Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Alaa kumbe. Tukitoa magoli ya penalty ateba anabaki na goli mbili Simbwa inakuwa ya 14Nyie baada ya penati zetu kuwanyima usingizi na mikelele wiki nzima mlikunywa sumu?? Mbona leo mmetoa meno yote nje na mipenati mliyopewa..