Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

mkuu Tera La Vista..wake up....fanya research...hivi vitu vipo..ingia you tube,google etc....
Uelewa wake ndio umekomea hapo.
Yy anadhani wanavyo sema copy ni kama photocopy za kwenye makaratasi ;haimuingii akilini kabisa.
Angeweza kujishugulisha ata kwa dk 5 tu kutafuta ukweli angeona nyumba hiyo wameishatengeneza.
Zamani Galileo mwana sayansi wa kwanza aliyesema kitu tifauti na mapokeo ya kanisa la Romani kuwa dunia inazunguka jua.
Jamaa alipata adhabu ya kuuwawa.
Bt baada ya miaka mingi ikaja kugundulika ni kweli dunia yetu inazunguka jua.
So wasiotaka kujishughulisha na akili zao lazima watabaki nyuma.
Mfano miaka 20 nyuma angetokea mtu akasema itafikia kipindi ukitaka kumuandikia barua bibi au babu au jamaa yupo bara lingine atapata ujumbe ndani ya 2second nadhani watu wangetoka povu sana.
But leo barua pepe unawasiliana na mtu within second.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kuwaambia jamaa zangu wa karibu kwamba "kama kuna mtu unapswa kumuogopa na kumkwepelea mbali kwenye dunia hii ya leo basi ni mtu anaitwa entrepreneur"
 
Yeah kwa Maelezo yako kuntu, Elon Musk Ni Balaa ktk mapinduzi ya Sc. n teknolojia kwa Sasa. Lakini, sidhani kama Anfikia Level za Akina Nikola Tesla na Albert Einstein.

Nchi nyingi zilizoendelea zimewekeza zaidi ktk hii science ya Artificial Intelligence (AI). Nawashangaa zaidi kwa wale wenzangu na Mimi wanaobisha bila 7bu za msingi.

Waingie kwenye waya tu kwani kila kitu kipo huko...

Hongera kubwa bwana Ontario...Big up sana.
 
Uelewa wake ndio umekomea hapo.
Yy anadhani wanavyo sema copy ni kama photocopy za kwenye makaratasi ;haimuingii akilini kabisa.
Angeweza kujishugulisha ata kwa dk 5 tu kutafuta ukweli angeona nyumba hiyo wameishatengeneza.
Zamani Galileo mwana sayansi wa kwanza aliyesema kitu tifauti na mapokeo ya kanisa la Romani kuwa dunia inazunguka jua.
Jamaa alipata adhabu ya kuuwawa.
Bt baada ya miaka mingi ikaja kugundulika ni kweli dunia yetu inazunguka jua.
So wasiotaka kujishughulisha na akili zao lazima watabaki nyuma.
Mfano miaka 20 nyuma angetokea mtu akasema itafikia kipindi ukitaka kumuandikia barua bibi au babu au jamaa yupo bara lingine atapata ujumbe ndani ya 2second nadhani watu wangetoka povu sana.
But leo barua pepe unawasiliana na mtu within second.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Yaani unaweza ukaona ni kwa jinsi gani Nchi Masikini/Zinazoendelea kama Tz tutakavyooachwa nyuma na mapinduzi haya Sc. na teknolojia. Yaani mtu anabisha from no where, bila kuwa na 7bu za msingi.

Yaani mtu wa aina hiyo hata ukimwambia aingie mtandaoni/you tube ili aone uhalisia, bado atakwambia alichokiona akina uhalisia...

Hivi hajasikia kuwa hata hapa bongo (ktk taasisi ya JK) wamefanikiwa kufanya surgery/upasuaji kwa mara ya kwanza kwa kutumia computerized machine bila kumpasua mgongwa na visu, na operation ilifanikiwa 100%.???

Watu wengine bana!!!!!!
 
Yaani unaweza ukaona ni kwa jinsi gani Nchi Masikini/Zinazoendelea kama Tz tutakavyooachwa nyuma na mapinduzi haya Sc. na teknolojia. Yaani mtu anabisha from no where, bila kuwa na 7bu za msingi.

Yaani mtu wa aina hiyo hata ukimwambia aingie mtandaoni/you tube ili aone uhalisia, bado atakwambia alichokiona akina uhalisia...

Hivi hajasikia kuwa hata hapa bongo (ktk taasisi ya JK) wamefanikiwa kufanya surgery/upasuaji kwa mara ya kwanza kwa kutumia computerized machine bila kumpasua mgongwa na visu, na operation ilifanikiwa 100%.???

Watu wengine bana!!!!!!
Kuna msemo kwenye bible unasema husimuavbe elimu aende zake.
Mshike sana elimu.
Hii ina apply wether ur beliver or not.
Sasa mtu kwa kuwa hajawahi kusoma ata kitabu kimoja ndani ya miaka 5 alafu Ontario anakwambia amesoma vitabu 80 ++ kwa mwaka mmoja tu bado unatakauanze kubisha.
Na unaenda mbalia kusema eti ni muongo.
Sasa mtu kama hiyo ata umpe nn hawezi kuendelea

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Nimejaribu kusoma kwa utulivu nikitaka kuona huo utabiri wa Ontario kwa maiha yajayo. nimekosa kuona utabiri huo. ni kuwa hakuna utabiri zaidi ya kuelezea kile ambacho anakifikiria kitakuwa kimefanyika kutokana na alichosoma. ni sawa na mimi ningeangalia documentary moja ambayo wanaelezea kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza self drive car then nikaja hapa na kusema "Gudume's prediction huko tunakoelekea tutakuja kupanda taxi ambazo hazina madereva" mimi ni mpongeze kawasaidia watu wasiosoma kupata knowledge hii ambayo hawakuwa wakiifaham. lakini kuna ambao wamekuwa wakisoma na kuangalia science tv channels,documentaries wanafaham kinachoendelea kwa njia moja au nyingine.watu wanasoma.ni wapuuzi tu ambao wanadhani hakuna waafrika au watanzania wanaosoma.lakini pia ni kwa kuwa si wote tunaweza kuja na kusema tumesoma vitabu kadhaa kwa sababu haina haja.so wanaoweza wanaweza fanya hivyo kwa sababu kadhaa.

kuna siku 365. kuna vitabu ambavyo vinachukua page mpaka 1000 na kuendelea. nimewahi soma kitabu cha namna hiyo.

sasa chukua siku 365 gawanya kwa vitabu 100 = unapata kwa kitabu kimoja unasoma siku 3 na masaa 7. hapo maana yake haulali na hauli na haufanyi kitu chochote wewe ni kusoma tu kitabu husika.

sasa chukulia kitabu cha kawaida tu chenye pages 1000 gawanya kwa masaa 79 yaani siku 4 jumlisha na masaa 7. maana yake unasomapage 12 kwa saa moja. na hapo maana yake huli,hulali,huendi kuoga na kufanya anything.wewe ni kusoma na kusoma na wewe. uwe hujajiajiri wala kuajiriwa. unless otherwise uwe unasoma vile vitabu vidogo vidogo au journals. so kuna mammbo ambayo sisi wengine yanatushinda to brag coz we know some intelligent people are here.you can fool some people sometime.but you cant fool all the people all the time.

hivyo nampongeza sana huyu bwana ontario na alichoakiandika na kuweza kusoma vitabu 84 kwa mwaka. ni jambo la kumpongeza sana maana kwa kweli alikuwa na uchaguzi mzuri wa vitabu gani asome na kwa muda gani. na pia najua alipoteza muda wa kulala na pia hata kufanya shughuli zake nyingine ili aje atoe "utabiri" kama ambavyo ameuita. pia kuwa na uwezo mkubwa wa kusoma kwa ufanisi na haraka vitabu vyote 84 ni jambo la kupigiwa chapuo sana.mimi nampongeza. na pengine kuna watu watataka kujifunza kutoka kwake.

otheriwse nabaki katika moja la msingi kuwa amejitahidi kusoma na kuja kuelezea alichosoma kwa mwono wake lakini haja predict chochote kinachokuja huko mbeleni.narudia hajatabiri lolote linalokuja huko mbeleni ila ameweza kuunganisha dots mbali mbali za kisayansi. na dhana ya 3D printing technology nadhani watu wengi hawajui inavyofanya kazi wanadhani ni kama tunavyo print picha ikatokea ikiwa vile basi ndivyo inavyokuwa kwa maelezo mepesi mepesi wanayoyapata na wengine kwa kukosa udadisi au kuelewa kinachoelezwa kwenye documentaries na vitabu au vijitabu.

waswas anaozungumzia kuwa anauona huko mbeleni haupo kiuhalisia. hakuna woga wowote kutokana na kuwa technolojia hii kwa sisi waafrika kuja kutuathiri kama anavyosema yeye ni miaka mingi ijayo. kwa sasa bado hata wao wanaotengeneza kuna uwezekano mkubwa isiwaathiri ndani ya miaka 10 ijayo.hayo magari yanayojiendesha n.k bado sana kuja kufikia kuwa na athari kubwa katika maisha ya wanadamu. tuangalie tu kitu rahis kama kompyuta level yao na sisi ilivyo na athari zao na zetu.wakati wao wameshaendelea uda mrefu hata kwenye fuel station hukuti watu wanahudumia hivyo vituo..sisi bado hatujafika huko na maybe itachukua muda kidogo.so woga anaoweka mwandishi kwa sisi bado sana.
Gudume kila jukwaa upo vizur mm nkajua tu kule kwenye mambo yako ya fis umebiua fisi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Yaani unaweza ukaona ni kwa jinsi gani Nchi Masikini/Zinazoendelea kama Tz tutakavyooachwa nyuma na mapinduzi haya Sc. na teknolojia. Yaani mtu anabisha from no where, bila kuwa na 7bu za msingi.

Yaani mtu wa aina hiyo hata ukimwambia aingie mtandaoni/you tube ili aone uhalisia, bado atakwambia alichokiona akina uhalisia...

Hivi hajasikia kuwa hata hapa bongo (ktk taasisi ya JK) wamefanikiwa kufanya surgery/upasuaji kwa mara ya kwanza kwa kutumia computerized machine bila kumpasua mgongwa na visu, na operation ilifanikiwa 100%.???

Watu wengine bana!!!!!!
Tena ilikuwa operation ya moyo sasa
 
Kuna msemo kwenye bible unasema husimuavbe elimu aende zake.
Mshike sana elimu.
Hii ina apply wether ur beliver or not.
Sasa mtu kwa kuwa hajawahi kusoma ata kitabu kimoja ndani ya miaka 5 alafu Ontario anakwambia amesoma vitabu 80 ++ kwa mwaka mmoja tu bado unatakauanze kubisha.
Na unaenda mbalia kusema eti ni muongo.
Sasa mtu kama hiyo ata umpe nn hawezi kuendelea

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa Mkuu...
 
sasa huo msemo mbona wewe ndugu yangu hukuufanyia kazi? ungeufanyia kazi huo mstari ni mzuri.

Kuna msemo kwenye bible unasema husimuavbe elimu aende zake.
Mshike sana elimu.
Hii ina apply wether ur beliver or not.
Sasa mtu kwa kuwa hajawahi kusoma ata kitabu kimoja ndani ya miaka 5 alafu Ontario anakwambia amesoma vitabu 80 ++ kwa mwaka mmoja tu bado unatakauanze kubisha.
Na unaenda mbalia kusema eti ni muongo.
Sasa mtu kama hiyo ata umpe nn hawezi kuendelea

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mwandani wa jamaa au?
Kwanza kabisa mimi sio Mwandani wa Ontario.
Alonso14,yaani kumwambia Tele avista aende google,you tube kuprove aliyo yanongelea ontario ndo nimekuaa mwandani seriously?

Focus kwenye mada,mfano Rwanda wamefanya pilot study ya kuangalia uwezekano wa kutumia drones kusafirisha dawa nk vijijini ili kuweza kuokoa maisha ya watu.And that is Technology Alonso14!!
 
Thread inaitwa "Ontario's mere prediction about the future".But ukitafakari vizuri humo ndani hakuna ulichopredict zaidi ya kucheza na akili za watu.
Ulichoandika sio utabiri bali umeanza kwa kutuelezea ulivyosoma kuhusu ukuwaji wa technology na athari zake (-v) Katika upande wa ajira kabla haujaingia katika Aya ya mwisho ambayo ndio lengo kuu la hii thread.

Ninani aliyefika hadi kidato cha nne ambaye hajui kwamba moja kati ya athari za ukuaji wa technology ni Pamoja na kupungua kwa ajira?kama hakuna na hayo uliyoyasema hayatoki kichwani kwako bali kwenye vitabu ulivyosoma kama ambavyo umeeleza Sasa hapo utasema umetabiri nini?.

Kila ukuwaji wa tecnolojia uliyoizungumzia umeuzungumzia katika Hali ya hasara tu hasa katika upande wa ajira yaani hakuna hata sehemu moja uliyoonesha kwamba kuna faida fulani itakayopatikana Lakini ulipofika kwenye Bitcoin umeiongelea kwenye upande positive tu tofauti na technology nyingine.Umeielezea faida tu ikiwemo kupanda kwa thamani na wewe mwenyewe ukaanza kwa kutoa ushuhuda kwamba Bitcoin ipo vizuri sana.

Hapo ndio nagundua zile za juu zote zilikua ni bla bla tu lakini target yako kuu ilikua kuintroduce issue ya BITCOIN kama ilivyokuwa kwenye FOREX.Umeieweka Bitcoin mwishoni ili muendelezo Uwe thread ya Bitcoin.

"Mwakajana tuliwafundiaha jinsi ya Ku download money kupitia FOREX na hatimaye mwaka huu kutokana na ukuaji wa technology tunategemea kuwafundisha kuprint wenyewe majumbani kupitia BITCOIN .Jiandaeni na pesa za Seminar, Undeni ma group ya watsap Mikoani kwenu mkitimia watu 100 wenye Ada mkononi mtuite tutakuja".

Jamaa mmoja kanifurahisha Sana kasema eti " Unaweza ukafurahia kuletewa fursa kumbe wewe ndio fursa ya aliyekuletea".
 
Nimejaribu kusoma kwa utulivu nikitaka kuona huo utabiri wa Ontario kwa maiha yajayo. nimekosa kuona utabiri huo. ni kuwa hakuna utabiri zaidi ya kuelezea kile ambacho anakifikiria kitakuwa kimefanyika kutokana na alichosoma. ni sawa na mimi ningeangalia documentary moja ambayo wanaelezea kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza self drive car then nikaja hapa na kusema "Gudume's prediction huko tunakoelekea tutakuja kupanda taxi ambazo hazina madereva" mimi ni mpongeze kawasaidia watu wasiosoma kupata knowledge hii ambayo hawakuwa wakiifaham. lakini kuna ambao wamekuwa wakisoma na kuangalia science tv channels,documentaries wanafaham kinachoendelea kwa njia moja au nyingine.watu wanasoma.ni wapuuzi tu ambao wanadhani hakuna waafrika au watanzania wanaosoma.lakini pia ni kwa kuwa si wote tunaweza kuja na kusema tumesoma vitabu kadhaa kwa sababu haina haja.so wanaoweza wanaweza fanya hivyo kwa sababu kadhaa.

kuna siku 365. kuna vitabu ambavyo vinachukua page mpaka 1000 na kuendelea. nimewahi soma kitabu cha namna hiyo.

sasa chukua siku 365 gawanya kwa vitabu 100 = unapata kwa kitabu kimoja unasoma siku 3 na masaa 7. hapo maana yake haulali na hauli na haufanyi kitu chochote wewe ni kusoma tu kitabu husika.

sasa chukulia kitabu cha kawaida tu chenye pages 1000 gawanya kwa masaa 79 yaani siku 4 jumlisha na masaa 7. maana yake unasomapage 12 kwa saa moja. na hapo maana yake huli,hulali,huendi kuoga na kufanya anything.wewe ni kusoma na kusoma na wewe. uwe hujajiajiri wala kuajiriwa. unless otherwise uwe unasoma vile vitabu vidogo vidogo au journals. so kuna mammbo ambayo sisi wengine yanatushinda to brag coz we know some intelligent people are here.you can fool some people sometime.but you cant fool all the people all the time.

hivyo nampongeza sana huyu bwana ontario na alichoakiandika na kuweza kusoma vitabu 84 kwa mwaka. ni jambo la kumpongeza sana maana kwa kweli alikuwa na uchaguzi mzuri wa vitabu gani asome na kwa muda gani. na pia najua alipoteza muda wa kulala na pia hata kufanya shughuli zake nyingine ili aje atoe "utabiri" kama ambavyo ameuita. pia kuwa na uwezo mkubwa wa kusoma kwa ufanisi na haraka vitabu vyote 84 ni jambo la kupigiwa chapuo sana.mimi nampongeza. na pengine kuna watu watataka kujifunza kutoka kwake.

otheriwse nabaki katika moja la msingi kuwa amejitahidi kusoma na kuja kuelezea alichosoma kwa mwono wake lakini haja predict chochote kinachokuja huko mbeleni.narudia hajatabiri lolote linalokuja huko mbeleni ila ameweza kuunganisha dots mbali mbali za kisayansi. na dhana ya 3D printing technology nadhani watu wengi hawajui inavyofanya kazi wanadhani ni kama tunavyo print picha ikatokea ikiwa vile basi ndivyo inavyokuwa kwa maelezo mepesi mepesi wanayoyapata na wengine kwa kukosa udadisi au kuelewa kinachoelezwa kwenye documentaries na vitabu au vijitabu.

waswas anaozungumzia kuwa anauona huko mbeleni haupo kiuhalisia. hakuna woga wowote kutokana na kuwa technolojia hii kwa sisi waafrika kuja kutuathiri kama anavyosema yeye ni miaka mingi ijayo. kwa sasa bado hata wao wanaotengeneza kuna uwezekano mkubwa isiwaathiri ndani ya miaka 10 ijayo.hayo magari yanayojiendesha n.k bado sana kuja kufikia kuwa na athari kubwa katika maisha ya wanadamu. tuangalie tu kitu rahis kama kompyuta level yao na sisi ilivyo na athari zao na zetu.wakati wao wameshaendelea uda mrefu hata kwenye fuel station hukuti watu wanahudumia hivyo vituo..sisi bado hatujafika huko na maybe itachukua muda kidogo.so woga anaoweka mwandishi kwa sisi bado sana.
 
Back
Top Bottom