Mfalme Zumaridi aachiliwa huru, amwaga uno mbele ya waumini

Kwa hiyo miezi aliyokaa rumande imejuishwa ktk mwaka mmoja aliohukumia ?mimi sio mtaalam wa sheria
 
Angalia (misukule yake) inavyoshangilia.

Kauli ya wadau hiyo ☝🏾 ndivyo walivyoandika huko mtandaoni.


Looke at this...
 
Ifike mahali, serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani kupiga marufuku haya madini ya shetani. Watu wameanza kuabudiwa siku hizi, na doctrines zao ni nyota, fulani mchawi, etc kwanini wasifanye kama rwanda.
 
Mwamba Alikuwa Anointed Holy Man (Mpakwa Mafuta Wa Bwana)
Rugemalira Alipogoma Kumpigia Magoti Jiwe Akasema Acha Nifie Gerezani
Pesa Zangu Hizi


Akatiwa Msukosuko Mkali, Manyanyaso Kama Yote, Akagoma Kuomba Plea Bargain
 

Huyo Mama ni mshenzy na mpumbavu kama wewe.
 
Ioa ndipo unapogundua wakati.mwingine binadamu ni Mbumbumbu wa kurupwa.Mtu anajiita mungu,lakini kakamatwa kawwkwa mahabusu,mahakama imemhukumu.Alafu kifungo kimeisha.Na kuna watu wanamini ni mungu wao.Du
Mungu anakamatwaje kizembe vile mitume akina Petro na akina Paulo walipokamatwa milango ilikuwa ikifungua.
mungu gani anafugwa gerezani mwaka mzima tena eti kwa kuonewa na kuta za gereza zinamzuia kutoka gerezani...
 
Leo ni siku njema,hatimaye shetani na wafuasi wake wamepatwa na aibu,mfalme katoka sasa tunaanza pale tulipo ishia kwa nguvu na ari zaidi. live long mfalme zumaridi.
Wewe mwenyewe ni shetani sema hujijui, kubishana na maumbile ya Mungu, ni ushetani. Dunia mzima inajua hakuna mfalme mwanamke, bali kuna malkia ila Zumaridi anatumia utambulisho wakiume huku akiwa mwanamke, alafu mnamuita mtu wa Mungu.
 
Ashukuru kanenepea magereza mpka nyonyo imenenepa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…