Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Huko CAF uliko sasa hivi YANGA katika huko finally,vipi hapo kulia Lia Fc?. Mlipewa kiasi gani mlivyogongwa mkono?Mechi za mipango hazijifichi mechi halisi zipo Caf!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko CAF uliko sasa hivi YANGA katika huko finally,vipi hapo kulia Lia Fc?. Mlipewa kiasi gani mlivyogongwa mkono?Mechi za mipango hazijifichi mechi halisi zipo Caf!
Hatuko kundi lolote hapo sisi sio maluza wa kuishia makundi kama nyie MWAKAKUNDISawa wewe timu yako ipo kundi gani kati ya yale uliyo ya post na kama haipo kitu gani kilicho wafanya msiwepo.
Maana unazungumzia mambo yasio kuhusu.
Sasa sababu gani iliyo kufanya husiwepo kati ya hao wanaume kumi na sita?Hatuko kundi lolote hapo sisi sio maluza wa kuishia makundi kama nyie MWAKAKUNDI
Kwani simba kaishia makundi kama mwiko nyuma mwaka kundi?Sasa sababu gani iliyo kufanya husiwepo kati ya hao wanaume kumi na sita?
Makundi gani hayo uliyo ya post maana sikuoni? Au ndio hujui sababu kwa nini haupo kwenye hizo timu kumi na sita?Kwani simba kaishia makundi kama mwiko nyuma mwaka kundi?
Hapo nilikuwa nakukojolea tako 5View attachment 3237461
Hapa sijui ulikuwa wapi kwenye kende au?;😂
Umekojolewa tako 6, 5,4 mpaka mwiko umenasia nyuma tangu 1935?Hapo nilikuwa nakukojolea tako 5
Hivi una taarifa yanga alishawahi pigwa 6-0, 5-0? Wewe unakumhuka hiyo tuu?Kama ligi ni ya mipango basi na mipango iyo inaanzia kwenu si mlipigwa 5? Kwani goli Tano na kuendelea wamepigwa kmc peke yake? Mbeleko ipi hapo ebu tuambie,,
Mtafute wewe mmemfanya akose timuManula yuko wapi mbumbumbu
Wewe mbwa hufuatilii mechi zako, mechi mbili utopolo kapewa penati 4, hadi sasa yanga ana penati kama 11, simba 7Alaa kumbe. Tukitoa magoli ya penalty ateba anabaki na goli mbili Simbwa inakuwa ya 14
View attachment 3236998
Yanga hii yenyew uwezekano wa kupata point 36 kwenye matawi yake na hata timu ikifunga bao refa anashangilia
? 😂
Uko sawa kichwani?
View: https://x.com/SportsarenatzTz/status/1890631055968739384?t=4s4q5rYLzQCz2Zb8jVEJ_g&s=19
Jamaa aliamua kupiga ngumi waziwazi akiamini refa kesha kula rushwa atanlmezea na ikawa kweli. Mpira wa bongo fake sanaWarning tulipewa lini na dhidi ya kina nan maana nimesahau kabisa
Haya matawi yenu yanahakikisha mnapata point tatu tukiachana na makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefariiView attachment 3237280
View attachment 3237278
Umefaidika nini kuniita mbwa? Huna unachokijua na unaandika bila kutumia ubongo unatumia kinyesi kujibu hoja. Hata hivyo Kuwa na penalty 11 sio lazima iwe ndio idadi ya magoli..Wewe mbwa hufuatilii mechi zako, mechi mbili utopolo kapewa penati 4, hadi sasa yanga ana penati kama 11, simba 7
Kwanini mwiko nyuma waumie simba kupewa penalty 7 na kuzifunga zote bila kukosa 😂Umefaidika nini kuniita mbwa? Huna unachokijua na unaandika bila kutumia ubongo unatumia kinyesi kujibu hoja. Hata hivyo Kuwa na penalty 11 sio lazima iwe ndio idadi ya magoli..
Hakuna anayeumia jaribu kufuatilia story ilikoanzia mkuu.Kwanini mwiko nyuma waumie simba kupewa penalty 7 na kuzifunga zote bila kukosa 😂
Haujaelewa swali nirudie?yanga kupigwa na simba sita tano nne tatu mbili moja ni mambo ya kawaida labda ukiwa umenunua smart phone juzi ndio unaweza kuandika kama ulivyoandika!
Hayo ndio majibu ya swali lako!
Pogo zangu hizi
Mlinunua wakina inonga na wengine wapo huko kwenu chama na baleke je nyinyi hamkufurahi kupigwa mkono kwa uwezo wa timu!Huko CAF uliko sasa hivi YANGA katika huko finally,vipi hapo kulia Lia Fc?. Mlipewa kiasi gani mlivyogongwa mkono?