Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Hivi unaweza kunielewesha hapa unapinga nini na unaongelea nini ? Ebu soma majibu yako na maswali yangu mpaka hapa alafu uone hata kama wewe mwenyewe utajielewa....

Na unaongelea Gaucho ? Gaucho was an entertainer hio ndio trademark yake na alifanya hivyo ipasavyo na mwaka alioshinda alistahili; Point nayokupa kwa mwaka huu hawa primadonnas pamoja na huyu huko PSG walichofanya hakiendani na noti waliyokuwa wanapewa (kuzomewa kwao ikiwemo Messi haikuja kwa bahati mbaya) they shortchanged the Fans (na kwangu mimi hakuna voter wa maana kama shabiki anayetoa his hard earned cash(

Kwahiyo point yako nini? Kwamba Messi hastahili hii tuzo! Mashabiki wa ronaldo mnatabu sana, mahama hama, na mtahama sana mpaka mwenye mpira wake astaafu soka.

Binafsi, bado sijaona mchezaji wa kumlinganisha na Messi.

Na kama hastahili, basi weka stats zake na halland weka stats zake tulinganishe, na za dribbling n.k... acha maneno mengi lete hapa kila mtu aone
 
Kwahiyo point yako nini? Kwamba Messi hastahili hii tuzo! Mashabiki wa ronaldo mnatabu sana, mahama hama, na mtahama sana mpaka mwenye mpira wake astaafu soka.

Binafsi, bado sijaona mchezaji wa kumlinganisha na Messi.

Na kama hastahili, basi weka stats zake na halland weka stats zake tulinganishe, na za dribbling n.k... acha maneno mengi lete hapa kila mtu aone
Ehhh DRIBBLING tena
 
Mchuano ni mkali sana. Pamoja na kuwa namshabikia sana CR7 ila kura yangu nitampa Lionel Magic Messi. Haaland yupo vizuri, ila Messi yupo vizuri zaidi na kikubwa ni genius akiwa kwenye pitch!
Messi ndiyo yupo talented zaidi kuliko hao wapinzani wake, ila hizi tuzo zinaangalia mafanikio ya mchezaji katika mwaka husika, yaani mchezaji ame achieve nn? Na sio nani ana kipaji zaidi. Jibu ni kuwa Halland amepata mafanikio zaidi kuliko mwanasoka yyte yule kwa mwaka jana
 
5EA76AB7-CE9D-4FC6-8E3D-C7D47A1C6BA4.jpeg
 
Messi ndiyo yupo talented zaidi kuliko hao wapinzani wake, ila hizi tuzo zinaangalia mafanikio ya mchezaji katika mwaka husika, yaani mchezaji ame achieve nn? Na sio nani ana kipaji zaidi. Jibu ni kuwa Halland amepata mafanikio zaidi kuliko mwanasoka yyte yule kwa mwaka jana
So world cup sio mafanikio?
Finnalisima cup sio mafanikio?
 
Back
Top Bottom