Mechi ukitolea pesa lazima ushinde kwa magoli mengi mwisho ya siku mnaweza kuwa sawa na mpinzani wako kwa point!

Mechi ukitolea pesa lazima ushinde kwa magoli mengi mwisho ya siku mnaweza kuwa sawa na mpinzani wako kwa point!

Na ukapigwa mechi 4 mfululizo wakati hao unaowasema wakiwa washaondoka
Hiyo 4 yanga keshapigwa sana hivi sasa tunaona mnavyonunua mechi nyie subirini caf kusiko na kali ongala wa mecky mexime wala penalty za mchongo magoli ya offside!
 

Attachments

  • 20241225_065945.jpg
    20241225_065945.jpg
    116.7 KB · Views: 1
Unapata magoli matatu kipindi cha kwanza ambapo kuna uwezekano wa kuongeza magoli mengine zaidi badala yake unaanza madoido ya kurudisha pasi kwa golikipa(Pinpin) na kupoozesha mchezo(Haka katabia katamkaanga mtu,it's just a matter of time). Yanga akimkuta mnyonge anamnyonga jumla jumla. Mwisho wa msimu kitaeleweka tu!
Hayo magoli fungeni tu ila point nyaku nyaku haziachiwi.
 
Back
Top Bottom