Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Mama magu amlipie kwa utaratibu upi sasa, mbona unazingua wewe kibibi.......yote hiyo ni chuki tu dhidi ya JPM, punguza udini wewe bibi usije ambukiza itikadi kali kwa wajukuu.
 
Kwani Bashiru anayo mamlaka ya kubatilisha hukumu ya mahakama kuu?!!!
 
Walishasema HAWAJAMTUMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…