Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

Yani ndiyo umepata vocha baada ya wiki au vipi?

Sikukujibu au sikukujibu ulivyotaka wewe?

Kwa nini swali kiwe Marekani ikiwa Marekani na Tanzania hazipo sawa?

Unalinganisha vipi vitu ambavyo havilinganishiki?
Nna majukumu mengine zaidi ya kushinda kwenye mitandao
 
Meja Jenerali Charles Mbuge amestaafu na kuagwa jeshini baada ya kulitumikia jeshi kwa miaka 38.

Enzi ya utumishi wake jeshini, aliwahi kuwa Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa na baadae kushika majukumu mbalimbali ya kijeshi.

Anakumbukwa jinsi alivyokuwa kipenzi cha Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.

Ni katika awamu ya tano, ambapo Meja Jenerali Mbuge aliibuka baada ya kazi nzuri ya ujenzi wa ukuta wa Mirerena na kupanda vyeo mfululizo hali iliyoibua minong’ono kwa wengi kuwa alikuwa anaandaliwa kuwa Mkuu mpya wa Majeshi.

Tunakutakia maisha mema ya kustaafu, utumishi wako jeshini umetukuka!

View attachment 3063607

Soma pia: Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?
Jamaa alikuwa smart sana niliwahi kukutana naye akiwa mkuu wa mkoa wa kagera.Namtakia kila la heri na tunamkaribisha uraiani
 
Pongezi na kwaheri.

Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.

Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Kwahiyo unapendekeza tube nq vita kilq baada ya miaka mingapi mkuu??
 
Yani ndiyo umepata vocha baada ya wiki au vipi?

Sikukujibu au sikukujibu ulivyotaka wewe?

Kwa nini swali kiwe Marekani ikiwa Marekani na Tanzania hazipo sawa?

Unalinganisha vipi vitu ambavyo havilinganishiki?
Tutafutie vita ya kirafiki
 
Pongezi na kwaheri.

Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.

Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Gang rape, kupiga raia na kugombania mademu bar.
 
Hongera saana Meja Gen Mbuge,

Huyu ametokeaa kwenye familia ya jeshi, Baba yake Alikuwa mwanajesh R.i.p

Anaenda kupumzika kwenye mashamba yake makubwa saana pale kola kisarawe.

Bigup Kwa shamba darasa unalotupa pale kola
 
Pongezi na kwaheri.

Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.

Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Jeshi halipo kwa ajili ya kupigana tu!

Kuna mission nyingi za kijasusi zinafanywa na jeshi letu kwa ajili ya Amani ya TZ.
 
Pongezi na kwaheri.

Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.

Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Kazi kubwa ya jeshi ni kuzuia vita kutokea (deterrence). Kitendo cha mwanajeshi kutumia miaka 35 jeshini na kustaafu bila kwenda vitani maana yake jeshi lake na serikali yake vimefanya kazi kuu ya kijeshi.

Kitendo cha kuingia vitani hiyo ni failure ya kwanza.
 
Jeshi halipo kwa ajili ya kupigana tu!

Kuna mission nyingi za kijasusi zinafanywa na jeshi letu kwa ajili ya Amani ya TZ.
Actually wanajeshi wengi wamekasirika sana nchi inaendeshwa kisiasa zaidi na hizo kazi za kijasusi hazithaminiwi.

Mpaka Mkuu wa Majeshi analalamika wazi kinyume na itifaki kuwa kuna wageni wengi wanafanya kazi nyeti za serikalini. This is unprecedented.

Sasa wanajeshi wanafanya ujasusi gani hapo?
 
Kazi kubwa ya jeshi ni kuzuia vita kutokea (deterrence). Kitendo cha mwanajeshi kutumia miaka 35 jeshini na kustaafu bila kwenda vitani maana yake jeshi lake na serikali yake vimefanya kazi kuu ya kijeshi.

Kitendo cha kuingia vitani hiyo ni failure ya kwanza.
Sasa hapo Tanzania mtu akitaka kukutwanga mvua ya mabomu hao wanajeshi wasio hata na air force ya kueleweka wanazuiaje?

Usichanganye Africa kutokuwa na vita kwa sababu kila mtu anapambana na umasikini wake na ufanisi wa wanajeshi wetu.

Vita ni biashara yenye gharama kubwa ambayo nchi nyingi masikini za Africa haziwezi ku afford.
 
Back
Top Bottom