kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #41
Simba kacheza 1993!Ucheze fainali ya CAFCC ndio uje uongee maneno haya maana Yanga kacheza fainali mwaka juzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba kacheza 1993!Ucheze fainali ya CAFCC ndio uje uongee maneno haya maana Yanga kacheza fainali mwaka juzi
Halafu mbona unapenda kuwapa ujiko?Then? Ndio maana mlisema maganikio ni kufungua WhatsApp channel, kwa akiri kama zako hizo.
SawaHayo magoli fungeni tu ila point nyaku nyaku haziachiwi.
Ndiyo Manula na Inonga walikula hela. Kwani uongo?Simba wanapenda sana rushwa yani wamepokea pesa za Yanga ilimradi tu wapigwe 5 bila albu.
Ni kweli, Simba ilifungwa 5 kwa mipango. Uko sahihiKama ligi ni ya mipango basi na mipango iyo inaanzia kwenu si mlipigwa 5? Kwani goli Tano na kuendelea wamepigwa kmc peke yake? Mbeleko ipi hapo ebu tuambie,,
Ndiyo maana utopollo kimataifa hawatoboi. Kule hakuna kuhonga wachezajiMashabiki wa simba kila siku ni malalamiko tu
why?
Unaweza kuwa sahihi maana kulikuwa na makubaliano siyo tu kutoa pesa hadi kuwasajili waliozipokeaYaani hawa hela tuliyo wapa inakaribiana na wale waliokula tano moja,ila wameongezewa kidogo.
Wale waliochukua si mliwasajili kisha baadae mliwatelekeza kwa kuwa mnajua hawana maanaSimba wanapenda sana rushwa yani wamepokea pesa za Yanga ilimradi tu wapigwe 5 bila albu.
Nenda nawewe kabutuliwe fainali CAF ConfederationBiashara kweupe bila haya wakifika caf kusiko na biashara chalii wanabutuliwa tu!
Hiyo ni taarifa kwa UMMMA!Halafu mbona unapenda kuwapa ujiko?
Sio WhatsApp ni Whatsupp au hukuona?
SI na nyie mtoe pesa mfunge?Haishangazi kufunga goli nyingi zote ni hesabu za mwisho wa mwaka hizo goli nyingi kwa kipindi ndio wakati wake ukipewa hela ya watu lazima ufungwe 6 mpaka 7 ili mwisho wa ligi watu wahesabu magoli!......biashara wazi wazi!
Timu yenye malengo kimataifa haitoi pesa ndio maana jasho na damu imeongoza kundi watoa pesa wamekwamia wapi kule hakuna kayoko wala kali ongala!SI na nyie mtoe pesa mfunge?
Kabisa hata hawa wapya tutawafanyia hivyo hivyo ila tutawaogezea hela waruhusu goli kama za KMC. Maana mnawaonea wivu KMC kuchukua hela nyingi.Unaweza kuwa sahihi maana kulikuwa na makubaliano siyo tu kutoa pesa hadi kuwasajili waliozipokea
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Baada ya hapo muwape Al hilal na mc alger huko Caf!Kabisa hata hawa wapya tutawafanyia hivyo hivyo ila tutawaogezea hela waruhusu goli kama za KMC. Maana mnawaonea wivu KMC kuchukua hela nyingi.
Wale bado hawafika dau,ila nyie si njaa zenu mnaongea na GSM anawapa mzipo.Baada ya hapo muwape Al hilal na mc alger huko Caf!
Nafikiri goli la tano alilifunga golikipa juma kaseja ubao ukasomeka simba 5 yanga 0 ila kwa kuwa manara alishasema wenye akili ni wawili hilo linasadiki na akili zenu za supu mnazima data nenda kaulize wenye kuijua yanga watakuambia maumivu yao mpaka leo sio wewe kizazi cha supu ya hersi!Wale bado hawafika dau,ila nyie si njaa zenu mnaongea na GSM anawapa mzipo.
Mbona Rage aliongea nyie mambumbu,mnaongoza ligi ila hamjiamini waoga,ndio maana hamuishi kulalamika.Yaani mnaonekana hamuiamini timu yenu.Nafikiri goli la tano alilifunga golikipa juma kaseja ubao ukasomeka simba 5 yanga 0 ila kwa kuwa manara alishasema wenye akili ni wawili hilo linasadiki na akili zenu za supu mnazima data nenda kaulize wenye kuijua yanga watakuambia maumivu yao mpaka leo sio wewe kizazi cha supu ya hersi!
Kizazi cha supu kinasahau ni juzi wenzio wenye kujua mpira walikuwa wanasema TFF wanawahujumu!Mbona Rage aliongea nyie mambumbu,mnaongoza ligi ila hamjiamini waoga,ndio maana hamuishi kulalamika.Yaani mnaonekana hamuiamini timu yenu.
Wewe tushakununua mara nne na bado mara tano.
Kwa hiyo na nyie mnasema mnanunuliwa? Ndio maana Rage hakukosea,yaani nyie pamoja na kikosi chenu cha bil 7 kwa mujibu wa mmiliki wenu ila bado mnanunuliwa.Kizazi cha supu kinasahau ni juzi wenzio wenye kujua mpira walikuwa wanasema TFF wanawahujumu!
Caf ipi? Ya Zanzibar au hii ambayo madunduka akiwa anashiriki Yanga ni bonanza ila wakishiriki wao inageuka kuwa Club bingwa?Mechi za mipango hazijifichi mechi halisi zipo Caf!