Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Hakuna taarifa kama hizi Mitandaoni. Anaweza kuwa miungoni mwa team za propaganda za West. Naona taarifa za upotoshaji phasebook, BBC, CNN, Fox news, tuzihakiki toka France 24 hrs news, Russia , CHINA, ktk vyanzo vyote hivyo hakuna habari Kama hiyo.
si hao hao walichelewa kutupasha habari hata meli za awali zilipoungua
 
Putin lazima azamishwe na hajutie maamuzi yake ya kumpuuza kiongozi wa dunia Papa.
 
Weka picha au video au unaleta fake newz.
 
Yaani tunahasira na nyie vibwengo wa Ukraine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…