SI KWELI Meta yatangaza Mabadiliko ya Sera kwenye Mtandao wa WhatsApp kwa Mawasiliano Binafsi pamoja na Makundi Sogozi kuanzia Machi 22, 2024

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mtu ana kaa na pumbu zake ana tunga li ujumbe lirefuu halafu ni upuuzi mtupu halafu ana kuja mpuuzi mmoja nae asie jua kuchuja taarifa ana lifowadi ilo liujumbe lina sambaa kila kona!!!
Kwamba serikali hii ya jamhuri ina uwezo wa kusoma jumbe zako za whatsapp🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20240323-200818_Chrome.jpg
    365.2 KB · Views: 17
Sasa huu ujinga umeandika wewe au umefoward?

Ni bora huu ujinga ungebaki nao hukohuko kwenye magroup yenu ya WhatsApp kuliko kuleta huku kuthibitisha na wewe uwezo wako wa ubongo kuchanganuwa mambo ni mdogo Sana.
 
Hakuna mtu anayeweza kuhack Instagram wala whatsup unless umempa credentials zako mwenyewe iwe kwa hiyari, trick au kwa nguvu. Acha kudanganywa, by the way ahsante kwa taarifa
Hii taarifa ni uzushi, imeanza kutembea wiki 3 sasa
 
Nimeona ikienea kwenye Mitandao ya kijamii hiii habari JAMII CHECK tusaidieni

Kutakuwa na mabadiliko muhimu juu ya sheria mpya za mawasiliano kwenye mitandao ya kijamii WhatsApp ( simu za sauti na video) ambazo zitatekelezwa kuanzia kesho Tar 10-11-2024:-

01. mawasiliano yote yatarekodiwa
02. Nakala za record za mawasiliano zitahifadhiwa
03. WhatsApp, Facebook, Twitter X, Instagram,Ticktock, na mitandao mingine ya kijamii itafatiliwa.
04. Vifaa vyako vitakuwa vinaunganishwa kwenye mfumo wa wizara.
05. Jitahd usitume ujumbe wowote ambao ni mbaya ulio kinyume na maadili.
06. Wambie watoto wako, ndugu zako, jamaa, marafiki, na watu unaowafahamu kwamba wanapaswa kuwa makini kwenye mitandao ya kijamii
07. Usitume machapisho au video mbaya dhidi ya serikal kuhusu siasa au hal yoyote ya sasa.
08. Ni kosa kuandika au kutuma ujumbe mbaya kuhusu suala lolote la kisiasa , kidini kufanya hivyo kutakusababisha kukamatwa bila waranti.
09. Police watatoa taarifa kisha kufungua kesi za uhalifu mtandaoni, ambalo ni jambo serious.
10. Jihadhali usitume ujumbe mbaya na kila mtu azingatie hili na uchukue tahadhali.
11. Wanachama wote wa vikundi (Groups) wanapaswa kuwa makin na hili.

TAARIFA MUHIMU KUHUSU SHERIA MPYA ZA WhatsApp

1:- Alama moja ya blue☑️ ➡=ujumbe umepelekwa.
2:- Alama mbili za blue☑️☑️ =ujumbe umepokelewa.
3:- Alama mbili za blue☑️☑️ = ujumbe umesomwa.
4:- Alama tatu za blue☑️☑️☑️ = serikali imechukua note ya ujumbe.
5:- Alama mbili za blue☑️☑️ na moja nyekundu☑️ = serikali inaweza kuchukua hatua dhidi yako.
06:- Alama 1 ya blue☑️ na mbili nyekundu☑️☑️ = serikali inachunguza taarifa zako.
07:- Alama 3 nyekundu ☑️☑️☑️ = serikali imeanza kuchukua hatua dhidi yako na utapata wito wa mahakama hivi kalibuni.

KUWA NA RAIA MWEMA TUMIA MITANDAO KWA UANGALIFU NA MUNGU ATAKUWA PAMOJA NA WEWE BALIKIWA SANA ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…