Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umalizie story ile afu ndio uache mkuuAsipopata Messi naacha kutumia Jeifu
Alibebwa vipiMessi Kombe la dunia lenyewe alibebwa bebwaaaa mpka kufikaaa.. Japo he is a goat..!! Halland anastahilii sanaaa hii tuzoo ametoa mchango mkubwa snaa kwa Timu yakee..
Namtoaje? Wakati ndo mshindani wake wa karibuSasa hallaand tena, Alvarez mwenyewe ana ucl na world cup. Yani hallaand mtoe hapo, afadhali umuweke Alvarez.
Messi anabeba bila ubishi, takwimu zipo wazi, anaebisha alete takwimu zake
Messi Kombe la dunia lenyewe alibebwa bebwaaaa mpka kufikaaa.. Japo he is a goat..!! Halland anastahilii sanaaa hii tuzoo ametoa mchango mkubwa snaa kwa Timu yakee..
Well said mkuuTimu ikielemewa anatafutwa messi anapewa mpira atajua mwenyewe ataufanyia nn
Hii tuzo ni mchanganyiko wa mambo mengi uwezo binafsi wa mchezaji mchango wake kwenye timu mahaba
messi tayari ni brand kubwa na mpira sahv ni biashara namuona akiichukua tena kwa mara ya mwisho
Kama Mbappe ameshindwa kuvaa hiko kiatu mpaka kuchoka, basi tusitegemee maajabu kwa Haaland, Mbappe kwa udogo wake na matokeo yake, huenda alipaswa yeye ndo akibebe haswa after Ronaldo na Messi.View attachment 2742459
Dogo anashindwa magoli tisa , imagine angekua timu kama Argentina au france angesaidia taifa kiasi gani??
Halaand ana kipaji cha pekee sana kwa sasa hamna mfano wake.
Atavaa viatu vya gold hadi atavichoka.
Acha ushabiki mzee au una upofuBora Messi huyo Halaand mpira wa kuvizia tu afunge hana mpya.
Hamna kitu bora angekuwepo hata De bruyne..Acha ushabiki mzee au una upofu
Akikujibu nitag.Alibebwa vipi
Nini maana ya mchezaji mzuri? Ni yule anayetimiza vizuri majukumu yake uwanjani kama anavyotarajiwa!! Majukumu ya mshambuliaji ni kufunga magoli!! na ndiyo matarajio ya watu!! Kwa habari ya kutimiza majukumu yake kama mshambuliaji, Haaland hana mpinzani kwa sasa!! Messi pia ni mshambuliaji!!hivi halland anashindanishwaje na kina Messi?....
overall game yake ikoje? anamkaribia henry?
mi naona halland ni mfungaji mzuri lakn sio mchezaji mzuri, hajamfikia hata mbape au kane.......
Zama ndo takwimu au?Halaand anastahili, na sababu kuu hizi ni zama zake na SI zama za Mesii.