Mechi ukitolea pesa lazima ushinde kwa magoli mengi mwisho ya siku mnaweza kuwa sawa na mpinzani wako kwa point!

Mechi ukitolea pesa lazima ushinde kwa magoli mengi mwisho ya siku mnaweza kuwa sawa na mpinzani wako kwa point!

We kashiriki mimi nilishiriki na nikaishia fainal sikuishia robo kama wewe ulivyo fanya South na mkachoma pitch ya watu kwa mambo yenu ya kimatunguli mkapigwa dola 10K na CAF na mkatolewa robo.
Jibu swali mpaka.sasa timu yako ya MWIKO NYUMA FC inashiriki mashindano gani ya kimataifa usilete povu
 
Jibu swali mpaka.sasa timu yako ya MWIKO NYUMA FC inashiriki mashindano gani ya kimataifa usilete povu
Haa hii michuano ya shirikisho leo hii imekuwa ya kimataifa wakati aliyekuwa Kiongozi wenu Kaduguda aliita michuano ya wanawake baada ya Yanga kufika fainal.

Sawa tumetoka michuano na wanaume tumewaacha nyie muendelee na michuano ya wanawake.
 
Haa hii michuano ya shirikisho leo hii imekuwa ya kimataifa wakati aliyekuwa Kiongozi wenu Kaduguda aliita michuano ya wanawake baada ya Yanga kufika fainal.

Sawa tumetoka michuano na wanaume tumewaacha nyie muendelee na michuano ya wanawake.
Hebu twende taratibu hata kama unaumizwa na mwiko wenu huko nyuma
Mpaka sasa mnashiriki mashindano gani ya kimataifa na mmefikia hatua gani nakupa msaada wa msimamo wa hatua ya makundi ili unijibu vizuri
1000240457.jpg
 
Haishangazi kufunga goli nyingi zote ni hesabu za mwisho wa mwaka hizo goli nyingi kwa kipindi ndio wakati wake ukipewa hela ya watu lazima ufungwe 6 mpaka 7 ili mwisho wa ligi watu wahesabu magoli!......biashara wazi wazi!
Na zile TANO mlipewa bei gani?
 
Kwahio 5imba mlivyo kojolewa bao 5 na Yanga mlipewa pesa muingiziwe bao nyingi hvyo...?💩💩
 
Ni kweli kabisa na ndio maana Simba ilifungwa goli 5 ili kukamilisha biashara
Lipo wazi,mliwahonga baadhi ya wachezaji ndo maana Manula anaanzia benchi hadi sasa,Chama hakuaminika tena na Inonga akauzwa
 
Halafu kwenye huyo misimamo ya magroup,timu yako ipo wapi na kama haipo jiulize kwa nini?
Bado hujanijibu swali langu mpaka sasa timu yako ya mwiko nyuma inashiriki mashindano gani ya kimataifa na mko stage gani
We unahangaika na kuteseka na huo mwiko wako nyuma jikaze
 
Timu yako mpaka sasa inashiriki mashindano gani ya kimataifa?
Bado hujanijibu swali langu mpaka sasa timu yako ya mwiko nyuma inashiriki mashindano gani ya kimataifa na mko stage gani
We unahangaika na kuteseka na huo mwiko wako nyuma jikaze
Niujibu swali kwa michuano ambayo haikuhusu.

Sasa wewe kwanini hujanijibu hili swali.

Halafu kwenye huyo misimamo ya magroup,timu yako ipo wapi na kama haipo jiulize kwa nini?
 
Niujibu swali kwa michuano ambayo haikuhusu.

Sasa wewe kwanini hujanijibu hili swali.

Halafu kwenye huyo misimamo ya magroup,timu yako ipo wapi na kama haipo jiulize kwa nini?
1000240457.jpg

Kumbe hujui kusoma ? Au ni mwiko unakutesa huko nyuma tumeprint kabisa msimamo angalia vizuri ukalilie mbali na huo mwiko huko nyuma
 
Sawa wewe Mkuu Ndugu yangu Kolo FC,Halafu kwenye huyo misimamo ya magroup,timu yako ipo wapi na kama haipo jiulize kwa nini?
Unaonekana una maumivu makali sana ya kutolewa makundi na kuteswa na mwiko nyuma chomoa taratibu huo mwiko utaona tu kundi la simba liko wapi
 
Unaonekana una maumivu makali sana ya kutolewa makundi na kuteswa na mwiko nyuma chomoa taratibu huo mwiko utaona tu kundi la simba liko wapi
Sawa wewe Mkuu Ndugu yangu Kolo FC,Halafu kwenye huyo misimamo ya magroup,timu yako ipo wapi na kama haipo jiulize kwa nini?
 
Sawa wewe Mkuu Ndugu yangu Kolo FC,Halafu kwenye huyo misimamo ya magroup,timu yako ipo wapi na kama haipo jiulize kwa nini?
Kwenye msimamo hapo timu zote zimeishia makundi ikiwemo yenu ya mzee chama ambae alisema anataka kuchukua kombe la CAFCL msimu huu akiwa mwiko nyuma
1000232103.jpg
 
Back
Top Bottom