Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Acha kujitekenya mkuu....

Tundu Lissu ndio rais hao umewataja ni mawaziri muhimu sn kwenye serikali yake......

Hayo maeneo uliyoyataka hakuna watz mapoyoyo huko wote wanaakili timamu
Ukiulizwa nini ambacho ulitaka kifanyike ndani ya hii miaka mitano na hakikufanyika, hautakuwa na jibu zuri zaidi ya kusema unataka demokrasia.
 
Yawezekana nisieleweke vyema katika hili ila wale mnao mweleza Gwajima kuwa atachaguliwa na waumini wake kwa hivyo atashinda mnamdanganya.

HAKUNA muumini anae ishi maeneo Mikocheni Masaki Mikocheni anasali kanisa la la Gwajima, waumini wa makanisa haya ni wakazi wa Mbagala rangi TATU,Chalambe na Majimatitu na wote ni wakazi wa WILAYA moja anayoongoza Godwini Gondwe.

Kwa maana hiyo Gwajima angeshinda kama angepitishwa Temeke
Kwani hata wangekuwa wanakaa Kawe unafikiri ni wengi basi?
 
Hata kama waumini wote wakimpigia kura haziwezi kutosha kumfanya awe mshindi ni wachache kulinganisha na wapiga kura wa kawe.

Kama alivyosema mjumbe hapo juu, watakaompa ushindi ni wapiga kura wa kawe.
 
Dafutari la wapiga kura litapelekwa kanisani kwa Gwajima kimya kimya na wataingizwa waumini wake. Halafu wakazi wa Kawe wataondoshwa.
 
Yawezekana nisieleweke vyema katika hili ila wale mnao mweleza Gwajima kuwa atachaguliwa na waumini wake kwa hivyo atashinda mnamdanganya.

HAKUNA muumini anae ishi maeneo Mikocheni Masaki Mikocheni anasali kanisa la la Gwajima, waumini wa makanisa haya ni wakazi wa Mbagala rangi TATU,Chalambe na Majimatitu na wote ni wakazi wa WILAYA moja anayoongoza Godwini Gondwe.

Kwa maana hiyo Gwajima angeshinda kama angepitishwa Temeke
Hakuna mtu mwenye akili anaenda kusali pale Kawe au Tegeta mahali ambapo mvua na jua ni vyenu huku yeye akiwapigia makelele na mizuka.
 
Hakuna mtu mwenye akili anaenda kusali pale Kawe au Tegeta mahali ambapo mvua na jua ni vyenu huku yeye akiwapigia makelele na mizuka.

Eti mizuka![emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huyo Askofu tapeli mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Saikolojia ya wapiga kura imbedilika kwa 180° kutoka kusikiliza Maneno matupu kwenda kuona anayesema ametenda au amewahi kutenda nini.

Haya ni matokeo ya ukimya wa kisiasa miaka 5.

Sina wasiwasi wapinzani wao watashinda kwa matendo mema ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT. Wao watashindwa kwa Maneno mengi mazuri ambayo sio hitaji LA watanzania kwa jinsi walivyotengenezwa miaka 5 iliyopita.

Upepo huu utapita had I kwa mgombea yoyote wa upinzani ktk kiti cha urais.

Wafuasi wekeni Akiba ya hisia ili msijezirai kwa mishtuko ya matokeo ambayo mngeelewa utabiri wangu angalau mngeishia kuumwa kichwa tu.
Pimbi
 
Hata kama waumini wote wakimpigia kura haziwezi kutosha kumfanya awe mshindi ni wachache kulinganisha na wapiga kura wa kawe.

Kama alivyosema mjumbe hapo juu, watakaompa ushindi ni wapiga kura wa kawe.
Kawe waislamu ni 85% ambao wote hawatampigia kura kwa sababu ya udini wake...
 
Hii mitandao wakati mwingine inapotosha, ukiingia jf utasema lissu ndo raisi, mdee kapita, lema kapita, sugu kapita. Lakini wapiga kura kina mama wanafanya shuhuli zao hawajui hata jf Ni Nini. Mambo kitaa Ni tofauti sana
 
KAWE hatutaki mbunge anayejifanya askofu amabae ni MZINZI.
 
Back
Top Bottom