Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Messi Vs Haaland; Ungempa nani kura yako ya Ballon D’or

Sidhani kama kuna mtu amebeza kiwango cha haaland hasa kwenye ufungaji tatizo ni anaye shindanishwa nae
Halafu sijaielewa unaposema tatizo ni anayeshindanishwa nae, ina maana watu wanataka Messi apewe tu tuzo bila kushindanishwa!?
Au unamaanisha Haaland Hana vigezo!?
 
Halafu sijaielewa unaposema tatizo ni anayeshindanishwa nae, ina maana watu wanataka Messi apewe tu tuzo bila kushindanishwa!?
Au unamaanisha Haaland Hana vigezo!?
Amezidiwa uwezo unajua messi huyu anaye elekea ukingoni akienda timu ya taifa ya norway wanaweza kumjengea sanamu kwa mchango atakao onesha 😄
 
Amezidiwa uwezo unajua messi huyu anaye elekea ukingoni akienda timu ya taifa ya norway wanaweza kumjengea sanamu kwa mchango atakao onesha 😄
Mjomba hakuna kama Messi, ila ni lazima ashindanishwe, hawezi kupewa tuzo bila mchakato wa kushindanishwa. Kama tuzo inatolewa kwa kuangalia kipaji tu, basi inabidi Messi apewe Ballon d'Or kila mwaka, mpaka atakapoamua mwenyewe kuachana na mpira wa miguu, kwasababu kiuhalisia hakuna hata mchezaji mmoja anayefikia angalau nusu tu ya kipaji alichonacho Messi.
 
Mwanaume mpaka anastaafu atakuwa kishampita mpaka Junihno kwa magoli ya Free Kick. Leo kaweka nyingine........

Ndani ya messi kuna skills,Dribbling, Assist,goal scoaring na Play Making ngumu sana Messi kukosa tuzo hii anachukua,kwani hamna mchezaji anaye vifanya hivyo vyote kwa level kama ya Messi na ndio maana Messi ana uwezo wa kuamua hata mechi ngumu,yy mwenyewe.
Screenshot_20230908_071739_Instagram.jpg
 
Mjomba hakuna kama Messi, ila ni lazima ashindanishwe, hawezi kupewa tuzo bila mchakato wa kushindanishwa. Kama tuzo inatolewa kwa kuangalia kipaji tu, basi inabidi Messi apewe Ballon d'Or kila mwaka, mpaka atakapoamua mwenyewe kuachana na mpira wa miguu, kwasababu kiuhalisia hakuna hata mchezaji mmoja anayefikia angalau nusu tu ya kipaji alichonacho Messi.
Sijasema asishindanishwe dont get twisted
 
Messi Kombe la dunia lenyewe alibebwa bebwaaaa mpka kufikaaa.. Japo he is a goat..!! Halland anastahilii sanaaa hii tuzoo ametoa mchango mkubwa snaa kwa Timu yakee..
Kabebwa kivipi, unaweza ukatuonyesha ni wapi amebebwa! Aise huwa hamkosi cha kuongea, zile penalt za mbappe zingewapa ushindi ufaransa ungesemaje!!!!! Wamebebwa pia!!!! Au vile Messi na timu yake wamebeba kombe!! Mpira haupo hivyo utachekwa
 
Mwanaume mpaka anastaafu atakuwa kishampita mpaka Junihno kwa magoli ya Free Kick. Leo kaweka nyingine........

Ndani ya messi kuna skills,Dribbling, Assist,goal scoaring na Play Making ngumu sana Messi kukosa tuzo hii anachukua,kwani hamna mchezaji anaye vifanya hivyo vyote kwa level kama ya Messi na ndio maana Messi ana uwezo wa kuamua hata mechi ngumu,yy mwenyewe.
View attachment 2743215

Simwoni Ronaldo kwenye hii list
 
Unalinganisha best player wa WC na Mchezaji bora wa ligi ya mbuzi?. Hebu upeni mpira heshima yake.

Huyo Iniesta ktk world cup ya mwaka 2010 alifunga goli ngapi na alitoa assists ngapi?.

Watu wasichitaka kyelewa ni kuwa Messi pia alichukua ubingwa wa Ligi ya Ufaransa akiwa na PSG
 
Amini kwamba huyu dogo mwakani watu kazi wanayo dogo anapita njia zile zile za Ronaldo.

Sasa hivi style yake ya kushangilia inatrend balaa kama SIUUU.

Kama Mbappe, na Haaland wakizubaa huyu Bellingham atawaburuza sana.

acha uchepe mkuu, Halland anabandika 50 goals kwa msimu bila ya shida kabisa. unaanzaje kumlignanisha na wapuuzi? kinachombeba huyo dogo ni uingereza tu, wamepita wenziwe wengi na kupigiwa debe ila wameshindwa kufanya chochote.
 
acha uchepe mkuu, Halland anabandika 50 goals kwa msimu bila ya shida kabisa. unaanzaje kumlignanisha na wapuuzi? kinachombeba huyo dogo ni uingereza tu, wamepita wenziwe wengi na kupigiwa debe ila wameshindwa kufanya chochote.
Wana Madrid pure wanadai eti kijana ni Zidane mtupu.

Yeah of course PR ya uingereza ina nguvu sana Rashford, Dele Alli, Walcott, Saka etc wote wanapambwa
 
Back
Top Bottom