Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Kayaangalie kagoogle mbona ana stats nzuri sana, anamzidi Haaland kwa goal contributions mwaka mzima.
Haaland magoli yake yameipa ubingwa wa ligi kuu na uefa na kote huko yy ni top scorer .... yaani simply amekuwa bora kwa zaidi ya miezi 12 ss tumpe mtu tuzo kwa ubora wa mwezi 1 tu maana pale psg Mbappe ndiye kaibeba timu kuliko mtu yyte yaani Mbappe ndio alikuwa key player kuliko Messi au Neymar
 
Haaland magoli yake yameipa ubingwa wa ligi kuu na uefa na kote huko yy ni top scorer .... yaani simply amekuwa bora kwa zaidi ya miezi 12 ss tumpe mtu tuzo kwa ubora wa mwezi 1 tu maana pale psg Mbappe ndiye kaibeba timu kuliko mtu yyte yaani Mbappe ndio alikuwa key player kuliko Messi au Neymar
Haaland nusu fainali na fainali yenyewe hajawa game changer, hatukatai huko nyuma alifanya mambo makubwa ila hakuwa decisive game mbili za muhimu kwa City. Messi World Cup game zote kawasha moto .
 
World Cup mechi ngapi?????? Epl na uefa mechi ngapi??????
Kwan Messi alikuwa Man of the match katika mechi ngapi WC? na nani aliongoza kuchukua tuzo nyingi za man of the match......?

Nani aliongoza kwa kutengeneza nafasi nyingi WC?

Nani aliongoza kwa assists WC ?

Messi alikiwa na magoli mangapi WC?

Huwezi mfananisha mchezaji ambaye ni amaprove kuwa mzuri kwenye play making +Assisting+Chance creaters+Scoring+Dribbling na mchezaji ambaye yy anasifa moja ya kufunga tuu.

Kwa Man City mchezaji bora ambaye aliibeba timu wa kwanza ni KDB,wapili Rodri na watatu Halaand.

Halafu kumbuka hii tuzo ni ya FIFA na WC ni mashindano yaliyo chini ya FIFA.
 
Nimecheki Jana wakicheza na Peru,Messi Bado mwiba....anatembea kufunga goal kwake ni kitu rahisi sanaaa. Messi mkali,Halland mechi ngumu anazimika eg.Fainal ya CL, Arsenal tena saivi namuona kukosekana De breyn fundi inamuasi lol I Hlnd
 
Nimecheki Jana wakicheza na Peru,Messi Bado mwiba....anatembea kufunga goal kwake ni kitu rahisi sanaaa. Messi mkali,Halland mechi ngumu anazimika eg.Fainal ya CL, Arsenal tena saivi namuona kukosekana De breyn fundi inamuasi lol I Hlnd

Messi anastaafu na utamu wake, kumfananisha Messia na Haaland au Ronaldo ni dharau sana.
 
Kwan Messi alikuwa Man of the match katika mechi ngapi WC? na nani aliongoza kuchukua tuzo nyingi za man of the match......?

Nani aliongoza kwa kutengeneza nafasi nyingi WC?

Nani aliongoza kwa assists WC ?

Messi alikiwa na magoli mangapi WC?

Huwezi mfananisha mchezaji ambaye ni amaprove kuwa mzuri kwenye play making +Assisting+Chance creaters+Scoring+Dribbling na mchezaji ambaye yy anasifa moja ya kufunga tuu.

Kwa Man City mchezaji bora ambaye aliibeba timu wa kwanza ni KDB,wapili Rodri na watatu Halaand.

Halafu kumbuka hii tuzo ni ya FIFA na WC ni mashindano yaliyo chini ya FIFA.
Mchezaji aliyeipa man city point nyingi ni nani????? Mchezaji gani ameifikisha city fainali uefa?????? Hii tuzo kwa ajili ya mchezaji aliyefanikiwa zaidi katika mwaka husika na kuwa bora kuliko wenzake. Messi amekuwa bora kwenye michuano ya kombe la dunia tu, michuano ambayo inachukua mwezi mmoja tu. Kwa hiyo Messi alikuwa bora kwa mwezi mmoja tu ila haaland alikuwa bora kwa mwaka wote husika na kwa kiwango cha juu zaidi
 
Messi bado ni bora kwenye kila kitu hiyo Ballon de 0 ni yake. Haaland mechi ngumu anachemka.
 
Hizi ni takwimu za Lionel Messi na Haaland kwa msimu uliopita ambapo mmoja wao ataibuka mshindi wa tuzo za Ballon D’or hapo October 30 mwaka huu.
View attachment 2742095

Ungekuwa unapiga kura, kwa takwimu hizo hapo juu ungempa nani kura yako?
Kwa takwimu hizo na nikitumia kigezo cha Chances Created ambacho ndio kinadhihirisha ubora wa mchezaji mhusika moja kwa moja bila kusita ningempa Halaand
 
Mchezaji aliyeipa man city point nyingi ni nani????? Mchezaji gani ameifikisha city fainali uefa?????? Hii tuzo kwa ajili ya mchezaji aliyefanikiwa zaidi katika mwaka husika na kuwa bora kuliko wenzake. Messi amekuwa bora kwenye michuano ya kombe la dunia tu, michuano ambayo inachukua mwezi mmoja tu. Kwa hiyo Messi alikuwa bora kwa mwezi mmoja tu ila haaland alikuwa bora kwa mwaka wote husika na kwa kiwango cha juu zaidi
Huyo Haland alifanya nini mechi ya Nusu fainali? Halaand hana uwezo wa kuamua mechi, ila KDB uwezo huo anao. City wachezaji walio ifikisha fainali ni wawili Rodri na KDB.

Halafu kombe la dunia ni mchakato wa mda mrefu kabla event yenyewe ya mwezi mmoja.

Okay kama kombe la dunia ni mwezi mmoja,why Halaand timu ya taifa lake haikushiriki kombe la dunia? Au ilijitoa na kukataa kushiriki?
 
Huyo Haland alifanya nini mechi ya Nusu fainali? Halaand hana uwezo wa kuamua mechi, ila KDB uwezo huo anao. City wachezaji walio ifikisha fainali ni wawili Rodri na KDB.

Halafu kombe la dunia ni mchakato wa mda mrefu kabla event yenyewe ya mwezi mmoja.

Okay kama kombe la dunia ni mwezi mmoja,why Halaand timu ya taifa lake haikushiriki kombe la dunia? Au ilijitoa na kukataa kushiriki?
Hilo swali lako la kwann Norway haikushiriki World Cup siwez na mm naweza kukuuliza mbona mbappe ana World Cup ktk umri mdogo kuliko Messi na kila mwaka wa World Cup anakuwa na wastani wa kushinda.

Ww kuna vitu havielewi khsu mpira, nijibu hili swali kati kdb, Rodri na haaland, nani kaipa points nyingi City? Magoli ndio yanatoa timu nafasi moja kwenda nyingine na sio assist na ndio maana ktk wachezaji hao wote uliowataja haaland ndio mchezaji ghali zaidi duniani nyuma ya Mbappe, kwann? Kazi ya kuweka mpira nyanvuni si kazi rahisi na ndio maana akitokea striker anafanya hivyo anakuwa na thamani kubwa kuliko mchezaji mwingine yyte yule.

Ww unauliza khsu mechi ya fainali, ila haaland magoli yake ndio yameifikisha city fainali ya uefa na kubeba ndoo kwann? Magoli yalikuwa na thamani sana.

Nikuulize swali, Ozil alikuwa anasifika kwa assist pale Spain kuliko kiumbe yyte yule lkn kwann Cristiano ndio alikuwa Shuja?
Huyo Messi psg msimu wake wa mwisho amefanya nn? Hakuwa ata mchezaji muhimu kwenye first 11
 
Hilo swali lako la kwann Norway haikushiriki World Cup siwez na mm naweza kukuuliza mbona mbappe ana World Cup ktk umri mdogo kuliko Messi na kila mwaka wa World Cup anakuwa na wastani wa kushinda.

Ww kuna vitu havielewi khsu mpira, nijibu hili swali kati kdb, Rodri na haaland, nani kaipa points nyingi City? Magoli ndio yanatoa timu nafasi moja kwenda nyingine na sio assist na ndio maana ktk wachezaji hao wote uliowataja haaland ndio mchezaji ghali zaidi duniani nyuma ya Mbappe, kwann? Kazi ya kuweka mpira nyanvuni si kazi rahisi na ndio maana akitokea striker anafanya hivyo anakuwa na thamani kubwa kuliko mchezaji mwingine yyte yule.

Ww unauliza khsu mechi ya fainali, ila haaland magoli yake ndio yameifikisha city fainali ya uefa na kubeba ndoo kwann? Magoli yalikuwa na thamani sana.

Nikuulize swali, Ozil alikuwa anasifika kwa assist pale Spain kuliko kiumbe yyte yule lkn kwann Cristiano ndio alikuwa Shuja?
Huyo Messi psg msimu wake wa mwisho amefanya nn? Hakuwa ata mchezaji muhimu kwenye first 11
Biased analysis
 
Watu wengi wanaompigia debe Haaland ni mashabiki wa Ronaldo wenye chuki na Messi.. Kiuhalisia Messi anadeserve Ballon D'or ya 8 kwa sababu ana achievements katika

-club level,
-National club level
-Has won many honours than Halaand
-Mchango wake umeonekana moja kwa moja kwenye kutwaa WC (Messi ameibeba team team haijambeba)

So, kama mtu ataamua kumshindanisha Haaland na Messi basi ni bora afikirie kwanza kumshindanisha Haaland na Julian Alvareź maana Alvareź anayo great achievements kuliko Haaland
 
Watu wengi wanaompigia debe Haaland ni mashabiki wa Ronaldo wenye chuki na Messi.. Kiuhalisia Messi anadeserve Ballon D'or ya 8 kwa sababu ana achievements katika

-club level,
-National club level
-Has won many honours than Halaand
-Mchango wake umeonekana moja kwa moja kwenye kutwaa WC (Messi ameibeba team team haijambeba)

So, kama mtu ataamua kumshindanisha Haaland na Messi basi ni bora afikirie kwanza kumshindanisha Haaland na Julian Alvareź maana Alvareź anayo great achievements kuliko Haaland
Taja accolades za Alvarez club level na national level na pia taja mafanikio ya Messi psg na mchango wake akiwa psg hili tujue nani kaibeba psg kati ya Messi na mbappe. Note Haaland ni PFA na UEFA player of the Year...... hizo tuzo mbili tu katika club level hakuna mwanasoka yyte yule anamfikia kwa...... leteni hoja zenu
 
Hilo swali lako la kwann Norway haikushiriki World Cup siwez na mm naweza kukuuliza mbona mbappe ana World Cup ktk umri mdogo kuliko Messi na kila mwaka wa World Cup anakuwa na wastani wa kushinda.

Ww kuna vitu havielewi khsu mpira, nijibu hili swali kati kdb, Rodri na haaland, nani kaipa points nyingi City? Magoli ndio yanatoa timu nafasi moja kwenda nyingine na sio assist na ndio maana ktk wachezaji hao wote uliowataja haaland ndio mchezaji ghali zaidi duniani nyuma ya Mbappe, kwann? Kazi ya kuweka mpira nyanvuni si kazi rahisi na ndio maana akitokea striker anafanya hivyo anakuwa na thamani kubwa kuliko mchezaji mwingine yyte yule.

Ww unauliza khsu mechi ya fainali, ila haaland magoli yake ndio yameifikisha city fainali ya uefa na kubeba ndoo kwann? Magoli yalikuwa na thamani sana.

Nikuulize swali, Ozil alikuwa anasifika kwa assist pale Spain kuliko kiumbe yyte yule lkn kwann Cristiano ndio alikuwa Shuja?
Huyo Messi psg msimu wake wa mwisho amefanya nn? Hakuwa ata mchezaji muhimu kwenye first 11
Kwani mchezaji kuchukua kombe la dunia ktk umri mdogo ndio kuna mfanya kuwa bora?

Huyu Giuseppe Bergomi mchezaji wa Italia alichukua kombe 1982 akiwa na miaka 18,ina mana huyu ni bora kuliko Mbape aliye chukua akiwa na miaka 19yr? (Naomba nijibu hili swali).

Kwani goli linafungwa vipi, unaisifia end product,ila unashindwa kuisifia process iliyo tengeneza hiyo end product. Man City Halaand ni end product, ila processor yenyewe ni KDB na Rodri.

Ozil na Messi ni wachezaji wawili tofauti, Ozil mzuri kwenye kuassist, ila Messi ni mcezaji ambaye ana combination ya Play Making +Asssisting+Dribbling +Scoring even skills Messi ni bora zaidi mbele ya Ozil. Hayupo mchezaji ambaye anauwezo wakufanya vitu zaidi ya vienne kwa ufanisi zaidi kama Messi hayupo au unaweza nitajia kama unamjua.

PSG 22/23 ana goli 16 na assists 16 kwenye ligi na ana goli 4 assist 4 kwenye UEFA na ametengeneza chance 189.

World Cup ana goli 2022 ana goli 7 assist 3 huku akitengeneza chance 18.

Haya ziweke za Halaand kuanzia kwenye club yake na timu yake ya taifa,hata tu zile za kufuzu World Cup 22 ya Quatar.

Huwezi fananisha mchezaji mwenye uwezo wa kufanya zaidi ya mambo manne uwanjani na anayefanya jambo moja.

Hili swali bado hujajubu kabisa.

"Okay kama kombe la dunia ni mwezi mmoja,why Halaand timu ya taifa lake haikushiriki kombe la dunia? Au ilijitoa na kukataa kushiriki?"
 
Back
Top Bottom