Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

hivi halland anashindanishwaje na kina Messi?....
overall game yake ikoje? anamkaribia henry?

mi naona halland ni mfungaji mzuri lakn sio mchezaji mzuri, hajamfikia hata mbape au kane.......
Paragraph ya mwisho ungebold.
 
MESSIAH wa soka mpaka milele. Wanaompa Haaland ni team Betting wa EPL. Mpira sio kuvizia na kufunga. MCHEZAJI lazima awe anacheza kiteam na kusaidia wenzie kutimiza majukumu Yao. Muhim zaidi lazima uchangie katika ushindi wa tema
Messi anachukua mchana tu.
Mambo ya kusema zama za Messi zimeisha ni ujinga na upumbavu. Hakuna tuzo ya zama, ni tuzo ya ubora. Messi achukue Mara kumi ili kukomeasha kabisa kubguru wengine kufikia rekodi zake
Hii ndo itazima hata wale kunguru walokuwa wanaweka battle ya Messi na Ronaldo. Messi mtu jamani.
 
Wapishi ni viungo!! Tungekuwa tunashindanisha viungo tungewapima kwa kiasi cha Assist zao kwenye magoli!! Kwa washambuliaji inabidi wafungane kwanza kwenye ufungaji wa magoli ndio tuanze kuangalia idadi ya assist!!
Unajua Messi kiungo na akawa anafunga goli nyingi na assists kuliko yoyote yule? Rekods za Messi huko La Liga na UEFA zinatisha mkuu.
 
1 FIFA The Best
2 FIFA World Cup Golden Ball
3 Finalisima Best Player
4 IFFHS Men's World Best Player
5 IFFHS All Time World Best One Club Scorer
6 IFFHS World Best Playmaker
7 IFFHS World Best Top Goal Scorer
8 IFFHS Best Player In Conmebol
9 L'Equipe Champions
10 SN Athleteof The Year
11 AIPS Awards
12 BBC World Sport Star
13 World Scorer Player Of The Year
14 SOFA Score The Absolute Statman
15 GOAL50 Awards
16 The Guarduan Best Male Footballer
17 The Sun Best Football Of The Year
18 FourFourTwo Best Player Of All Time
19 Olimpia De Aro Argentina Sportspersos
20 Olimpia Plata Argentina Player
22 TROPHEE Des Champions Best Player
23 Men's World Best Player
24 Baton Of Football 2022
25 Laures Awards
26 Most Asists In WC 2022
27 Most G/A In WC 2022
28 2nd Top Scorer In WC 2022
29 Most MOTM In WC 2022
30 Higgest Rating In WC 2022

Pua ya Leo kwa msimu ni kubwa kuliko Career za wachezaji wa Timu Fulani combined.
 
[emoji2788]Journalist: "Do you think Messi should win the Ballon d'Or for winning the World Cup or Haaland for winning the Champions League?" "

[emoji2788]Griezmann: "Winning the Champions League is overrated, even Celtic has one, plus that competition is full of corruption, Atletico Madrid was brazenly robbed of two finals and the press hid it. Whole lotta mafia in that dirty cup.

The World Cup is played every 4 years and there are knockouts that last three years, there is no comparison, only the good players stand out in World Cups.

Also the best in the world was Messi and the best of the champions was De Bruyne and Rodri. Please don't confuse a great scorer with a great player.".

ANTOINE GRIEZMANN [emoji2424][emoji632]
 
[emoji2788]Journalist: "Do you think Messi should win the Ballon d'Or for winning the World Cup or Haaland for winning the Champions League?" "

[emoji2788]Griezmann: "Winning the Champions League is overrated, even Celtic has one, plus that competition is full of corruption, Atletico Madrid was brazenly robbed of two finals and the press hid it. Whole lotta mafia in that dirty cup.

The World Cup is played every 4 years and there are knockouts that last three years, there is no comparison, only the good players stand out in World Cups.

Also the best in the world was Messi and the best of the champions was De Bruyne and Rodri. Please don't confuse a great scorer with a great player.".

ANTOINE GRIEZMANN [emoji2424][emoji632]
Facts kam hizi Team Ronaldo huwa wanazipita kimya kimya kam wanaaga Maiti
 
Messi Kombe la dunia lenyewe alibebwa bebwaaaa mpka kufikaaa.. Japo he is a goat..!! Halland anastahilii sanaaa hii tuzoo ametoa mchango mkubwa snaa kwa Timu yakee..
Timu gani ?? Hapa huwa vinaangaliwa vyote , Timu ya Taifa na club , alaf angalau uchezee ligi tano Bora duniani , ndo wanakuja kwenye statistics Mzee , yaani hapo halland hachomoki , mana timu yake ya Taifa Tia maji Tia maji , angeshindanishwa na mtu ambaye naye timu yake ya Taifa ni Tia maji Tia maji basi angebeba...
 
Facts kam hizi Team Ronaldo huwa wanazipita kimya kimya kam wanaaga Maiti
Hizo siyo facts bali ni mawazo binafsi ya Griezmann. Facts hutoka kwenye data!! Football is all about scouring goals and not otherwise!! It is not about acrobatics or dancing!! Scoring a goal brings someone to soccer orgasm!! The only person who tops both International goals and Club league goals under the sun is CR7!! 123 International goals, 887 Club goals. Anawazidi wenzake kwa mbali!!! Those are the facts which cannot be disputed by any sane person!!
 
Laiti kama Haaland angelikuwa ni mchezaji wa Man United au Real Madrid, laiti kama Haaland angeyafanya mambo aliyoyafanya msimu uliopita akiwa katika uzi wa Real Madrid au Man United. Sura ya huu uzi ingekuwa tofauti kabisa.
Hii ndio gharama au shida ambayo wachezaji wote wazuri waliopitia Man City wamekuwa wakikutana nayo, hiyo ni kuanzia kwa Aguero, David Silva, De Bruyne na sasa ni zamu ya Haaland.
 
Nina uhakika, Haaland angelikuwa ni mchezaji wa Real Madrid, na ingelikuwa ameisaidia Real Madrid kushinda TREBLE, hii Ballon d'Or Messi angefanya kuisikia tu kwenye radio.
 
Uzi uko na vituko sana huu. Kuna mtu anatutishia Jude Bellingham, like seriously?

Jude ni level ya akina Pedri na Gavi. Mnajaribu tu kumpa hype isio ya lazima. Four good games, tayari mnamuona wa maana. Hivi mnamjua bwanamdogo wa kuitwa Jamal Musiala?
 
Back
Top Bottom