela. Mdude labda kwakuwa ilikuwa jela hukumsikia mama Ila alisema hivi UKINIZINGUA TUNAZINGUANA. mdude jirudi.
Nimalizie na ccm.
Ccm mnaharibu keria ya wasanii mnawachonganisha wasanii na umma. Si ajabu diamond angemshinda burna boy Ila ccm mlichangia kushindwa kwake. Ccm msitumie hadaa kipindi Cha uchaguzi kuwalaghai wasanii wetu maskini na vijihela vyenu kampeni zikiisha nacc tunawapa cold shoulder. Haiwezekani kwenye kampeni wasanii mtutukane sisi upinzani halafu ikija kwenye mambo yenye manufaa kwenu Kama fan base spectators viwers supporters nk ndio mnatuona wanmaana . Kwangu Mimi kwasasa shujaa wangu ni jide commando na ney wanmitego. Dayamondi kafie mbele.
Wembe niliomnyolea Mtangulizi wake ndio nitamnyolea huyo Mama Yenu. Kwakweli kwa michezo ya kisiasa hapa sioni kosa liko wapi. Maana kumzodoa magufuli tulimzodoa sana hadi akamua kutafuta watu kwa AK47.Naombeni kauli ya mdude wekeni hapa...kakoseaje
Wapenzi wa sadala tuliwalaza na viatu1😅🥰🤣🤣🤣 Kwamba Diamond angemshinda Burn Boy.
🙏🙏🙏 Huo ndio uzalendo
Msanii asijmyejali haki za washabiki wake ni mnafiki na mbinafsi. Somo amelipata na kwa yale mashtaka asitarajie any other international nominations.Ewaaaaah! Hawa ndiyo wasanii. Ongezea na Roma Mkatoliki.
Popomarism...Hii ni reaction ya mbunge wa Sumve kuhusiana na kauli ya Mwanachadema aliyetoka lupango kwa huruma ya mama Samia .
Chadema na Mdude lazima waombe radhi ili kujisafisha.
Kauli hii ya Mdude imeharibu taswira ya nchi,Mahakama iliyompa ushindi,Hayati Magufuli,Rais Samia na Chadema.
View attachment 1841583
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
View attachment 1839252
Na lisu yuko kwa rob amsterjambo nyinyi mataga mpo, jiwe ako kwa shetani
Haahaa mkuu kanywe maji kwanzaNimehamia rasmi huku. Hao mbwa ni njaa watupu very stupid no wonder Magufuli aliwakomesha. Na angefiiiirr wote
Magufuli died of natural cause , here ur talking a about carrying out a successful killing of MdudeMungu ni mmoja tu,aliyemchukua magufuli ndiye anahesabu siku walioshangilia pia.
lakini maisha lazima yaendelee.