TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

Yaani taarifa ya msiba itolewe kwa Jina fake sasa itakua na maana gani?Watu waende kuzika ID fake?
Hii imekaaje lakini kusema everything kuhusu mtu? Isingetosha tu kusema jina lake tu la mtandaoni na kumalizia hapo?

Kama mtu alikuwa anaandika mavitu yake ambayo hakuwahi kupenda au kutaka watu wamfahama kwa hayo, sisi tunapataje uhalali wa kuyafanya hayo?Yaa
 
Mungu airehemu roho yake pahala pema peponi,amina.

Note:Sanitarian acheni tamaa km hamjui acheni kubuni ili mpate wa kuwauzia dawa zenu,niliwahi kwenda hapo kwa matatizo ya mgongo nikapimwa na kuambiwa nina magonjwa 120 kweli jamani;magonjwa 120?

Sio muda wa kulaumiana kutokana na mwenzetu kututoka but yawezekana nanyi mmechangia hata 25%ya umauti wa Deo
 
Hii imekaaje lakini kusema everything kuhusu mtu? Isingetosha tu kusema jina lake tu la mtandaoni na kumalizia hapo?

Kama mtu alikuwa anaandika mavitu yake ambayo hakuwahi kupenda au kutaka watu wamfahama kwa hayo, sisi tunapataje uhalali wa kuyafanya hayo?
I agree 1,000%

Gross violation of privacy rights expected at an anonymous forum.

R.I.P

Misdiagnosed and tormented for decades. Shame on the hospitals and health policy makers.
 
RIP
Warumi 9: Maana Kristo alikufa akawa hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hai pia.


Now days kutoboa 30 ni ngumu sana asee kwa vijana waliozaliwa 90s Mungu atusaidie.

Hivi utumbo kujikunja si sababu ya Ulcers????[emoji849][emoji849]
Hapana zipo sbb nyingine pia!
 
Huyu ni moja ya memba tuliekua nae humu kwa muda mrefu. Ni moja ya watu walionifanya niijue JF miaka ya 2013 huko ingawa yeye alichelewa kidogo kujiunga. Na kwa Mara ya mwisho kuonekana humu ni 28/11/2020

Anaitwa Deogratius Paul Maige (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tar 08/12/2020 katika hospital ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.

Kwa miaka mingi alikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.

Tar 3/12/2020 alipelekwa sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa anakisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka. Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea .

Atazikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.


R. I. P deo paul555

Facebook alikua anatumia Deogratius Paulo Zachalia.View attachment 1645104
Gone too early
 
Kifo ni ukumbusho kuwa Dunia ni mapito,
Jiheshimu,
Waheshimu wenzako kisha
Mpende Mungu,
Achana na stress zisizokua na maana kisha enjoy ur life,

Inna lilahi waina ilaihi rajioon,
Sisi ni wa Mungu na kwake tutarejea.


Peace and Love.
I see.
 
Huyu ni moja ya memba tuliekua nae humu kwa muda mrefu. Ni moja ya watu walionifanya niijue JF miaka ya 2013 huko ingawa yeye alichelewa kidogo kujiunga. Na kwa Mara ya mwisho kuonekana humu ni 28/11/2020

Anaitwa Deogratius Paul Maige (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tar 08/12/2020 katika hospital ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.

Kwa miaka mingi alikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.

Tar 3/12/2020 alipelekwa sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa anakisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka. Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea .

Atazikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.


R. I. P deo paul555

Facebook alikua anatumia Deogratius Paulo Zachalia.View attachment 1645104
RIP kijana mbichi
 
M/Mungu ..amsameh. ... apumzike kwa amani...

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kwamujibu wa biblia..muda wa mtu kutubu nakusamehewa dhambi ni wakati akiwa hai..yeye mwenyewe kumlilia muumba wake amsamehe dhambi zake..ukisha kufa ndio ukurasa wako umefungwa..unachosubiri ni hukumu ta haki..


#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Lil Wayne

Am a bad muuhfucka coz the good die young.

-Blunt Blowin
 
Back
Top Bottom