Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Bila shaka wewe ni shabiki la Barcelona [emoji23]

Jude ni new global superstar kwenye miaka michache mbeleni atachuana vikali na akina Mbappe, Haaland na Vini kuwania matuzo makubwa.
Judging from the four Laliga matches sio?

Yes, mimi ni shabiki wa Barcelona, ila naoendelea facts kuliko hizi hype unazohangaika nazo wewe. Kwa hawa Young stars, Musiala anawazidi mbali sana. Sio Pedri, sio Gavi, sio Bellingham, wote anawazidi!

Kusema eti Bellingham apambane na Mbappe na Halaand, ni uongo mwingine. He has a long way to go. Tunaongelea watu ambao wameonyesha world class performance kwa misimu kadhaa sasa, sio huyu aliyeng'aa kwenye mechi nne!
 
Hizo siyo facts bali ni mawazo binafsi ya Griezmann. Facts hutoka kwenye data!! Football is all about scouring goals and not otherwise!! It is not about acrobatics or dancing!! Scoring a goal brings someone to soccer orgasm!! The only person who tops both International goals and Club league goals under the sun is CR7!! 123 International goals, 887 Club goals. Anawazidi wenzake kwa mbali!!! Those are the facts which cannot be disputed by any sane person!!
Hujawahi kuongea cha maana hapa JF.
 
Laiti kama Haaland angelikuwa ni mchezaji wa Man United au Real Madrid, laiti kama Haaland angeyafanya mambo aliyoyafanya msimu uliopita akiwa katika uzi wa Real Madrid au Man United. Sura ya huu uzi ingekuwa tofauti kabisa.
Hii ndio gharama au shida ambayo wachezaji wote wazuri waliopitia Man City wamekuwa wakikutana nayo, hiyo ni kuanzia kwa Aguero, David Silva, De Bruyne na sasa ni zamu ya Haaland.
Tusubiri Messi astaafu huenda wakaja wengine wa kushindanishwa ila hata sasa ameshatoka ulaya, bila shaka kijiti atakibeba mwingine.

Messi ni kitu kingine, hakuna wa kuweza kumpambanisha nae zama hizi.
 
Tusubiri Messi astaafu huenda wengine wakaja wengine wa kushindanishwa ila hata sasa ameshatoka ulaya, bila shaka kijiti atakibeba mwingine.

Messi ni kitu kingine, hakuna wa kuweza kumpambanisha nae zama hizi.
Kwani mwaka aliochukua Modric au Benzema, Messi alihamia sayari ya Mars!?
Nakubali sana uwezo wa Messi, ila napinga kusema Haaland hastahili kushinda Ballon d'or ya mwaka huu kisa tu anagombea hiyo tuzo na Messi, mafanikio binafsi ya mchezaji na timu yake hayamnyimi Haaland Ballon d'or, Haaland anakosa hii tuzo kwasababu ya ushawishi dhaifu wa timu yake. Haaland angekuwa mchezaji wa Real Madrid/Barcelona/Man Utd, Messi asingechukua Ballon d'Or ya mwaka huu.
Kuna baadhi ya timu ukichezea ni rahisi kushinda tuzo ya Ballon d'or, ndio maana hata wadau wa soka wanamshauri Mbappe aachane na PSG ili angalau aweze kuwa na nafasi ya kushinda tuzo ya Ballon d'Or huko siku za mbele.
 
Kwani mwaka aliochukua Modric au Benzema, Messi alihamia sayari ya Mars!?
Nakubali sana uwezo wa Messi, ila napinga kusema Haaland hastahili kushinda Ballon d'or ya mwaka huu kisa tu anagombea hiyo tuzo na Messi, mafanikio binafsi ya mchezaji na timu yake hayamnyimi Haaland Ballon d'or, Haaland anakosa hii tuzo kwasababu ya ushawishi dhaifu wa timu yake. Haaland angekuwa mchezaji wa Real Madrid/Barcelona/Man Utd, Messi asingechukua Ballon d'Or ya mwaka huu.
Kuna baadhi ya timu ukichezea ni rahisi kushinda tuzo ya Ballon d'or, ndio maana hata wadau wa soka wanamshauri Mbappe aachane na PSG ili angalau aweze kuwa na nafasi ya kushinda tuzo ya Ballon d'Or huko siku za mbele.
hii tuzo wangeshindanishwa kdb, rodi na halland, bila shaka kdb angechukua....... kwa sababu hawaangalii magoli tu but overall play!
 
hii tuzo wangeshindanishwa kdb, rodi na halland, bila shaka kdb angechukua....... kwa sababu hawaangalii magoli tu but overall play!
🤣🤣🤣
Overall play!?
You guys throw anything just to suit your agenda!!!
Kilichompa Cristiano Ronaldo Ballon d'Or kadhaa mbele ya Messi ni migoli aliyokuwa anafunga.
Au unataka kuniambia tunaweza kuwalinganisha Ronaldo na Messi katika OVERALL PLAY, eeh!?
 
MESSIAH wa soka mpaka milele. Wanaompa Haaland ni team Betting wa EPL. Mpira sio kuvizia na kufunga. MCHEZAJI lazima awe anacheza kiteam na kusaidia wenzie kutimiza majukumu Yao. Muhim zaidi lazima uchangie katika ushindi wa tema
Messi anachukua mchana tu.
Mambo ya kusema zama za Messi zimeisha ni ujinga na upumbavu. Hakuna tuzo ya zama, ni tuzo ya ubora. Messi achukue Mara kumi ili kukomeasha kabisa kubguru wengine kufikia rekodi zake
Yani nimeshangaa Kuna mtu anaongelea upumbavu wa zama badala ya statistics
 
Kwani mwaka aliochukua Modric au Benzema, Messi alihamia sayari ya Mars!?
Nakubali sana uwezo wa Messi, ila napinga kusema Haaland hastahili kushinda Ballon d'or ya mwaka huu kisa tu anagombea hiyo tuzo na Messi, mafanikio binafsi ya mchezaji na timu yake hayamnyimi Haaland Ballon d'or, Haaland anakosa hii tuzo kwasababu ya ushawishi dhaifu wa timu yake. Haaland angekuwa mchezaji wa Real Madrid/Barcelona/Man Utd, Messi asingechukua Ballon d'Or ya mwaka huu.
Kuna baadhi ya timu ukichezea ni rahisi kushinda tuzo ya Ballon d'or, ndio maana hata wadau wa soka wanamshauri Mbappe aachane na PSG ili angalau aweze kuwa na nafasi ya kushinda tuzo ya Ballon d'Or huko siku za mbele.

Hata angekuwa wa Madrid asingepata mbele ya Messi. Halaand kazidiwa kila kitu na Messi ukitoa magoli tu, afu usicompare Uefa na Worldcup asee
 
afu usicompare Uefa na Worldcup asee
Huku ni kufanyana watoto wadogo sasa!!!
2010 kombe la Dunia alichukua Spain, lakini bado Messi akachukua Ballon d'or, kigezo kipi kilitumika?
2014 kombe la Dunia alichukua Germany, Ronaldo alichukua Ballon d'Or kwa kigezo kipi kama UEFA si kitu mbele ya World Cup!?
Vipi kuhusu 2018, bingwa wa World Cup alikuwa France, kigezo gani kilitumika kumpa Ballon d'Or Modric!?
 
Messi ndio the best, Haaland kazi yake kuvizia mpira tu, hachezeshi timu, Messi ni mchezeshaji wa timu na kuleta ushindi at all times.
Kama hiki ulichokisema hapa ndio kingekuwa kigezo cha kushinda Ballon d'Or bila shaka Cristiano Ronaldo angekuwa na Ballon d'Or moja tu kabatini, Ile aliyoichukua akiwa Man Utd. Kama hiki ulichokisema hapa ndio kingekuwa kigezo cha kutoa Ballon d'Or, Messi angekuwa na zaidi ya Ballon d'Or 10.
 
Kama hiki ulichokisema hapa ndio kingekuwa kigezo cha kushinda Ballon d'Or bila shaka Cristiano Ronaldo angekuwa na Ballon d'Or moja tu kabatini, Ile aliyoichukua akiwa Man Utd. Kama hiki ulichokisema hapa ndio kingekuwa kigezo cha kutoa Ballon d'Or, Messi angekuwa na zaidi ya Ballon d'Or 10.
On top of all, Messi won World Cup, Hallaand anaachwa mbali sana na Messi kwa kila kitu in football, mbona kama wewe kipofu wa mpira
 
Back
Top Bottom