FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kusema ukweli na kushinda kesi ni vitu viwili tofauti, sawa na ardhi na mbingu.Kama alichokuwa anasema kweli,basi hoja zake zingemfanya ashinde kesi
Iwe fundisho kwa wengine pia. Membe piga bei hivyo vituKuna watu hawatanii wakishaamua hawarudi nyuma kimasikhara mali zinapigwa mnada
Kati ya watu ambao mtu anapaswa kujiepusha nao ni wasio weza kuomba msamaha.Hahahha.. Kuna watu hufanya makosa mabaya just bcoz kuna uchochoro wa msamaha au familia sijui wake zangu sijui mtoto gani. Mimi ukinikosea ukakimbilia kuomba msamaha nitakusamehe ila matokeo lazma uyapate.
Huyu naskia mpk sekunde hii hajaomba hata msamaha. Ingawa angeomba isingekuwa rahsi kusamehewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Membe ahakikishe anakusanya mpaka kuku wa musiba mwehu huyu!Mimesikiliza clip nyingi za Musiba ni kechefuchefu.
Yaani ikitokea Mhe. Membe akamsamehe huyu Musiba nitaomba Membe alaaniwe.
Aliokuwa anawatukana hawana familia,kama kuna siku alisema Lissu hasimamishi si zaidi ya udhalilishajiMkuu adhabu ni kali mno
Ana familia mkumbuke
Umma upi unamlilia Msiba?Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
mimi nimeahindwa kuvumilia nimemtukana kwakweliNatamani nikupe bonge la tusi,ila mdomo koma
kabisa, walitakiwa wamuonye mapema MusibaHuyo Musiba, Pengo, Malasusa, Sukuma Gang et Al hapo mwanzo hawakujua hayo?
Naomba mfalme malasusa afuate. Kwenye huo ubatizo. [emoji3]kabisa, walitakiwa wamuonye mapema Musiba
Asikosekane mtu wa kumbatiza malasusa. Au wanangoja mpaka astaafu?
Mahakama imehukumu Membe yeye ni Nani apindue hukumu ya mahakama!?Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Sahih Sana bab jMusiba hapaswi kusamehewa
Tutatengeneza taifa la hovyo waropokaji wakitegemea kusamehewa kwa mgongo wa vitabu vya Dini.
Anapaswa anyooshwe vzur awe example kwa waropokaji wengn Hapa nchini[emoji4]
Viongoz wa Dini nao wanafiki tuMembe Hakuna kurudi nyuma mbona hao viongozi wa dini wahakumuonya musiba kipindi musiba anamshambulia maembe
Musiba anyooshwwee vzr mpuuz yule ,membe kuwa seriousmsiba hawataishia kumfilisi tu, Bali watamfokonyoa hadi marinda... Yeye na wapumbavu wenzake walikua wanadhan jiwe ni mungu kwamba hafi ataishi milele... Malipo hapahapa duniani