kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ni kweli kabisa na ndio maana Simba ilifungwa goli 5 ili kukamilisha biasharaHaishangazi kufunga goli nyingi zote ni hesabu za mwisho wa mwaka hizo goli nyingi kwa kipindi ndio wakati wake ukipewa hela ya watu lazima ufungwe 6 mpaka 7 ili mwisho wa ligi watu wahesabu magoli!......biashara wazi wazi!
Biashara kweupe bila haya wakifika caf kusiko na biashara chalii wanabutuliwa tu!Ni kweli kabisa na ndio maana Simba ilifungwa goli 5 ili kukamilisha biashara
GSM ni noooma,akamuhonga hadi kanjibhai kisha akamkandamiza kono la nyani kumzingo?Yaani hawa hela tuliyo wapa inakaribiana na wale waliokula tano moja,ila wameongezewa kidogo.
Mechi za mipango hazijifichi mechi halisi zipo Caf!Sijajua ni utani au serious ila kama ni serious na unamaanisha basi Rage ajengewe Sanamu lake.
Pumbavu kabisa.
Wewe ni amnazo Tena nampongeza sana mangungu kwa kukataa kujiuzulu,,kama wafuasi wake akili zenu ndio hizi alikuwa sahihi kabisa,,umecheza na Ile prison kibonde kabisa lakini umeshindwa kuifunga nani alikuzuia? Umekutana na vibonde wangapi na umeshindwa kutumia nafasi? Wenzako wanatumia nafasi ndio maana wanatoa dozi kulingana na idadi alafu unaleta ngonjera zako hapa,,wivu utakuua!Haishangazi kufunga goli nyingi zote ni hesabu za mwisho wa mwaka hizo goli nyingi kwa kipindi ndio wakati wake ukipewa hela ya watu lazima ufungwe 6 mpaka 7 ili mwisho wa ligi watu wahesabu magoli!......biashara wazi wazi!
Unapata magoli matatu kipindi cha kwanza ambapo kuna uwezekano wa kuongeza magoli mengine zaidi badala yake unaanza madoido ya kurudisha pasi kwa golikipa(Pinpin) na kupoozesha mchezo(Haka katabia katamkaanga mtu,it's just a matter of time). Yanga akimkuta mnyonge anamnyonga jumla jumla. Mwisho wa msimu kitaeleweka tu!Haishangazi kufunga goli nyingi zote ni hesabu za mwisho wa mwaka hizo goli nyingi kwa kipindi ndio wakati wake ukipewa hela ya watu lazima ufungwe 6 mpaka 7 ili mwisho wa ligi watu wahesabu magoli!......biashara wazi wazi!
Mzee kipara Mupya acha chuki yako na mwananchi,sisi ni watu na tuna watu na sii mafisi yasiyo hata na mafisiHaishangazi kufunga goli nyingi zote ni hesabu za mwisho wa mwaka hizo goli nyingi kwa kipindi ndio wakati wake ukipewa hela ya watu lazima ufungwe 6 mpaka 7 ili mwisho wa ligi watu wahesabu magoli!......biashara wazi wazi!
Hiyo mechi utaisimulia hadi ufe bwege wewe, uliowahonga hujui unao huko? Chama, inonga, manulaGSM ni noooma,akamuhonga hadi kanjibhai kisha akamkandamiza kono la nyani kumzingo?
Ongeza baleke mkuu kabaki Manula hana chake tena!Hiyo mechi utaisimulia hadi ufe bwege wewe, uliowahonga hujui unao huko? Chama, inonga, manula
Chama mpo nae inonga sijui yu wapi baleke anawadai duka limebaki moja manula halina nguvu hao ndio waliokuwa wachuuzi wenu wa zile 5!Zamu yenu haiko mbali nanyi mtapewa pesa mfungwe 7.
Msiwaonee wivu wenzenu
saed alishasema ligi hii ya mipango ni dhaifu kwenu ila kazi ngumu manaipata kusipokuwepo mbeleko!Wewe ni amnazo Tena nampongeza sana mangungu kwa kukataa kujiuzulu,,kama wafuasi wake akili zenu ndio hizi alikuwa sahihi kabisa,,umecheza na Ile prison kibonde kabisa lakini umeshindwa kuifunga nani alikuzuia? Umekutana na vibonde wangapi na umeshindwa kutumia nafasi? Wenzako wanatumia nafasi ndio maana wanatoa dozi kulingana na idadi alafu unaleta ngonjera zako hapa,,wivu utakuua!
Kama ligi ni ya mipango basi na mipango iyo inaanzia kwenu si mlipigwa 5? Kwani goli Tano na kuendelea wamepigwa kmc peke yake? Mbeleko ipi hapo ebu tuambie,,saed alishasema ligi hii ya mipango ni dhaifu kwenu ila kazi ngumu manaipata kusipokuwepo mbeleko!