TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Eti website hakuna wakumzuia....!!! Atapigwa "shadow ban" na "pseudo phishing" ashangae! Teknolojia ya mtandao ipo speed balaa. Si mtishi aendelee!!!shida ya mange anajiamini mno wakati hajashika mpini. watu siku hizi wamehamia kwa maria sarungi, hana connections yeye ni siasa tu.
Ana roho ya kinyama sana yule dem,ile ubepari ni unyama ya nyerere ndiyo imeonekana kwake,anachojali hela tu,wewe ndoa ikivunjika, heshima vunjika,ukijinyonga utajua mwenyeweTatizo ana matusi sana na kutweza utu wa watu.
$1200 iwakasirishe meta?!..nyie ndiyo mazamwamwa yake anayoyalisha shudu,eti samia anataka kumfanya mwanae abdul kuwa mkuu wa majeshi Ili atawale milele na nyie mnaaminiWalimfungia account moja ya Instagram akawapeleka mahakamani akawashinda na kuamriwa wamlipe $1200 na gharama za kesi.
Sasa wamekasirika wamemfungia account zake zote,lakini mahakama za Marekani sio za Professor Juma safari hii anawapeleka kwenye mahakama kubwa zaidi na faini kubwa na amri ya kumfungulia.
Hakuna mkono wa CCM wala Samia au TISS hapo.
Ili iweje!?..siku umkute uchi mtu unayemheshimu kwenye website yake ndiyo utaona ujinga wa swala zimaTumtengenezee website ambayo government watashindwa ku locate servers zake.
Nimeipenda hiiYule ni mpare, ataenda mahakamani
Duuu ni aibu Kwa wapare woteYule ni mpare, ataenda mahakamani
Sijui atakula nini sasa maana kazi yake ni umbea na kutukana watu. Naona tafsiri lugha ya kiswaili kwenda lugha zingine hatimae matusi yamemponnza.Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.
Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Mbona umeorodhesha wapumbavu watupu??Laana ya kuwatukana Magufuli, Samia, Makonda
Kweli mkuu upo sahii,Kama angekua anafichua maovu ya serikali tu,ingekua poa..ila kuingilia Faragha za watu sio jambo Jema...Ili iweje!?..siku umkute uchi mtu unayemheshimu kwenye website yake ndiyo utaona ujinga wa swala zima
Jipe moyo kamandaTumtengenezee website ambayo government watashindwa ku locate servers zake.
Elimu yake ni ndogo mnoo ,yeye aliona ni bonge ya dili?πββοΈπββοΈπββοΈKweli mkuu upo sahii,Kama angekua anafichua maovu ya serikali tu,ingekua poa..ila kuingilia Faragha za watu sio jambo Jema...
Ndio maana mnaitwaga manyumbu ,aliekuzaa ni afadhali mimba ingetoka walau tusingekuwa na mbwa wa mitanadaoni kama wewe ulieficha jina lako ili tu kuendeleza upuuzi wako.Mbona umeorodhesha wapumbavu watupu??
mpendi mtu asiyekuwa na Adabu kiasi cha kutukana wakubwa wanaoweza hata kumzaa !!Yule naye bhana, hata kama humpendi mtu, huwezi kumsema na kumtukana matusi ya nguoni, bora afungiwe tu
Midomo yake imejaa matusi
Elimu yake ni ndogo mnoo ,yeye aliona ni bonge ya dili?πββοΈπββοΈπββοΈ
Mtu kama anataka kueleza au kuanika kuhusu Ufisadi na mambo mengine yeyote mabaya yanayofanyika Nchini afanye tu bila kutukana watu !
Good for the nationSo what ?
Elimu nzuri ni ile ya kuelimika sio ya kuhold Certificates !Kwenye elimu mkuu katuzidi Mimi na wewe ana masters degree kasoma mtoni na UAE,kafanya kazi Mashirika Makubwa Huko Gulf..Basi tu akili yake mbaya
Watu wanakunywa maji yenye mavi..Serikali ya Tanzania inatumia gharama kubwa sn kupambana na Mange badala ya kupambana na umasikini wa watanzania