moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,151
- 2,979
Nna majukumu mengine zaidi ya kushinda kwenye mitandaoYani ndiyo umepata vocha baada ya wiki au vipi?
Sikukujibu au sikukujibu ulivyotaka wewe?
Kwa nini swali kiwe Marekani ikiwa Marekani na Tanzania hazipo sawa?
Unalinganisha vipi vitu ambavyo havilinganishiki?
Jamaa alikuwa smart sana niliwahi kukutana naye akiwa mkuu wa mkoa wa kagera.Namtakia kila la heri na tunamkaribisha uraianiMeja Jenerali Charles Mbuge amestaafu na kuagwa jeshini baada ya kulitumikia jeshi kwa miaka 38.
Enzi ya utumishi wake jeshini, aliwahi kuwa Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa na baadae kushika majukumu mbalimbali ya kijeshi.
Anakumbukwa jinsi alivyokuwa kipenzi cha Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.
Ni katika awamu ya tano, ambapo Meja Jenerali Mbuge aliibuka baada ya kazi nzuri ya ujenzi wa ukuta wa Mirerena na kupanda vyeo mfululizo hali iliyoibua minong’ono kwa wengi kuwa alikuwa anaandaliwa kuwa Mkuu mpya wa Majeshi.
Tunakutakia maisha mema ya kustaafu, utumishi wako jeshini umetukuka!
View attachment 3063607
Soma pia: Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?
Aah, wapi. Wiki nzima? Chaka tu hilo.Nna majukumu mengine zaidi ya kushinda kwenye mitandao
Kwahiyo unapendekeza tube nq vita kilq baada ya miaka mingapi mkuu??Pongezi na kwaheri.
Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.
Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Tutafutie vita ya kirafikiYani ndiyo umepata vocha baada ya wiki au vipi?
Sikukujibu au sikukujibu ulivyotaka wewe?
Kwa nini swali kiwe Marekani ikiwa Marekani na Tanzania hazipo sawa?
Unalinganisha vipi vitu ambavyo havilinganishiki?
Wapi nimependekeza tuwe na vita?Kwahiyo unapendekeza tube nq vita kilq baada ya miaka mingapi mkuu??
Ili iweje?Tutafutie vita ya kirafiki
Lakini pia Watu vijijini tunalima na pia mtandao hakuna ukiona nimekuja basi jua nimeenda sehem ya mtandaoAah, wapi. Wiki nzima? Chaka tu hilo.
Sasa sababu halisi unaibania na kuiweka kwenye lakini pia huitoi mpaka nikutoe meno?Lakini pia Watu vijijini tunalima na pia mtandao hakuna ukiona nimekuja basi jua nimeenda sehem ya mtandao
Mbona nimekueleza ukweli mtupu mkuuSasa sababu halisi unaibania na kuiweka kwenye lakini pia huitoi mpaka nikutoe meno?
Gang rape, kupiga raia na kugombania mademu bar.Pongezi na kwaheri.
Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.
Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Amefariki?Mzee hatukonae tena.
R.I.P
Jeshi halipo kwa ajili ya kupigana tu!Pongezi na kwaheri.
Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.
Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Kazi kubwa ya jeshi ni kuzuia vita kutokea (deterrence). Kitendo cha mwanajeshi kutumia miaka 35 jeshini na kustaafu bila kwenda vitani maana yake jeshi lake na serikali yake vimefanya kazi kuu ya kijeshi.Pongezi na kwaheri.
Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.
Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Mbona mapema sanaRIP GEN
Actually wanajeshi wengi wamekasirika sana nchi inaendeshwa kisiasa zaidi na hizo kazi za kijasusi hazithaminiwi.Jeshi halipo kwa ajili ya kupigana tu!
Kuna mission nyingi za kijasusi zinafanywa na jeshi letu kwa ajili ya Amani ya TZ.
Sasa hapo Tanzania mtu akitaka kukutwanga mvua ya mabomu hao wanajeshi wasio hata na air force ya kueleweka wanazuiaje?Kazi kubwa ya jeshi ni kuzuia vita kutokea (deterrence). Kitendo cha mwanajeshi kutumia miaka 35 jeshini na kustaafu bila kwenda vitani maana yake jeshi lake na serikali yake vimefanya kazi kuu ya kijeshi.
Kitendo cha kuingia vitani hiyo ni failure ya kwanza.