Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 723
- 1,157
Hii imekaaje lakini kusema everything kuhusu mtu? Isingetosha tu kusema jina lake tu la mtandaoni na kumalizia hapo?
Kama mtu alikuwa anaandika mavitu yake ambayo hakuwahi kupenda au kutaka watu wamfahama kwa hayo, sisi tunapataje uhalali wa kuyafanya hayo?Yaa
I agree 1,000%Hii imekaaje lakini kusema everything kuhusu mtu? Isingetosha tu kusema jina lake tu la mtandaoni na kumalizia hapo?
Kama mtu alikuwa anaandika mavitu yake ambayo hakuwahi kupenda au kutaka watu wamfahama kwa hayo, sisi tunapataje uhalali wa kuyafanya hayo?
Hapana zipo sbb nyingine pia!RIP
Warumi 9: Maana Kristo alikufa akawa hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hai pia.
Now days kutoboa 30 ni ngumu sana asee kwa vijana waliozaliwa 90s Mungu atusaidie.
Hivi utumbo kujikunja si sababu ya Ulcers????[emoji849][emoji849]
Gone too earlyHuyu ni moja ya memba tuliekua nae humu kwa muda mrefu. Ni moja ya watu walionifanya niijue JF miaka ya 2013 huko ingawa yeye alichelewa kidogo kujiunga. Na kwa Mara ya mwisho kuonekana humu ni 28/11/2020
Anaitwa Deogratius Paul Maige (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tar 08/12/2020 katika hospital ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.
Kwa miaka mingi alikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.
Tar 3/12/2020 alipelekwa sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa anakisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka. Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea .
Atazikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.
R. I. P deo paul555
Facebook alikua anatumia Deogratius Paulo Zachalia.View attachment 1645104
Ufunuo 14:13Going too soon son. Rest Easy.
I see.Kifo ni ukumbusho kuwa Dunia ni mapito,
Jiheshimu,
Waheshimu wenzako kisha
Mpende Mungu,
Achana na stress zisizokua na maana kisha enjoy ur life,
Inna lilahi waina ilaihi rajioon,
Sisi ni wa Mungu na kwake tutarejea.
Peace and Love.
RIP kijana mbichiHuyu ni moja ya memba tuliekua nae humu kwa muda mrefu. Ni moja ya watu walionifanya niijue JF miaka ya 2013 huko ingawa yeye alichelewa kidogo kujiunga. Na kwa Mara ya mwisho kuonekana humu ni 28/11/2020
Anaitwa Deogratius Paul Maige (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tar 08/12/2020 katika hospital ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.
Kwa miaka mingi alikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.
Tar 3/12/2020 alipelekwa sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa anakisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka. Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea .
Atazikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.
R. I. P deo paul555
Facebook alikua anatumia Deogratius Paulo Zachalia.View attachment 1645104
Kwamujibu wa biblia..muda wa mtu kutubu nakusamehewa dhambi ni wakati akiwa hai..yeye mwenyewe kumlilia muumba wake amsamehe dhambi zake..ukisha kufa ndio ukurasa wako umefungwa..unachosubiri ni hukumu ta haki..