Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Kwani mchezaji kuchukua kombe la dunia ktk umri mdogo ndio kuna mfanya kuwa bora?

Huyu Giuseppe Bergomi mchezaji wa Italia alichukua kombe 1982 akiwa na miaka 18,ina mana huyu ni bora kuliko Mbape aliye chukua akiwa na miaka 19yr? (Naomba nijibu hili swali).

Kwani goli linafungwa vipi, unaisifia end product,ila unashindwa kuisifia process iliyo tengeneza hiyo end product. Man City Halaand ni end product, ila processor yenyewe ni KDB na Rodri.

Ozil na Messi ni wachezaji wawili tofauti, Ozil mzuri kwenye kuassist, ila Messi ni mcezaji ambaye ana combination ya Play Making +Asssisting+Dribbling +Scoring even skills Messi ni bora zaidi mbele ya Ozil. Hayupo mchezaji ambaye anauwezo wakufanya vitu zaidi ya vienne kwa ufanisi zaidi kama Messi hayupo au unaweza nitajia kama unamjua.

PSG 22/23 ana goli 16 na assists 16 kwenye ligi na ana goli 4 assist 4 kwenye UEFA na ametengeneza chance 189.

World Cup ana goli 2022 ana goli 7 assist 3 huku akitengeneza chance 18.

Haya ziweke za Halaand kuanzia kwenye club yake na timu yake ya taifa,hata tu zile za kufuzu World Cup 22 ya Quatar.

Huwezi fananisha mchezaji mwenye uwezo wa kufanya zaidi ya mambo manne uwanjani na anayefanya jambo moja.
Chances created?????? Tangia lini hiko kimekuwa kigezo? Hizi tuzo huwa zinaenda mara nyingi kwa washambuliaji tangia zama za Ronaldo -Messi era ianze. Na factor kubwa ni goal contribution tu, sasa ww hiyo chances created imetokea wapi????

Halaand ana namba kubwa kuliko mchezaji yyte yule kwenye club level, udogo(udhaifu) wa taifa lake ndio sbb yy kutokuwa bora katika national level. Huyo Messi miaka nenda rudi Argentina wana watu ila mafanikio at national level kayapata uzeeni, nimemtolea mfano Mbappe ambapo taila la Ufaransa halina utofauti na Argentina ki quality, lkn Mbappe katika umri mdogo ana mafanikio makubwa katika national level kuliko ata Messi yaani katika miaka 10 ijayo Mbappe atakuwa mbali kuliko Messi.

Lkn sbb kubwa ni ukubwa wa timu zao France na Argentina, na Mabppe kafanya mambo makubwa katika national level kuliko Messi.

Haaland ana PFA na Uefa player of the Year, ww mwenyewe chambua hizo tuzo zinatolewa kwa vigezo gani? Psg mchezaji wao bora msimu uliopita au mchezaji bora wa ligi ya Ufaransa ni Mbappe sasa ww mafanikio ya level katika club level ni yapi wakati ata kwenye club yake hakuwa mchezaji bora.
 
Kwani mchezaji kuchukua kombe la dunia ktk umri mdogo ndio kuna mfanya kuwa bora?

Huyu Giuseppe Bergomi mchezaji wa Italia alichukua kombe 1982 akiwa na miaka 18,ina mana huyu ni bora kuliko Mbape aliye chukua akiwa na miaka 19yr? (Naomba nijibu hili swali).

Kwani goli linafungwa vipi, unaisifia end product,ila unashindwa kuisifia process iliyo tengeneza hiyo end product. Man City Halaand ni end product, ila processor yenyewe ni KDB na Rodri.

Ozil na Messi ni wachezaji wawili tofauti, Ozil mzuri kwenye kuassist, ila Messi ni mcezaji ambaye ana combination ya Play Making +Asssisting+Dribbling +Scoring even skills Messi ni bora zaidi mbele ya Ozil. Hayupo mchezaji ambaye anauwezo wakufanya vitu zaidi ya vienne kwa ufanisi zaidi kama Messi hayupo au unaweza nitajia kama unamjua.

PSG 22/23 ana goli 16 na assists 16 kwenye ligi na ana goli 4 assist 4 kwenye UEFA na ametengeneza chance 189.

World Cup ana goli 2022 ana goli 7 assist 3 huku akitengeneza chance 18.

Haya ziweke za Halaand kuanzia kwenye club yake na timu yake ya taifa,hata tu zile za kufuzu World Cup 22 ya Quatar.

Huwezi fananisha mchezaji mwenye uwezo wa kufanya zaidi ya mambo manne uwanjani na anayefanya jambo moja.

Hili swali bado hujajubu kabisa.

"Okay kama kombe la dunia ni mwezi mmoja,why Halaand timu ya taifa lake haikushiriki kombe la dunia? Au ilijitoa na kukataa kushiriki?"
Kwanza ujue kitu hiyo tuzo inatolewa kwa mchezaji aliyefanya vzr zaidi kwa muhula husika na sio nani ana skills wala combination plays.

Messi amekuwa bora kwenye national level World Cup tu ambayo ni michuano ya mwezi mmoja tu, so Messi alikuwa bora kwa mwezi mmoja tu ila haaland alikuwa bora kwa mwaka wote takriban miezi 12. Kwenye club level hakuna kiumbe kinamfikia Haaland kwa accolades, Haaland ana PFA na UEFA Player of the year hizo tuzo mbili zinamaliza mijadala yote katika club level yaani ndio tuzo kubwa hizo + ugumu wa EPL na pia alikuwa key factor katika kuipa City mafanikio makubwa kwa vile magoli yake yameipa City Points nyingi sana.

Kwa Messi, club level hajafanya vzr maana ata huko psg na Ufaransa hakuwa mchezaji bora, mchezaji bora alikuwa Mbappe. Messi kakosa mechi nyingi za psg kwa matukio tofauti km utovu wa nidhamu yaani kwa kifupi Messi hakuwa key player kwa psg.

Haaland kutoshiriki World Cup ni udogo wa taifa lake na ndio maana nimetolea mfano Mbappe ukubwa wa taifa lake umechangia yy kupata mafanikio ata national level kwa ukubwa kuliko ata Messi.

Sasa iweje umpe mtu tuzo kwa ubora wa mwezi mmoja tu wakati kuna mtu kawa bora kwa mwaka wote.
 
Kwanza ujue kitu hiyo tuzo inatolewa kwa mchezaji aliyefanya vzr zaidi kwa muhula husika na sio nani ana skills wala combination plays.

Messi amekuwa bora kwenye national level World Cup tu ambayo ni michuano ya mwezi mmoja tu, so Messi alikuwa bora kwa mwezi mmoja tu ila haaland alikuwa bora kwa mwaka wote takriban miezi 12. Kwenye club level hakuna kiumbe kinamfikia Haaland kwa accolades, Haaland ana PFA na UEFA Player of the year hizo tuzo mbili zinamaliza mijadala yote katika club level yaani ndio tuzo kubwa hizo + ugumu wa EPL na pia alikuwa key factor katika kuipa City mafanikio makubwa kwa vile magoli yake yameipa City Points nyingi sana.

Kwa Messi, club level hajafanya vzr maana ata huko psg na Ufaransa hakuwa mchezaji bora, mchezaji bora alikuwa Mbappe. Messi kakosa mechi nyingi za psg kwa matukio tofauti km utovu wa nidhamu yaani kwa kifupi Messi hakuwa key player kwa psg.

Haaland kutoshiriki World Cup ni udogo wa taifa lake na ndio maana nimetolea mfano Mbappe ukubwa wa taifa lake umechangia yy kupata mafanikio ata national level kwa ukubwa kuliko ata Messi.

Sasa iweje umpe mtu tuzo kwa ubora wa mwezi mmoja tu wakati kuna mtu kawa bora kwa mwaka wote.
UMEMALIZA KILA KITU MKUU....sio fair kabisa hii inanikumbusha kipindi flani Robert lewandoski naye alifanya vzr na alistahili tuzo ila akabaniwa.......kwahy Kama sio kombe la dunia bado Messi angepewa tuzo????

Binafsi Mimi sijawahi elewa Hivi vigezo mtu kupewa balloon d'or......Kama kigezo world VP kuhusu JULIAN ALVAREZ??????
 
Chances created?????? Tangia lini hiko kimekuwa kigezo? Hizi tuzo huwa zinaenda mara nyingi kwa washambuliaji tangia zama za Ronaldo -Messi era ianze. Na factor kubwa ni goal contribution tu, sasa ww hiyo chances created imetokea wapi????

Halaand ana namba kubwa kuliko mchezaji yyte yule kwenye club level, udogo(udhaifu) wa taifa lake ndio sbb yy kutokuwa bora katika national level. Huyo Messi miaka nenda rudi Argentina wana watu ila mafanikio at national level kayapata uzeeni, nimemtolea mfano Mbappe ambapo taila la Ufaransa halina utofauti na Argentina ki quality, lkn Mbappe katika umri mdogo ana mafanikio makubwa katika national level kuliko ata Messi yaani katika miaka 10 ijayo Mbappe atakuwa mbali kuliko Messi.

Lkn sbb kubwa ni ukubwa wa timu zao France na Argentina, na Mabppe kafanya mambo makubwa katika national level kuliko Messi.

Haaland ana PFA na Uefa player of the Year, ww mwenyewe chambua hizo tuzo zinatolewa kwa vigezo gani? Psg mchezaji wao bora msimu uliopita au mchezaji bora wa ligi ya Ufaransa ni Mbappe sasa ww mafanikio ya level katika club level ni yapi wakati ata kwenye club yake hakuwa mchezaji bora.
Wewee vp naona umeanza kubagua statistics, wewe unafikiri KDB,Ozil,Zidane, Odegard, Bruno wale ubora wao unapimwa na kitu gani? au ww mpira utakuwa umeujulia juzi........... na kama hujui Messi tokea aanze kucheza ktk wachezaji walio create chance nyingi Messi yupo kwenye tatu bora na hajawahi kushuka.

Ww jamaa kweli hujielewi,sasa hapa ndio umeandika nini.....

"Lkn sbb kubwa ni ukubwa wa timu zao France na Argentina, na Mabppe kafanya mambo makubwa katika national level kuliko Messi."

Messi ni mchezaji bora wa shindano la WC mara mbili,mchezaji bora wa michuano ya Copa America mara mbili ana medali ya kombe la dunia na Copa America.

Haya Mbappe lini kawa mchezaji bora wa kombe la dunia?

Lini kawa mchezaji bora wa Michuano ya Euro?

Lini kachukua medali ya Euro?

Ww hujihelewi una kurupuka.

Sasa kwa kuwa Mbappe kachukua mchezaji bora wa ligi,hao wengine ina maana walikuwa hawafai.

UMETAKA STATS BINAFSI ZA MESSI NIMEKUWEKEA,NAOMBA NIWEKEE ZA HALAAND HAPA NIZIONE KUANZIA CLUB MPAKA TIMU YA TAIFA.

Ww hujihelewi.

Mbape kumfikia MESSI sahahu ktk umri wa Mbape Messi tayari ana Ballon Dor tatu,yy mpaka sasa hana hata Ballon Dor.

Messi kashinda kombe la dunia kwa vijana U-20 2005 akashinda golden ball na Golden Shoe na medali.

Mbape ana miaka 24,sasa weka vitu alivyo achieve Mbappe mpaka sasa na alivyo achieve Messi kipindi alipo fikisha miaka 24,then utajiona unavyo puyanga eti Messi mafanikio kayapata uzeeni, unachekesha ww Messi alishamaliza kila kitu alibakiza medali ya kombe la dunia tu basi ,il fainal ya kombe la dunia kishaingia mara mbili na zote kachukua mchezaji bora wa mashindano.

HEBU SASA HIVI NAOMBA TUONGEE KWA STATISTICS, hisia na mapenzi weka pembeni.

STATISTICS, STATISTICS, STATISTICS, STATISTICS ziongee na sio chai zako hizi.
 
Kwanza ujue kitu hiyo tuzo inatolewa kwa mchezaji aliyefanya vzr zaidi kwa muhula husika na sio nani ana skills wala combination plays.

Messi amekuwa bora kwenye national level World Cup tu ambayo ni michuano ya mwezi mmoja tu, so Messi alikuwa bora kwa mwezi mmoja tu ila haaland alikuwa bora kwa mwaka wote takriban miezi 12. Kwenye club level hakuna kiumbe kinamfikia Haaland kwa accolades, Haaland ana PFA na UEFA Player of the year hizo tuzo mbili zinamaliza mijadala yote katika club level yaani ndio tuzo kubwa hizo + ugumu wa EPL na pia alikuwa key factor katika kuipa City mafanikio makubwa kwa vile magoli yake yameipa City Points nyingi sana.

Kwa Messi, club level hajafanya vzr maana ata huko psg na Ufaransa hakuwa mchezaji bora, mchezaji bora alikuwa Mbappe. Messi kakosa mechi nyingi za psg kwa matukio tofauti km utovu wa nidhamu yaani kwa kifupi Messi hakuwa key player kwa psg.

Haaland kutoshiriki World Cup ni udogo wa taifa lake na ndio maana nimetolea mfano Mbappe ukubwa wa taifa lake umechangia yy kupata mafanikio ata national level kwa ukubwa kuliko ata Messi.

Sasa iweje umpe mtu tuzo kwa ubora wa mwezi mmoja tu wakati kuna mtu kawa bora kwa mwaka wote.
Kwa hiyo Messi alicheza mwezi mmoja,ilmiezi mengine alikiwa hachezi ,timu yake ya taifa ilifuzu vipi kombe la dunia? Kizo assist 20 na magoli 20 PSG aliyapata vipi?

Kombe la dunia ni mchakato na si tukio la mwezi mmoja.Hebu nitajie key players wa PSG kwa kuangalia STATISTICS zao hebu jaribu kutenganisha hisia na namba,tuongee kwa numbers.
 
Taja accolades za Alvarez club level na national level na pia taja mafanikio ya Messi psg na mchango wake akiwa psg hili tujue nani kaibeba psg kati ya Messi na mbappe. Note Haaland ni PFA na UEFA player of the Year...... hizo tuzo mbili tu katika club level hakuna mwanasoka yyte yule anamfikia kwa...... leteni hoja zenu
Haaland

[emoji838] 53 Apps
[emoji460]️ 52 Goals
[emoji2402] 9 Assists
[emoji471] FWA Footballer of the Year
[emoji471] PL Golden Boot
[emoji471] PL Player of the Season
[emoji471] PL Young Player of the Season
[emoji471] UCL Team of the Season
[emoji471] UCL Forward of the Season
[emoji471] UCL Top Scorer
[emoji471] FIFA FIFPRO World 11
[emoji471] IFFHS Men's World Team
[emoji471] Man City Player of the Season
[emoji471] PFA Team of the Year
[emoji471] PFA Players' Player of the Year
[emoji471] UEFA Men's Player of the Year

Messi


[emoji153]58 games
[emoji460]️45 goals
[emoji2402]26 assists
[emoji471]World Cup
[emoji471]Ligue 1
[emoji471]French Super Cup
[emoji2422]World cup Golden ball
[emoji3067]Scored 2 goals in world cup final
[emoji3067][emoji2402]Scored and Assisted in world cup semi final
[emoji2422]MOTM in world cup final
[emoji2422]Scored in French Super cup
[emoji2422]MOTM in French Super cup
[emoji2422]Fifa the best
[emoji2422]Laurens
[emoji2422]World Cup top Assister
[emoji2422]World Cup Silver boot
[emoji2422]IFFHS World's Best Player
[emoji2422]IFFHS World's Best Playmaker
[emoji2422]IFFHS World's Best International Goal Scorer
[emoji2422]6 Free kick goals
[emoji2422]15+ outside the box goals
 
In a simple way
20231019_120400.jpg
 
Wewee vp naona umeanza kubagua statistics, wewe unafikiri KDB,Ozil,Zidane, Odegard, Bruno wale ubora wao unapimwa na kitu gani? au ww mpira utakuwa umeujulia juzi........... na kama hujui Messi tokea aanze kucheza ktk wachezaji walio create chance nyingi Messi yupo kwenye tatu bora na hajawahi kushuka.

Ww jamaa kweli hujielewi,sasa hapa ndio umeandika nini.....

"Lkn sbb kubwa ni ukubwa wa timu zao France na Argentina, na Mabppe kafanya mambo makubwa katika national level kuliko Messi."

Messi ni mchezaji bora wa shindano la WC mara mbili,mchezaji bora wa michuano ya Copa America mara mbili ana medali ya kombe la dunia na Copa America.

Haya Mbappe lini kawa mchezaji bora wa kombe la dunia?

Lini kawa mchezaji bora wa Michuano ya Euro?

Lini kachukua medali ya Euro?

Ww hujihelewi una kurupuka.

Sasa kwa kuwa Mbappe kachukua mchezaji bora wa ligi,hao wengine ina maana walikuwa hawafai.

UMETAKA STATS BINAFSI ZA MESSI NIMEKUWEKEA,NAOMBA NIWEKEE ZA HALAAND HAPA NIZIONE KUANZIA CLUB MPAKA TIMU YA TAIFA.

Ww hujihelewi.

Mbape kumfikia MESSI sahahu ktk umri wa Mbape Messi tayari ana Ballon Dor tatu,yy mpaka sasa hana hata Ballon Dor.

Messi kashinda kombe la dunia kwa vijana U-20 2005 akashinda golden ball na Golden Shoe na medali.

Mbape ana miaka 24,sasa weka vitu alivyo achieve Mbappe mpaka sasa na alivyo achieve Messi kipindi alipo fikisha miaka 24,then utajiona unavyo puyanga eti Messi mafanikio kayapata uzeeni, unachekesha ww Messi alishamaliza kila kitu alibakiza medali ya kombe la dunia tu basi ,il fainal ya kombe la dunia kishaingia mara mbili na zote kachukua mchezaji bora wa mashindano.

HEBU SASA HIVI NAOMBA TUONGEE KWA STATISTICS, hisia na mapenzi weka pembeni.

STATISTICS, STATISTICS, STATISTICS, STATISTICS ziongee na sio chai zako hizi.
Ww lini Messi kashinda kombe la dunia u 20 mpira huu au mpira wako. Messi alichukua medali ya Olympic na sio michuano ya u20.

Nimekwambia tuzo za Haaland club level, taja tuzo kubwa kuliko hizo tuzo za Haaland za PFA na UEFA player of the year hizi tuzo zinatolewa kwa stats, sasa ww unaleta et chances created hv mzima kweli ww? Chances created De bruyne si angekuwa kila siku kwenye top 3 ya tuzo za dunia. Huyo de bryune tu hajawahi kuchukua PFA na hizo chances created zake hapo epl.

Anayofanya mbappe kila edition ya kombe la dunia ana uwezekano wa kubeba kombe yaani unabisha vitu ata huvijui, mbappe kaibeba ufaransa kwa mafanikio makubwa kuliko ata Messi kwenye world Cup.

Ww fafanua tuzo za haaland zinapatikana vp hizo PFA na UEFA et unaleta habari za chances created
 
Ukiangalia hapo mafanikio ya Messi ni kwenye kombe la dunia tu huko psg hakuwa key player si yeye aliyeibeba psg na ndio maana hana tuzo binafsi kwenye club level tofauti na wenzake. Messi ameibukia kwenye World Cup basi michuano yenye mechi 8 ndani ya mwezi 1 hao mbappe na haaland wamekiwasha mwaka mzima
 
Messi is clear of all mfs.. Haaland kafanya vizuri sana ila Messi anakuja kumzidi kwenye individual achievements kama ni mataji makubwa kila mmoja amewin hata kina Alvareź.
Tatizo wacha-MBUZI uchwara wa humu JF ni Messi haters (Ronaldo Fans) mnatafuta furaha kwa mgongo wa Haaland
 
Wewee vp naona umeanza kubagua statistics, wewe unafikiri KDB,Ozil,Zidane, Odegard, Bruno wale ubora wao unapimwa na kitu gani? au ww mpira utakuwa umeujulia juzi........... na kama hujui Messi tokea aanze kucheza ktk wachezaji walio create chance nyingi Messi yupo kwenye tatu bora na hajawahi kushuka.

Ww jamaa kweli hujielewi,sasa hapa ndio umeandika nini.....

"Lkn sbb kubwa ni ukubwa wa timu zao France na Argentina, na Mabppe kafanya mambo makubwa katika national level kuliko Messi."

Messi ni mchezaji bora wa shindano la WC mara mbili,mchezaji bora wa michuano ya Copa America mara mbili ana medali ya kombe la dunia na Copa America.

Haya Mbappe lini kawa mchezaji bora wa kombe la dunia?

Lini kawa mchezaji bora wa Michuano ya Euro?

Lini kachukua medali ya Euro?

Ww hujihelewi una kurupuka.

Sasa kwa kuwa Mbappe kachukua mchezaji bora wa ligi,hao wengine ina maana walikuwa hawafai.

UMETAKA STATS BINAFSI ZA MESSI NIMEKUWEKEA,NAOMBA NIWEKEE ZA HALAAND HAPA NIZIONE KUANZIA CLUB MPAKA TIMU YA TAIFA.

Ww hujihelewi.

Mbape kumfikia MESSI sahahu ktk umri wa Mbape Messi tayari ana Ballon Dor tatu,yy mpaka sasa hana hata Ballon Dor.

Messi kashinda kombe la dunia kwa vijana U-20 2005 akashinda golden ball na Golden Shoe na medali.

Mbape ana miaka 24,sasa weka vitu alivyo achieve Mbappe mpaka sasa na alivyo achieve Messi kipindi alipo fikisha miaka 24,then utajiona unavyo puyanga eti Messi mafanikio kayapata uzeeni, unachekesha ww Messi alishamaliza kila kitu alibakiza medali ya kombe la dunia tu basi ,il fainal ya kombe la dunia kishaingia mara mbili na zote kachukua mchezaji bora wa mashindano.

HEBU SASA HIVI NAOMBA TUONGEE KWA STATISTICS, hisia na mapenzi weka pembeni.

STATISTICS, STATISTICS, STATISTICS, STATISTICS ziongee na sio chai zako hizi.
Em www tuambie lini chances created zimetumika kwenye kutoa tuzo ya mwanasoka bora wa dunia? De bryune tu na hizo chances created zake hajawahi kuwa mwanasoka bora wa ligi ya Epl na ndiye huwa anaongoza kwa misimu mingi
 
Ukiangalia hapo mafanikio ya Messi ni kwenye kombe la dunia tu huko psg hakuwa key player si yeye aliyeibeba psg na ndio maana hana tuzo binafsi kwenye club level tofauti na wenzake. Messi ameibukia kwenye World Cup basi michuano yenye mechi 8 ndani ya mwezi 1 hao mbappe na haaland wamekiwasha mwaka mzima
Tunaangalia mafanikio bro hatuangalii kayapata wapi.. btw WC ni major Tournament kuliko hiyo league1.
Alafu nakukumbusha kuwa Messi anayo stats nzuri sana tu kwenye league one[emoji1] kama itakupendeza sema nizilete
 
Messi is clear of all mfs.. Haaland kafanya vizuri sana ila Messi anakuja kumzidi kwenye individual achievements kama ni mataji makubwa kila mmoja amewin hata kina Alvareź.
Tatizo wacha-MBUZI uchwara wa humu JF ni Messi haters (Ronaldo Fans) mnatafuta furaha kwa mgongo wa Haaland
Hizo individual awards za Messi ni baada ya kombe la dunia, taja individual awards za Messi kwenye club level akiwa psg
 
Tunaangalia mafanikio bro hatuangalii kayapata wapi.. btw WC ni major Tournament kuliko hiyo league1.
Alafu nakukumbusha kuwa Messi anayo stats nzuri sana tu kwenye league one[emoji1] kama itakupendeza sema nizilete
Yaani uwe na stats nzuri kwenye ligi alaf mchexaji bora wa ligi awe mwingine bro kuwa serious basi
 
Chances created?????? Tangia lini hiko kimekuwa kigezo? Hizi tuzo huwa zinaenda mara nyingi kwa washambuliaji tangia zama za Ronaldo -Messi era ianze. Na factor kubwa ni goal contribution tu, sasa ww hiyo chances created imetokea wapi????

Halaand ana namba kubwa kuliko mchezaji yyte yule kwenye club level, udogo(udhaifu) wa taifa lake ndio sbb yy kutokuwa bora katika national level. Huyo Messi miaka nenda rudi Argentina wana watu ila mafanikio at national level kayapata uzeeni, nimemtolea mfano Mbappe ambapo taila la Ufaransa halina utofauti na Argentina ki quality, lkn Mbappe katika umri mdogo ana mafanikio makubwa katika national level kuliko ata Messi yaani katika miaka 10 ijayo Mbappe atakuwa mbali kuliko Messi.

Lkn sbb kubwa ni ukubwa wa timu zao France na Argentina, na Mabppe kafanya mambo makubwa katika national level kuliko Messi.

Haaland ana PFA na Uefa player of the Year, ww mwenyewe chambua hizo tuzo zinatolewa kwa vigezo gani? Psg mchezaji wao bora msimu uliopita au mchezaji bora wa ligi ya Ufaransa ni Mbappe sasa ww mafanikio ya level katika club level ni yapi wakati ata kwenye club yake hakuwa mchezaji bora.

Are you serious? Mbappe amefanya makubwa Timu ya Ufaransa kuliko aliyofanya Messi Argentina??

[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Yaani uwe na stats nzuri kwenye ligi alaf mchexaji bora wa ligi awe mwingine bro kuwa serious basi
Kwani anaekuwa mchezaji bora wa league pekeake ndo tunaweza kusema ana stats nzuri? Yani unachomaanisha wewe ili tuseme mchezaji ana stats nzuri ni lazma ashinde mchezaji bora wa league? Daah kama hiyo ndo hoja yako basi itakua ngumu sana ku'argue na wewe
 
Wewee vp naona umeanza kubagua statistics, wewe unafikiri KDB,Ozil,Zidane, Odegard, Bruno wale ubora wao unapimwa na kitu gani? au ww mpira utakuwa umeujulia juzi........... na kama hujui Messi tokea aanze kucheza ktk wachezaji walio create chance nyingi Messi yupo kwenye tatu bora na hajawahi kushuka.

Ww jamaa kweli hujielewi,sasa hapa ndio umeandika nini.....

"Lkn sbb kubwa ni ukubwa wa timu zao France na Argentina, na Mabppe kafanya mambo makubwa katika national level kuliko Messi."

Messi ni mchezaji bora wa shindano la WC mara mbili,mchezaji bora wa michuano ya Copa America mara mbili ana medali ya kombe la dunia na Copa America.

Haya Mbappe lini kawa mchezaji bora wa kombe la dunia?

Lini kawa mchezaji bora wa Michuano ya Euro?

Lini kachukua medali ya Euro?

Ww hujihelewi una kurupuka.

Sasa kwa kuwa Mbappe kachukua mchezaji bora wa ligi,hao wengine ina maana walikuwa hawafai.

UMETAKA STATS BINAFSI ZA MESSI NIMEKUWEKEA,NAOMBA NIWEKEE ZA HALAAND HAPA NIZIONE KUANZIA CLUB MPAKA TIMU YA TAIFA.

Ww hujihelewi.

Mbape kumfikia MESSI sahahu ktk umri wa Mbape Messi tayari ana Ballon Dor tatu,yy mpaka sasa hana hata Ballon Dor.

Messi kashinda kombe la dunia kwa vijana U-20 2005 akashinda golden ball na Golden Shoe na medali.

Mbape ana miaka 24,sasa weka vitu alivyo achieve Mbappe mpaka sasa na alivyo achieve Messi kipindi alipo fikisha miaka 24,then utajiona unavyo puyanga eti Messi mafanikio kayapata uzeeni, unachekesha ww Messi alishamaliza kila kitu alibakiza medali ya kombe la dunia tu basi ,il fainal ya kombe la dunia kishaingia mara mbili na zote kachukua mchezaji bora wa mashindano.

HEBU SASA HIVI NAOMBA TUONGEE KWA STATISTICS, hisia na mapenzi weka pembeni.

STATISTICS, STATISTICS, STATISTICS, STATISTICS ziongee na sio chai zako hizi.

Nimeshangaa sana kuona anamfananisha Mbappe na Messi kwenye National Level

Messi ana gold medal ya Olympic
Messi ana coppa america
Messia ana finalisma
Messia ana worldcup

Ukitoka WC, Mbappe ananini cha ziada? Mashabiki wa Ronaldo wanamatatizo sana
 
Nimeshangaa sana kuona anamfananisha Mbappe na Messi kwenye National Level

Messi ana gold medal ya Olympic
Messi ana coppa america
Messia ana finalisma
Messia ana worldcup

Ukitoka WC, Mbappe ananini cha ziada? Mashabiki wa Ronaldo wanamatatizo sana
Bro mashabiki wa Ronaldo wamechanganyikiwa imefika hatua wanaforce Opinions kuwa Fact.
 
Back
Top Bottom