Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Kama alichokuwa anasema kweli,basi hoja zake zingemfanya ashinde kesi
Kusema ukweli na kushinda kesi ni vitu viwili tofauti, sawa na ardhi na mbingu.

Mfano mimi leo naweza nikakufuma unafumuliwa marinda, ila nikadiriki kutangaza wakati sina ushahidi wowote, zaidi tu ya kwamba nilikuona kwa macho yangu, basi mahakamani nitaonekana nina hatia ya kukuchafua, na naweza uaknidai fidia ya kukuchafua. Hiyo haimaanishi nilikusingizia, no!
 
Mali zake zipigwe mnada tu,, wanaume tupo tutamsaidia kutunza wake zake wawili hao. Vitu vipigwe mnada.
 
Hahahha.. Kuna watu hufanya makosa mabaya just bcoz kuna uchochoro wa msamaha au familia sijui wake zangu sijui mtoto gani. Mimi ukinikosea ukakimbilia kuomba msamaha nitakusamehe ila matokeo lazma uyapate.

Huyu naskia mpk sekunde hii hajaomba hata msamaha. Ingawa angeomba isingekuwa rahsi kusamehewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya watu ambao mtu anapaswa kujiepusha nao ni wasio weza kuomba msamaha.
Kuna watu hawezi kabisa kusema "samahani" "nisamehe" "nitajirekebisha" "nilikosea" "Niwie radhi" nk
Hao watu kaa nao kwa umakini. Wengi wao hawana Utu.
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Umma upi unamlilia Msiba?
Kipindi kile anawatisha na kuwakashifu watu mbina hamkumpa ushauri
Narudia tena ikiwezekana anyongwe kabisa
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Mahakama imehukumu Membe yeye ni Nani apindue hukumu ya mahakama!?
 
Back
Top Bottom