Na ukapigwa mechi 4 mfululizo wakati hao unaowasema wakiwa washaondokaChama mpo nae inonga sijui yu wapi baleke anawadai duka limebaki moja manula halina nguvu hao ndio waliokuwa wachuuzi wenu wa zile 5!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukapigwa mechi 4 mfululizo wakati hao unaowasema wakiwa washaondokaChama mpo nae inonga sijui yu wapi baleke anawadai duka limebaki moja manula halina nguvu hao ndio waliokuwa wachuuzi wenu wa zile 5!
Onesha wakati mpira unapigwa sio wakati mpira umeshapigwaHapo ni langoni kwa kmcView attachment 3236442
Hiyo 4 yanga keshapigwa sana hivi sasa tunaona mnavyonunua mechi nyie subirini caf kusiko na kali ongala wa mecky mexime wala penalty za mchongo magoli ya offside!Na ukapigwa mechi 4 mfululizo wakati hao unaowasema wakiwa washaondoka
Hayo mashindano unayoshiriki wewe kwasasa kwenye CAF mwenzio Yanga kacheza fainali je CAF nako wanaruhusu biashara?Biashara kweupe bila haya wakifika caf kusiko na biashara chalii wanabutuliwa tu!
Onyesha kabla Mpira aujapigwa usifikiri Mpira uliangalia peke yako,,usitake tuendelee kusapoti kauli za RageHapo ni langoni kwa kmcView attachment 3236442
Unesha wakati mpira unapigwa sio wakati mpira umeshapigwa
Kunyweni sumu but hizo Tano Tano zitaendelea alafu tukutane mwisho wa msimu tuone nani bingwaHiyo 4 yanga keshapigwa sana hivi sasa tunaona mnavyonunua mechi nyie subirini caf kusiko na kali ongala wa mecky mexime wala penalty za mchongo magoli ya offside!
Msamiati mwingi,mantiki sifuriHaishangazi kufunga goli nyingi zote ni hesabu za mwisho wa mwaka hizo goli nyingi kwa kipindi ndio wakati wake ukipewa hela ya watu lazima ufungwe 6 mpaka 7 ili mwisho wa ligi watu wahesabu magoli!......biashara wazi wazi!
Hii ilikaaje kitaalamu...Hapo ni langoni kwa kmcView attachment 3236442
Tuone atakae tolewa mapema mashindano ya ukweli sio ya bahasha!Kunyweni sumu but hizo Tano Tano zitaendelea alafu tukutane mwisho wa msimu tuone nani bingwa
Nyie baada ya penati zetu kuwanyima usingizi na mikelele wiki nzima mlikunywa sumu?? Mbona leo mmetoa meno yote nje na mipenati mliyopewa..Kunyweni sumu but hizo Tano Tano zitaendelea alafu tukutane mwisho wa msimu tuone nani bingwa
Tena mapenati ya mchongo mtu anajirusha refa anafunika Caf hakuna mambo yale!Nyie baada ya penati zetu kuwanyima usingizi na mikelele wiki nzima mlikunywa sumu?? Mbona leo mmetoa meno yote nje na mipenati mliyopewa..
Manula yuko wapi mbumbumbuHiyo mechi utaisimulia hadi ufe bwege wewe, uliowahonga hujui unao huko? Chama, inonga, manula
Ficha basi uwezo wako hata kidogo, hao Simba huko CAF wamefanya ni nini? Unafiki sio mzuri mzee.Mechi za mipango hazijifichi mechi halisi zipo Caf!
Wapo hatua ya robo fainali!Ficha basi uwezo wako hata kidogo, hao Simba huko CAF wamefanya ni nini? Unafiki sio mzuri mzee.
Then? Ndio maana mlisema maganikio ni kufungua WhatsApp channel, kwa akiri kama zako hizo.Wapo hatua ya robo fainali!
Hayo magoli fungeni tu ila point nyaku nyaku haziachiwi.Unapata magoli matatu kipindi cha kwanza ambapo kuna uwezekano wa kuongeza magoli mengine zaidi badala yake unaanza madoido ya kurudisha pasi kwa golikipa(Pinpin) na kupoozesha mchezo(Haka katabia katamkaanga mtu,it's just a matter of time). Yanga akimkuta mnyonge anamnyonga jumla jumla. Mwisho wa msimu kitaeleweka tu!
Utaangaika ukweli unabaki pale pale yanga mechi za kimataifa hatoboi sababu ananunua mechi za ligi!Then? Ndio maana mlisema maganikio ni kufungua WhatsApp channel, kwa akiri kama zako hizo.
Ucheze fainali ya CAFCC ndio uje uongee maneno haya maana Yanga kacheza fainali mwaka juziUtaangaika ukweli unabaki pale pale yanga mechi za kimataifa hatoboi sababu ananunua mechi za ligi!