Mechi ukitolea pesa lazima ushinde kwa magoli mengi mwisho ya siku mnaweza kuwa sawa na mpinzani wako kwa point!

Mechi ukitolea pesa lazima ushinde kwa magoli mengi mwisho ya siku mnaweza kuwa sawa na mpinzani wako kwa point!

Kama ligi ni ya mipango basi na mipango iyo inaanzia kwenu si mlipigwa 5? Kwani goli Tano na kuendelea wamepigwa kmc peke yake? Mbeleko ipi hapo ebu tuambie,,
Hivi una taarifa yanga alishawahi pigwa 6-0, 5-0? Wewe unakumhuka hiyo tuu?
 
Wewe mbwa hufuatilii mechi zako, mechi mbili utopolo kapewa penati 4, hadi sasa yanga ana penati kama 11, simba 7
Umefaidika nini kuniita mbwa? Huna unachokijua na unaandika bila kutumia ubongo unatumia kinyesi kujibu hoja. Hata hivyo Kuwa na penalty 11 sio lazima iwe ndio idadi ya magoli..
 
Umefaidika nini kuniita mbwa? Huna unachokijua na unaandika bila kutumia ubongo unatumia kinyesi kujibu hoja. Hata hivyo Kuwa na penalty 11 sio lazima iwe ndio idadi ya magoli..
Kwanini mwiko nyuma waumie simba kupewa penalty 7 na kuzifunga zote bila kukosa 😂
 
×4 mfululizo 5imba anashikishwa ukuta anakojolewa na Yanga, kwahio hizo mara4 zote mlikuwa mnapokea bahasha..?
5imba ndio team pekee Yanga amewakojolea mara nyingi kuliko team yoyote ile duniani, kwahio mara nyingi hizo mlipewa bahasha...?
Kuonyesha Yanga ni mume wa 5imba ndio maana Aziz kamuoa Hamisa 💩💩
 
Huko CAF uliko sasa hivi YANGA katika huko finally,vipi hapo kulia Lia Fc?. Mlipewa kiasi gani mlivyogongwa mkono?
Mlinunua wakina inonga na wengine wapo huko kwenu chama na baleke je nyinyi hamkufurahi kupigwa mkono kwa uwezo wa timu!
 
Back
Top Bottom